Unajua succession plan inahitaji kuwa na sifa na uzoefu ila kwenye academia inaendena na sifa ili uwe lecturer lazima uwe na doctoral degree no shortcut na ili uwe senior lecturer lazima uandike papers kadhaa ziwe reviewed na upate points zinazotakiwa ndipo upande si rahisi km kada nyingine. Kwa hivyo ili tupate km kina kabudi we need investment ili watu wakasomeKwani hivyo vyuo havina SUCCESSION PLAN? Haviandai watu wa kushika nafasi iwapo mmoja akiondoka aliye chini apande? Hivyo vyuo vina tabia ya one man show kwenye vitivo ?
