kalimbwane
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 708
- 697
Wewe utakuwa wa elimu ya hapa na pale sibure.Mbona yeye anashinda ACT wazalendo? Anatafuta kiki huyo ni wivu
Wewe utakuwa wa elimu ya hapa na pale sibure.Mbona yeye anashinda ACT wazalendo? Anatafuta kiki huyo ni wivu
Brother ile sheria haitumiki utawala huu,ndio maana Kuna mapolis wamekuwa makatibu tawala na wanajeshi wamekuwa wakuu wa mikoa na wilaya na Mwanajeshi mstaafu wa mwaka mmoja amekuwa kiongozi wa ccm na wapo mbele kukitetea chama tawala na siserikali iliyopo madarakani.Ile sheria ya watumishi wa umma kutojihusisha na masuala ya siasa hasa ya kiuongozi haimuhusu huyu jamaa?
with thousands of fresh graduates every year, a reasonable number of them qualifying for lecturing at universities i do not see any problems
Wana jamvi Salaam
Mhadhiri Muandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.
Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).
Chanzo: Tanzania Daima
Dr.Abdala Posi from UDOM dah tume kumis sanaYupo sahihi kuna majembe wameondoka CoET/UDSM pale hatari.Prof Rubaratuka bingwa wa indeterminant structures, Dr chamuliho Construction manegement, Dr Mwinuka jembe la mechancal, Prof Lema daaah ni hatari sana
Wana jamvi Salaam
Mhadhiri Muandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.
Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).
Chanzo: Tanzania Daima
Kaka YEHODAYA Vyuo vyote vina SUCCESSION PLAN lakini hakuna budget kwa ajili ya implementation. Nipo Chuoni ndio hali halisi. Government haitoi fedha za kuendeleza walimu/wahadhiri mpaka muombe kwa wafadhili hasa SIDA ndio mwokozi. Vyuo vina kila kitu katika mpango kazi mtambuka ila tatizo hakuna fedha. mapato tunayopata ya ndani ndio matumizi makubwa ya kuendesha Chuo na hayatoshi maana OC haziletwi kabisaa ama unaletewa 20% ya ulichoomba ni shiida sana.Kwani hivyo vyuo havina SUCCESSION PLAN? Haviandai watu wa kushika nafasi iwapo mmoja akiondoka aliye chini apande? Hivyo vyuo vina tabia ya one man show kwenye vitivo ?
Mi namshauli Raisi atazame na vyuo vingine kama University of Iringa, University of Arusha, Tumaini, TEKU, SAUT, St. Joseph, nk.Wana jamvi Salaam
Mhadhiri Muandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.
Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).
Chanzo: Tanzania Daima
Wakemia wengi ni mbumbu kwenye uongozi huwaga hawafiki mbaliNaunga mkono hoja, anaathiri wanafunzi wa vyuo vikuu kwa kukosa wahadhiri. Chuo kikuu Dar ndicho kinachoathirika zaidi maana wahadhiri wengi wameteuliwa. Idara iliyoathirika zaidi kwa teuzi ni ile ya kemia UDSM.
Mi namshauli Raisi atazame na vyuo vingine kama University of Iringa, University of Arusha, Tumaini, TEKU, SAUT, St. Joseph, nk.
One man show ndo kusemajeKwani hivyo vyuo havina SUCCESSION PLAN? Haviandai watu wa kushika nafasi iwapo mmoja akiondoka aliye chini apande? Hivyo vyuo vina tabia ya one man show kwenye vitivo ?
Mkuu raisi hakataliwi ila zingatia ushauri wa prof.Yeye akiteuliwa ATAKATAA?
Wana jamvi Salaam
Mhadhiri Muandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.
Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).
Chanzo: Tanzania Daima
Mbona kuna yule jamaa aliteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akakataa?Mkuu raisi hakataliwi ila zingatia ushauri wa prof.
Hakuwa serikalini kk hao malekcha ni watumishiMbona kuna yule jamaa aliteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akakataa?
Umezungumza ukweli. Wasomi wengi sasa ni kusikia na kuongezana ili huyo aliyeteuliwa amkumbuke angalau hata ujumbe wa Bodi.Zaidi ya kupunguza idadi ya wahadhiri vyuoni, uteuzi wa wahadhiri kujaza nafasi mbalimbali serikalini una athari nyingine muhimu na mbaya zaidi:
1/ Unafanya wahadhiri kuwa sycophants, kila mmoja akijaribu kujiweka kwenye nafasi ya kuteuliwa. Academic freedom imewekwa rehani.
2/ Kufuatia namba (1) hapo juu, tafiti na ushauri wa wahadhiri sio critical kabisa. Hivyo, zinafanywa tafiti kwa jina la sayansi lakini kumbe watafiti hawako tayari kufanya tafiti au kutoa matokeo yatakayowaudhi watawala. Kazi inakuwa ni kusifia serikali. Hiyo si sayansi.
3/ Wahadhiri wengi walioteuliwa kushika nafasi mbalimbali hawana uzoefu wa kutosha unaoendana na hizo nafasi. Hivyo kama taifa, hasara ni kubwa kwa kuwa wengi wao hawataleta matokeo au maboresho tarajiwa. Ni bahati mbaya sana kuwa mamlaka ya uteuzi inaamini/imekariri kuwa mtu akishakuwa na PhD basi anaweza kuongoza mashirika yanayopaswa kuendeshwa kwa faida, hata kama uzoefu pekee alionao mhadhiri anayeteuliwa ni kuongoza idara mojawapo huko chuo kikuu.