Prof. Janabi na Upepo wa Kisiasa

Prof. Janabi na Upepo wa Kisiasa

Mjadala mpaka umefika page ya 13 na post zaidi ya 250.

Mpaka sasa atujapata hiyo elimu kwanini vyakula anavyosema Janabi ni vibaya au vizuri na tule kwa viwango gani. Sijaona tofauti ya madokta wa JF na Janabi mpaka sasa.

One expected a health education discussion kwa faida ya wasomaji tutoke hapa walau tunaelewa faida na madhara ya vyakula. Mfano we need fat kwa sababu reserves zake mwilini ndio zinazosaidia kuupa mwili nutrients pale ambapo mtu unafunga, madhara yake ikizidi inaweza clog arteries kadhaa.

We need sugar (glucose) kwa sababu ndio unaupa nwili nguvu, glucose inazungushwa mwilini na damu. Damu pia inabeba oxygen among other things. Glucose ikizidi kwenye damu inaifadhiwa wapi sehemu moja ni kwenye maini na cells. Kwa siku binadamu glucose level zinapungua na kupanda hasa kati ya miło, lakini mwili unahitaji kiasi kadhaa muda wote. Glucose ikupungua mwilini katika ya milo pancreas inauwezo wa kuachia ‘insulin hormones’ ambazo zinaenda ziambia ini na cells za zinazo hifadhi glucose na fatty acids kuachia spare mwili upate nguvu.

Blah blah blah mpaka glucose inavyoweza zidi reserves places aziwezi chukua tena kuacha damu ibebe hizo excess (pre-diabetic), early sign zake labda kukojoa sana etc na ukipima mkojo utakuta glucose nyingi.

Na mlolongo mwingine wa maelezo ya pathophysiology ya ugonjwa hadi ni vipi glucose inaenda sababisha type 2 diabetes na madhara mengine kama:

Neuropathy damages inayoenda kusababishwa kukatwa kidole gumba au mguu

Nephropathy damage, kupunguza uwezo wa kidney kuchuja uchafu ndani ya damu na kidney failure in the long run.

Cardiovascular disease hasa kutokana na upungufu wa Oxygen ndani ya damu kwa sababu ya uwingi wa glucose, namna unavyoweza pata blood pressure, namna mishipa ya moyo inavyoweza ziba kwa sababu ya uwingi wa glucose ndani ya damu.

Vipi glucose inavyosababisha skin damage

Retinopathy (blindness)

Kwanini rahisi kupata magonjwa mengine diabetes ikishaanza ku-damage mwili, role ya ‘cortisol hormones’ kwenye kudhoofisha mwili.

Na mambo mengine ya kuelewa madhara na faida ya vyakula, through pathophysiology ya magonjwa ambayo vyanzo vyake ni vyakula.

Sasa badala ya kutoa elimu naona tambo tu za papers sijui researches, kwa vitu ambavyo ni established knowledge already in medicine.

Binafsi namuamini Dorothy Gwajima tu kwenye afya, nina uhakika angekuwa na mkakati mzuri wa health education kuliko vitisho vya Janabi anaetaka watu washinde njaa as if sugar and fatty acids sio muhimu kwa mwili, wakati yeye anaishi kwa fat reserves ambazo anaelekea kuzimaliza kwa muonekano wa mwili wake.

Badala ya kuwaambia watu kuangalia BMI zao, kukwepa kuwa obese au kula only necessary amount za balanced diet yeye anawaambia washinde njaa just pathetic to think ndio Dkt wa raisi is beyond, personal id be very wary going under the knife with this surgeon after listening to him.

Unapata picha kwanini watu wanaamini kuna dawa za asili za magonjwa ya kisukari yote ni kukosa uelewa wa sayansi ya ugonjwa na sidhani kama huko mahospitalini wanapewa elimu sahihi za namna ya kuishi na hayo magonjwa au elimu ya huo ugonjwa kwa sababu survival ni management tu ya ugonjwa hakuna dawa ya kutibu.

Dorothy Gwajima arudishwe wizara ya afya.
 
