Prof. Janabi na Upepo wa Kisiasa

Prof. Janabi na Upepo wa Kisiasa

Kwanin una conclude pombe inaenda kuua figo na moyo ; why are you putting conclusions.

Nakubaliana na wewe ulevi wa kupindukia ni hatari kwa Afya yako. Inawezekana usipate tatizo la figo wala moyo ukaenda kupata shida kwenye Ini

Inawezekana usipate tatizo la figo wala ini wala moyo ukaenda ku damage lungs I hope you understand kwanini mtu akinywa you can smell kuwa huyu kanywa

Inawezekana usipate figo wala moyo ukaenda ku damge brain cells na hata kupata stroke , do you understand?

Na Inawezekana usipate any of those

So alcohol is a risk in excess nashauri vijana wanywe kwa starehe na kupata stimu ya JIMAI na deep conversations with friends or partners

On the other hand , why only Alcohol ?

Unatambua pia unywaji maji uliokithiri can damage your heart na vital organs over recommended amount ikiwemo na kusababisha pressure kuwa kubwa hence ukaingia kwenye cardiovascular disease?

I am just disturbed na conclusion zenu just as I am disturbed na conclusion za janabi ; kwa wewe I can understand but not for him ambae yupo kwenye industry anawaambia watu wale kipande cha muogo how and why ?


Science is not a study of signs neither pathological history

It needs data evidence informed practice and which must be coherent, consistent, sufficient and experimental .

Umenisoma hapo mzee mwenzangu!
Nilikuwa mnywaji wa pombe aliyekubuhu nikapata matatizo ya kiafya ndio maana sipendi kuona vijana wadogo zangu wakiteseka mahospitalini kwa ulevi.

Prof Janabi anazo hoja za msingi sana labda anayo matatizo yake binafsi ya uwasilishaji wa hoja zake.

Anaitazama 'lifestyle' ya vijana wengi ambayo haina nidhamu ndani yake na anahisi anawiwa kutumia elimu yake katika kujaribu kubadilisha mwenendo mbaya wa kijamii.


Prof Janabi amefanya kazi Muhimbili naamini kwa miaka karibu 30 hayo yote uliyoandika anayafahamu kwa kina.
 
Umenihuzunisha sana "hatujifunzi sayansi kupitia YouTube" na huko nyuma umesema kwenye post yako umenukuu baadhi ya studies ambazo zilichapishwa kwenye majarida, YouTube is just a means of sharing info, kwahyo ulitaka hao wakina janabi wapiti kwenye majumba kutoa baadhi ya shauri za kiafya?
Then umesema JKCI sio kituo cha sayansi sawa lakini haimaanishi wao wasiwe na vitengo vya elimu kwa jamii ambayo pia ndio clients wao et kisa wao sio kituo cha sayansi.
Then "You cant teach me what to write" mi sijakufundisha bali nmetoa maoni yangu kwenye mada yako uliyoielezea, so my brother sometimes accept critics especially in this online platforms
Acha uongo buda... yawezekana yeye ana mapungufu, lakini you tube is a very good source of information kwa topics nyingi tu

Youtube inakupa hamasa ya kwenda kusoma zaidi inategemea unachokitafuta

Plus youtube unapata comments from real people kulingana na unachotafuta.

Binafsi kupitia youtube nimeweza kuona feedback nyingi sana upande wa afya (uzazi wa mpango) ambazo huwezi ambiwa hospitali na upande wa ngozi pia kuna doctors kibao(kabla ya kupata consultation from dermatologist wa kibongo.... na sababu ya youtube i had right questions to ask na ilikua rahisi kumuelewa na kuapply ushauri)

YOUTUBE FOR EVERYBODY
 

Attachments

  • Screenshot_20240429_123530_Digital Wellbeing.jpg
    Screenshot_20240429_123530_Digital Wellbeing.jpg
    300.5 KB · Views: 19
Ugonjwa wa akili ni kuomba data bila kutoa data.... mtoa mada punguza munkari pangilia hoja zako ukiambatanisha na data pia
 
Nimeuliza hapo juu, Kuna millions ya watu wanakunywa pombe Sanaa lakini Hadi wanazeeka bila kuugua hizo Figo na moyo why?
Huwezi compare Japan na bongo....
Kwa kuanza tu Japan wana nidhamu ya hali ya juu when it comes to food, their life is centred around discipline.

