totolito
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 708
- 431
Yaani tz upinzani hamna na watanzania wengi waropokaji na x waongeaji maana mtu ambaye anashindwa kusimamia maneno yake na kuweka tumbo mbele ni mropokaji na x kwa kitila tu yoyote hapo akiteuli atakubali tu maana hata mkulu nae hajawahi kusimamia maneno yake