Vitu vya medication sio opinion ni real ndugu yangu. Ndio maana tunataka data analysis ulizofanya ili tujue ni u kweli. Medication ni maisha ya watu ndugu sio opinion.

That means you haven’t understood
 
Badala ya maneno meeeengi unayoandika ungeleta written reference unazozijua hata mbili tu za hayo unaongea ingeleta maana, medical is not futbal..Prof. hana maslahi yoyote anapoelimisha watu kufahamu vyanzo vya matatizo ya afya yanayowapata tofauti na kutaka kuona watu wanakuwa na siha njema pasina kuwa wagonjwa kwa kujitakia wenyewe.

Huna unachojua
 
Mjadala mpaka umefika page ya 13 na post zaidi ya 250.

Mpaka sasa atujapata hiyo elimu kwanini vyakula anavyosema Janabi ni vibaya au vizuri na tule kwa viwango gani. Sijaona tofauti ya madokta wa JF na Janabi mpaka sasa.

One expected a health education discussion kwa faida ya wasomaji tutoke hapa walau tunaelewa faida na madhara ya vyakula. Mfano we need fat kwa sababu reserves zake mwilini ndio zinazosaidia kuupa mwili nutrients pale ambapo mtu unafunga, madhara yake ikizidi inaweza clog organs kadhaa.

We need sugar (glucose) kwa sababu ndio unaupa nwili nguvu, glucose inazungushwa mwilini na damu. Damu pia inabeba oxygen among other things. Glucose ikizidi kwenye damu inaifadhiwa wapi sehemu moja ni kwenye maini na cells. Kwa siku binadamu glucose level zinapungua na kupanda hasa kati ya miło, lakini mwili unahitaji kiasi kadhaa muda wote. Glucose ikupungua mwilini katika ya milo pancreas inauwezo wa kuachia ‘insulin hormones’ ambazo zinaenda ziambia ini na cells za zinazo hifadhi glucose na fatty acids kuachia spare mwili upate nguvu.

Blah blah blah mpaka glucose inavyoweza zidi reserves (pre-diabetic), early sign zake labda kukojoa sana etc na ukipima mkojo utakuta glucose nyingi.

Na mlolongo mwingine wa maelezo ya pathophysiology ya ugonjwa hadi ni vipi glucose inaenda sababisha type 2 diabetes na madhara mengine kama:

Neuropathy damages na kusababishwa kukatwa kidole gumka au mguu

Nephropathy damage kupunguza uwezo wa kidney kuchuja uchafu ndani na kidney failure in the long run.

Cardiovascular disease hasa kutokana na upungufu wa Oxygen ndani ya damu kwa sababu ya uwingi wa glucose, namna unavyoweza pata blood pressure, namna mishipa ya moyo inavyoweza ziba.

Vipi glucose inavyosababisha skin damage

Retinopathy (blindness)

Kwanini rahisi kupata magonjwa mengine diabetes ikishaanza ku-damage organs zingine, role ya ‘cortisol hormones’ kwenye kudhoofisha mwili.

Na mambo mengine ya kuelewa madhara na faida ya vyakula, through pathophysiology ya magonjwa ambayo vyanzo vyake ni vyakula.

Sasa badala ya kutoa elimu naona tambo tu za papers sijui researches, kwa vitu ambavyo ni established knowledge already in medicine.

Binafsi namuamini Dorothy Gwajima tu kwenye afya, nina uhakika angekuwa na mkakati mzuri wa health education kuliko vitisho vya Janabi anaetaka watu washinde njaa as if sugar and fatty acids sio muhimu kwa mwili, wakati yeye anaishi kwa fat reserves ambazo anaelekea kuzi maliza kwa muonekano wa mwili wake.

Badala ya kuwaambia watu kuangalia BMI zao, kutokuwa kuwa obese au kula only necessary amount za balanced diet yeye anawaambia washinde njaa just pathetic to think ndio Dkt wa raisi is beyond, personal id be very wary going under the knife with this surgeon after listening to him.