Kitu ambacho huku kwenu hakipo na kinazidi kutokuwepo
 
Kwenye Science kila kitu kinakuwa supported na data au statistical significance, kinyume na hapo hiyo inakuwa ni IMANI au personal faith.

Maneno kama ukikojoa mkojo wa povu, wewe una FIGO, kiuno kikizidi 40, una heart disease, ulaji wa sukari unaua figo , ulaji wa wali unaua mwili, unywaji wa Juice ni hatari kwa moyo , na aina nyingine ya maneno yake.

Huu sio ushauri wa kisayansi bali ni intimidation to the public and it is high time now The Ministry of Health should stop him immediately na Wizara ibebe jukumu lake la kuelimisha jamii kupitia taasisi za Chakula na Lishe ikiwa ni pamoja na kutoa ushauri Rasmi jinsi ya kuepuka non communicable disease.

Janabi yupo ki political fame na hayupo kitabibu, na kwenye Sayansi ni UNETHICAL kuja na conclusions kama za Janabi.

The Flaminggham Heart Study began in 1948 in USA, Massachusetts ambapo ilienda kuangalia factors zinazochangia magonjwa ya moyo ( Cardiovascular disease), it was a cohort study ambayo ilichukua miaka zaidi ya 15 kuja na conclusion kuwa kuna uwezekano wa kupata heart disease kama unavuta snaa sigara, unene, kutofanya mazoezi etc. Na hii haikuwa ni confirmation, it was just a risk factor and not CAUSAL RELATIONSHIP!

Kuna watu wamekuwa wakinywa, wakivuta na wakila nyama nyingi kwenye maisha yao yote hadi wanazeeka hawajui presha ni nini, figo ni nini or anything like that .

Ever wondered why kuanzia miaka ya 2000 ndio matatizo ya figo na moyo yameongeza sana?

kuna watu waliokuwa walevi na wavutaji kama wazee wetu? And all of them died due to old age peacefully, no pressure , no figo no blah blah na walikuwa wakila sna wali , Sukar, nyama etc etc

Matatizo mengi ya figo TZ yanasababishwa na matumizi ya dawa kiholela, na dawa nyingi TZ ni counterfeit, matumizi ya mitishamba bila ya kuwa na standard maalumu, ulaji wa vyakula vya kusindika etc etc na clearly hii ni risk factor sio CAUSAL RELATIONSHIP.

Unawaambia watanzania wale kipande kimoja cha muogo kwa siku, that is very unethical and intimidation. The body needs sugar ya kutosha, fats za kutosha, proteins za kutosha , vitamins and mineral to function healthy and properly.

Why miaka ya sasa tatizo la figo na heart limekuwa ni kubwa? Hapa we need answers and causal relationship na sio intimidation!

Kama mwanasayansi unapotuambia ukikojoa mkojo wa povu hilo ni figo, unatakiwa kuja na findings ambazo zimekuwa checked scientifically and generalized, any statement unayotoa ni lazima iwe supported na data and proven scientifically .

Huwezi kutumia reference za watu wachache wanaokuja Hosp ambao tayari wanashida zao then ukaanza ku generalize kwa watu wengine publicly bila ya kuwa na sufficient , consistency , coherent and experimental data, you can’t generalize kwa patients wanaokuja who are already sick ….,. That is not science and impractical.

It is unethical for such a prof kuanza kutoa statement kama hizo ambazo hazina data support, ina raise query na questions uhalali wa huo u Prof ! . Hatuwezi kuwa madaktari wa social media na mitandao kwa mitaji ya KISIASA.Ni misleading na intimidation kwenye jamii unnecessarily.

Kama kweli unywaji wa pombe unapanua moyo …… demonstrate it , shows us ….data zipo wapi …..and what about the people who drink day and night… na hawana anything like that …. Tuna conclude vipi?

Ndio maana tunasema science has to be respected ili kuzuia personal experience kutawala.

Badala ya GOVT kufund research za kimkakati ambazo zinaweza kutuletea majibu na causal relationship as to why tatizo la figo na moyo limekuwa kubwa kuanzia miaka ya 2000, tunaenda kuspend billions of money kununua V8 za wakuu wa wilaya. Shame!
Uiikisikiliza hicho kibabu ujue umeisha.
 
Dar es salaam inaongoza kuwa na miundo mbinu Mibovu ya Sewage and sanitation hasa wakati wa Mvua na Inaongoza kwa Uchafu sana..

