Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
Kwani hujaheshimiwa? So ulisaini mkataba wenye masharti ya namna ya kunufaika na misaada! Sasa kama mmekiuka matakwa ya mkataba, mnataka mchekewe?Safi sanaaaaaaaa Prof. Kabudi ni lazima ifikie sehemu watuheshimu na sisi.
TANZANIA IS SOVEREIGN STATE.