Unapata picha kwanini watu wanaamini kuna dawa za asili za magonjwa ya kisukari yote ni kukosa uelewa wa sayansi ya ugonjwa na sidhani kama huko mahospitalini wanapewa elimu sahihi za namna ya kuishi na hayo magonjwa au elimu ya huo ugonjwa kwa sababu survival ni management tu ya ugonjwa hakuna dawa ya kutibu.

Dorothy Gwajima arudishwe wizara ya afya.

I agree; Dorothy was realistic and smart kuliko hichi kinachoendelea Wizara ya Afya kwa sasa . Chini ya Ummy wizara inaendeshwa kisiasa zaidi kuliko kiutendaji

Dorothy alitolewa kw umbea na fitna , Lkn sote tunatambua jitihada zake kuliko uhuni unaendelea wizara ya afya kwa sasa chini Ummy . Ni siasa na blah kwenda mbele na upigaji
 
I agree; Dorothy was realistic and smart kuliko hichi kinachoendelea Wizara ya Afya kwa sasa . Chini ya Ummy wizara inaendeshwa kisiasa zaidi kuliko kiutendaji

Dorothy alitolewa kw umbea na fitna , Lkn sote tunatambua jitihada zake kuliko uhuni unaendelea wizara ya afya kwa sasa chini Ummy . Ni siasa na blah kwenda mbele na upigaji
Realistic ile ya kuwambia watu wajifukize na kula malimao na midalasini wakati ule wa Corona ?
 
kuna watu waliokuwa walevi na wavutaji kama wazee wetu? And all of them died due to old age peacefully, no pressure , no figo no blah blah na walikuwa wakila sna wali , Sukar, nyama etc etc
Sipingikani na hoja, ila hawa wazee pia lifestyle zao pia vyakula vyao na mazingira, nafikiri ni tofauti sana na hali ya sasa! Kwa hiyo kuwatolea km mfano pia nadhani si sahihi!
 
Proffesor Janabi kafanya Research Nyingi sana and he Is very Respected Man kwa Upande wa Research and Medical Health Studies..

Andiko lako Limejaa Theoretical Arguments Nyingj sijaona Epidemiological Argument au biostatistics Arguments za kupingana ma Proffesor Janabi..

kuhusu Signs Za magonjwa Are you even a Medical Practitioner Even a Junior One??

Kwasababu inashangaza huwezi kujua hata Signs na symptoms za Kdney disease ambazo Janabi anazisema Kila mara na Unataka achunguze sasa achunguze nini tena?

Kama Hutojali Ningependa Kujua UnEthical Arguments au UnEthical Statements Ambazo Janabi amezisema..

Unataka Data Support kwenye dalili za Wagongwa ambazo ni Pathological Findings?
Hizo ni alter Physiological Xtics kama Umesoma Unaweza kujua Kwanini mtu anakojoa Povu..
Na wala usinge kuja Kuandika Uzi kujiabisha kumjudge Proffesor..


Kuhusu Alcoholism na Magonjwa ya figo..
kuna Research zaidi ya 1000 zimefanyika na Zimeprove hivyo ukitaka Nitakuchambulia..
Ulitaka Research personel au Serikali wapite nyumba kwa nyumba kufundisha Findings za Research hizo???

Ni kukosa Adabu kuandika Vitu ambavyo Huna Elimu navyo na Unahisi Una Elimu navyo wakati hakuna unalojua Kuhusu Hivyo vitu...
Na hii kitu sio sawa ..

Unamu attack Kiongozi mkuu wa Hospitali ya Taifa kwa Misingi Ipi??
Unahisi Unajua Kuhusu Yeye??
Research ngapi umefanya??
Vipi Umefanya Fellowship ipi??
Tujifunze kuwa Na mipaka kwenye kila Kitu sio kila kitu tujifanye tunajua
Janabi nani kamteua kuwa Mganga Mkuu wa Taifa? Kwanini kila mara anakuja na controversial public statements kuhusu maangalizo na ushauri kuhusu afya za watu wakati hana majukumu hayo kwa wadhifa wake aliopewa? Yeye kama nani? Kwahiyo anataka kutuambia kuwa maprofesa waliobobea mambo ya afya kama yeye ndiyo wanajua kuishi vizuri na hawafariki kiuzembe?
 