Lakini Kwenye Magonjwa Kumi Yanayoongoza Mkoa Top5 hakuna Ugonjwa unaohashiria Hiyo Condition kama Kuhara wala magonjwa ya Mfumo wa Chakula Unaizungumziaje hiyo Hali??

Kuna Kitu kwenye Epidemiology na Biostatistics Tunaita sufficient factor (Sufficient Cause) na necessary factor (Necessary Cause)..

Pombe sio Necessary factor kwa Mtu kupata ugonjwa wa Figo ila ni Sufficient factor kupata Ugonjwa wa Figo..

Kwa hiyo kwa point hiyo hapo juu ya Kiutafiti Ina conclude kuwa sio Kila anywaye Pombe huishia Kupata ugonjwa wa Figo (Necessary cause)..
Ila Asilimia Kubwa ya Wagonjwa Wa FiGo walikuwa wanywaji wa Pombe kupindukia (Sufficienf Cause)..

Sijui kma umenielewa
Mkuu nje ya mada.... hiyo top 10 ni yepi? (Just curious)
 
Kwenye Science kila kitu kinakuwa supported na data au statistical significance, kinyume na hapo hiyo inakuwa ni IMANI au personal faith.

Maneno kama ukikojoa mkojo wa povu, wewe una FIGO, kiuno kikizidi 40, una heart disease, ulaji wa sukari unaua figo , ulaji wa wali unaua mwili, unywaji wa Juice ni hatari kwa moyo , na aina nyingine ya maneno yake.

Huu sio ushauri wa kisayansi bali ni intimidation to the public and it is high time now The Ministry of Health should stop him immediately na Wizara ibebe jukumu lake la kuelimisha jamii kupitia taasisi za Chakula na Lishe ikiwa ni pamoja na kutoa ushauri Rasmi jinsi ya kuepuka non communicable disease.

Janabi yupo ki political fame na hayupo kitabibu, na kwenye Sayansi ni UNETHICAL kuja na conclusions kama za Janabi.

The Flaminggham Heart Study began in 1948 in USA, Massachusetts ambapo ilienda kuangalia factors zinazochangia magonjwa ya moyo ( Cardiovascular disease), it was a cohort study ambayo ilichukua miaka zaidi ya 15 kuja na conclusion kuwa kuna uwezekano wa kupata heart disease kama unavuta snaa sigara, unene, kutofanya mazoezi etc. Na hii haikuwa ni confirmation, it was just a risk factor and not CAUSAL RELATIONSHIP!

Kuna watu wamekuwa wakinywa, wakivuta na wakila nyama nyingi kwenye maisha yao yote hadi wanazeeka hawajui presha ni nini, figo ni nini or anything like that .

Ever wondered why kuanzia miaka ya 2000 ndio matatizo ya figo na moyo yameongeza sana?

kuna watu waliokuwa walevi na wavutaji kama wazee wetu? And all of them died due to old age peacefully, no pressure , no figo no blah blah na walikuwa wakila sna wali , Sukar, nyama etc etc

Matatizo mengi ya figo TZ yanasababishwa na matumizi ya dawa kiholela, na dawa nyingi TZ ni counterfeit, matumizi ya mitishamba bila ya kuwa na standard maalumu, ulaji wa vyakula vya kusindika etc etc na clearly hii ni risk factor sio CAUSAL RELATIONSHIP.

Unawaambia watanzania wale kipande kimoja cha muogo kwa siku, that is very unethical and intimidation. The body needs sugar ya kutosha, fats za kutosha, proteins za kutosha , vitamins and mineral to function healthy and properly.

Why miaka ya sasa tatizo la figo na heart limekuwa ni kubwa? Hapa we need answers and causal relationship na sio intimidation!

Kama mwanasayansi unapotuambia ukikojoa mkojo wa povu hilo ni figo, unatakiwa kuja na findings ambazo zimekuwa checked scientifically and generalized, any statement unayotoa ni lazima iwe supported na data and proven scientifically .

Huwezi kutumia reference za watu wachache wanaokuja Hosp ambao tayari wanashida zao then ukaanza ku generalize kwa watu wengine publicly bila ya kuwa na sufficient , consistency , coherent and experimental data, you can’t generalize kwa patients wanaokuja who are already sick ….,. That is not science and impractical.

