mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,664
- 18,040
Huyu alikatika mkia kwa kuzuga tuu! Bado ni ccm damu damu!Naye Ni
Ng'ombe Waliokatika Mkia Machungani
Huyu alikatika mkia kwa kuzuga tuu! Bado ni ccm damu damu!Naye Ni
Ng'ombe Waliokatika Mkia Machungani
Ngoja tusubirie atafakari,ajikumbushe kile alichokiamini.Yeye akiteuliwa ATAKATAA?
Prof Vs Bashitekwani akikubali utamfanya nini?
hapa hatuzungumzi nani atamfanya nini mtu!kwani akikubali utamfanya nini?
Kuwa mkuu wa wilaya ni sawa na kiranja,unakimbizana na wananchi,malipo kidogo,huyo jamaa alikuwa na haki kukataa,alikokuwa malipo ni mara tatu ya malipo ya mkuu wa wilaya.Mbona kuna yule jamaa aliteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akakataa?
Nitashangaa nikimuona mhadhiri huyu mwandamizi akiapa. Ndio nitajua siasa ni kitu gani?Wana jamvi Salaam
Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.
Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).
Chanzo: Tanzania Daima
Tatizo yeye ni muadhiri sasa rejea alichokisema kuhusu uteuzi wa waadhiri wa chuo kikuuYeye kateuliwa nafasi siyo ya kisiasa...yupo sawa
Ni wakati muafaka wa yeye kukujibu hiliYeye akiteuliwa ATAKATAA?
namsubiriaKama akiweza kukataa kitu ambacho hakitegemewi, atakuwa amejijengea heshima kubwa sana na ni mtaji mkubwa wa kisiasa!
Yaani 2012 tu umeshachoka chaki??? Waliomaliza 1980s - 90s sijui waseme nini. Ningekushauri kama kweli umechoka chaki, umri wako bado mdogo, soma kozi zingine ambazo hazihusiani na chaki. Kuna Engineering, Medicine, Law nk. Kapige shule kijana, uachane na chaki.Nina bachelor ya Arts with Education tangu 2012GPA 3.96,naomba Rais aniteue japo niwe napanga majalada Ikulu chaki nimezichoka.
yeye anataka tu kaUjumbe kule EALA.Wana jamvi Salaam
Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.
Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).
Chanzo: Tanzania Daima