It is unethical for such a prof kuanza kutoa statement kama hizo ambazo hazina data support, ina raise query na questions uhalali wa huo u Prof ! . Hatuwezi kuwa madaktari wa social media na mitandao kwa mitaji ya KISIASA.Ni misleading na intimidation kwenye jamii unnecessarily.

Kama kweli unywaji wa pombe unapanua moyo …… demonstrate it , shows us ….data zipo wapi …..and what about the people who drink day and night… na hawana anything like that …. Tuna conclude vipi?

Ndio maana tunasema science has to be respected ili kuzuia personal experience kutawala.

Badala ya GOVT kufund research za kimkakati ambazo zinaweza kutuletea majibu na causal relationship as to why tatizo la figo na moyo limekuwa kubwa kuanzia miaka ya 2000, tunaenda kuspend billions of money kununua V8 za wakuu wa wilaya. Shame!
Yule mwamba mbona hayuko sawa. Mwacheni.
 
Nilikuwa mnywaji wa pombe aliyekubuhu nikapata matatizo ya kiafya ndio maana sipendi kuona vijana wadogo zangu wakiteseka mahospitalini kwa ulevi.

Prof Janabi anazo hoja za msingi sana labda anayo matatizo yake binafsi ya uwasilishaji wa hoja zake.

Anaitazama 'lifestyle' ya vijana wengi ambayo haina nidhamu ndani yake na anahisi anawiwa kutumia elimu yake katika kujaribu kubadilisha mwenendo mbaya wa kijamii.


Prof Janabi amefanya kazi Muhimbili naamini kwa miaka karibu 30 hayo yote uliyoandika anayafahamu kwa kina.

This is your personal experience and it does not add any value in science .

Your comment is subjective and merely faith based as you said UNAAMINI without empirical findings

Haina tofauti na kusema believe in Jesus because without him you will not see the heaven of our lord

Or
Slimu, because without Islam you will not enter into Jannah and you will not be able to see Prophet Muhammad ibnu Abdillah ( S.A.W)
All these are personal faith , experience and myths of the past

Please stop
 
Ningekuweka kwenye kiwango kikubwa zaidi ya Prof. endapo ungetuambia factors ambazo ni causal effects related to such diseases.

Pili, tafiti zinasema hivyo vitu ni risk factors na unakubali kuwa ni risk factors.

Risk factors si lazima zisababishe ugonjwa kwa kila mtu ambaye amekuwa exposed ila husababisha ugonjwa kwa susceptible host.

Yaani kama kuvuta sigara ni risk ya kupata cancer ya pafu, bado watakuwepo watu ambao watavuta sigara nyingi sana na kwa muda mrefu na hawatapatwa na tatizo hilo la cancer kwa sababu siyo susceptible lakini kwa upande mwingine wapo watakaopata ugonjwa.

Issue ni kujua who is susceptible miongoni mwa watu wote walikuwa exposed.

Prof halazimishi watu ila anawapa elimu ili wafanye vitu wakijua faida na hasara zinazoweza kujitokeza kwa afya zao ili wao kama viumbe wenye fikra wafanye uamuzi utakaokuwa sahihi.

Prof hajaanzisha sheria kuwadhibiti watu wafanye kile anachokisema.
 
Mkuu, Taifa lina hospital moja ya Taifa,inaitwa Muhimbili na unayemsema ndiye Mkurugenzi( Kiongozi mkuu wa hospital ya Taifa).

Nafasi hizi ndiyo inampa mamlaka ya kusema anayoyasema.
 
Ningekuweka kwenye kiwango kikubwa zaidi ya Prof. endapo ungetuambia factors ambazo ni causal effects related to such diseases.

Pili, tafiti zinasema hivyo vitu ni risk factors na unakubali kuwa ni risk factors.

Risk factors si lazima zisababishe ugonjwa kwa kila mtu ambaye amekuwa exposed ila husababisha ugonjwa kwa susceptible host.

Yaani kama kuvuta sigara ni risk ya kupata cancer ya pafu, bado watakuwepo watu ambao watavuta sigara nyingi sana na kwa muda mrefu na hawatapatwa na tatizo hilo la cancer kwa sababu siyo susceptible lakini kwa upande mwingine wapo watakaopata ugonjwa.

Issue ni kujua who is susceptible miongoni mwa watu wote walikuwa exposed.

Prof halazimishi watu ila anawapa elimu ili wafanye vitu wakijua faida na hasara zinazoweza kujitokeza kwa afya zao ili wao kama viumbe wenye fikra wafanye uamuzi utakaokuwa sahihi.

Prof hajaanzisha sheria kuwadhibiti watu wafanye kile anachokisema.

Umeanza vema ila umemaliza kwa kuonesha hukuelewa mada bali you were focused to defend

Pole
 
Mkuu, Taifa lina hospital moja ya Taifa,inaitwa Muhimbili na unayemsema ndiye Mkurugenzi( Kiongozi mkuu wa hospital ya Taifa).

Nafasi hizi ndiyo inampa mamlaka ya kusema anayoyasema.

Excuse me , huwez kumuita mkuu kwa nafasi ya kuteuliwa. Unatakiwa kusema ni msimamizi wa national hosp kwa kuteuliwa

Ikiwa Rais wa nchi anashindwanishwa na ndio maana anaitwa Mkuu wa nchi

Hakuna competency na skills kwenye kuteuliwa
 
Ila jameni mimi kuna jambo najiuliza sipaiti jibu kabisa nisaidieni.Hivi ule muonekano wa Pro. Janabi yaani jinsi alivyosinyaa na uso kukosa nuru ndiyo afya yenyewe jameni ?
 
This is your personal experience and it does not add any value in science .

Your comment is subjective and merely faith based as you said UNAAMINI without empirical findings

Haina tofauti na kusema believe in Jesus because without him you will not see the heaven of our lord

Or
Slimu, because without Islam you will not enter into Jannah and you will not be able to see Prophet Muhammad ibnu Abdillah ( S.A.W)
All these are personal faith , experience and myths of the past

Please stop
Unajaribu kumponda Prof Janabi lakini huwezi kupinga kile anachokifundisha kwa umma.

Dr Mambo kakuomba utoe ushahidi wa wewe kuwa mtaalam kweli mpaka muda huu hujashusha hapa hizo credentials zako!.

Hizi mbwembwe zako za kutumia maneno machache ya kingereza bado sio kigezo cha kuonyesha uwezo wako halisi wa kuwa na vigezo vya kuipinga elimu pana anayoitoa Profesa Jabani kupitia vyombo mbalimbali vya habari.

Vijana wengi wanaondoka duniani kwa kukosa nidhamu binafsi za maisha, ni kazi kubwa sana kuupinga ukweli huo. Unaweza kumponda huyo Profesa lakini ujumbe mpana huwezi kuupinga.
 
Unajaribu kumponda Prof Janabi lakini huwezi kupinga kile anachokifundisha kwa umma.

Dr Mambo kakuomba utoe ushahidi wa wewe kuwa mtaalam kweli mpaka muda huu hujashusha hapa hizo credentials zako!.

Hizi mbwembwe zako za kutumia maneno machache ya kingereza bado sio kigezo cha kuonyesha uwezo wako halisi wa kuwa na vigezo vya kuipinga elimu pana anayoitoa Profesa Jabani kupitia vyombo mbalimbali vya habari.

Vijana wengi wanaondoka duniani kwa kukosa nidhamu binafsi za maisha, ni kazi kubwa sana kuupinga ukweli huo. Unaweza kumponda huyo Profesa lakini ujumbe mpana huwezi kuupinga.

You are not smart

More research is required to determine root cause analysis

Kwann tatizo la figo limeongezeka recently

Km ni pombe , hata zamani zilikuwepo

Why now

Km tatizo ni ongezeko la pombe fake ambazo hazing viwango na ithibati basi tuelekeze mjadala kwa regulatory
 
Mkojo wenye povu au Foamy urine mara zote Huwa ni signs za wingi wa Protein kwenye Mkojo na ina indicate tatizo kwenye Figo..

Hata hivyo UTI (Urinary Tract Infection) Ni Maambukizi kwenye Mfumo wa Mkojo..Usisahau Hata Figo pia Zinaweza Kuhusishwa kwenye Mfumo wa Mkojo
Acha uongo mkuu kumbe jina la “mambo jambo” mbele ya DR bado kitu ni kilekile?!

Unatakiwa usikojoe mkojo wenye povu? Maana unasema “Mkojo wenye povu mara zote huwa signs za wingi wa protein”

Hiyo siyo kweli, hiyo ni mambo jambo . That’s what they call it and definitely represents what you are.
 
Back
Top Bottom