Janabi nani kamteua kuwa Mganga Mkuu wa Taifa? Kwanini kila mara anakuja na controversial public statements kuhusu maangalizo na ushauri kuhusu afya za watu wakati hana majukumu hayo kwa wadhifa wake aliopewa? Yeye kama nani?
Janabi Sio Mganga Mkuu wa Taifa (CMO) Ila janabi ni Mkurugenzi Mkuu (DG) Wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili..

Wewe hupendi Controversial Public statements Za kukurudishia Afya yako??
 
Janabi Sio Mganga Mkuu wa Taifa (CMO) Ila janabi ni Mkurugenzi Mkuu (DG) Wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili..

Wewe hupendi Controversial Public statements Za kukurudishia Afya yako??
Ajikite kwenye majukumu yake mkuu . Nani anataka kupewa ushauri kuhusu afya na mtu kama Janabi?
 
Janabi Sio Mganga Mkuu wa Taifa (CMO) Ila janabi ni Mkurugenzi Mkuu (DG) Wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili..

Wewe hupendi Controversial Public statements Za kukurudishia Afya yako??

Unavozidi ku comment ninakuona you are not even smart rather than CHAWA wa Janabi and no one is caring about Janabi just because ni Boss wako , be Smart huyo mzee ni lunatic and pathetic na kwa sasa ni kituko kwenye jamii for his enthusiasm ya kupata political fame

Huko juuu tumejadili mambo mengi wenye kuelewa content wameelewa. Relax now be professionnel na sio Chawa

Janabi harudishi Afya ya mtu yoyote,hali ya kuwa Afya Yake haipo sawa as well . Hatutaki kuongea mengi maaana this thread isn’t for personal attack bali ni kwa ajili ya ku liberate Tanzanians from Janabis myths and lunatics

I think MOH Imechukua note , Janabi aendelee kuwasimamia kwenye pathological findings zenu na vyombo husika vya kuwaelimisha watanzania kuhusu lishe bora na vinjwaji sahihi vifanywe na taasisi zilizo chini ya Wizara ya Afya kwa utaratibu Rasmi na Maalum

Nadhani tumeelewana dogo
 
Unavozidi ku comment ninakuona you are not even smart rather than CHAWA wa Janabi and no one is caring about Janabi just because ni Boss wako , be Smart huyo mzee ni lunatic and pathetic na kwa sasa ni kituko kwenye jamii for his enthusiasm ya kupata political fame

Huko juuu tumejadili mambo mengi wenye kuelewa content wameelewa. Relax now be professionnel na sio Chawa

Janabi harudishi Afya ya mtu yoyote,hali ya kuwa Afya Yake haipo sawa as well . Hatutaki kuongea mengi maaana this thread isn’t for personal attack bali ni kwa ajili ya ku liberate Tanzanians from Janabis myths and lunatics

I think MOH Imechukua note , Janabi aendelee kuwasimamia kwenye pathological findings zenu na vyombo husika vya kuwaelimisha watanzania kuhusu lishe bora na vinjwaji sahihi vifanywe na taasisi zilizo chini ya Wizara ya Afya kwa utaratibu Rasmi na Maalum
Kwani Unatatizo lolote na janabi ambalo.tunapaswa kulijua??
Maana ni vema Tungejadili Hoja alizosema na sio Kumjadili Mtu ingekuwa Sawa zaidi mwanangu..
Nadhani tumeelewana dogo
Kuhusu Kuwa Dogo Nafikiri Hapana.. kwa sasa Nina wajukuu Watatu
 
Unavozidi ku comment ninakuona you are not even smart rather than CHAWA wa Janabi and no one is caring about Janabi just because ni Boss wako , be Smart huyo mzee ni lunatic and pathetic na kwa sasa ni kituko kwenye jamii for his enthusiasm ya kupata political fame

Huko juuu tumejadili mambo mengi wenye kuelewa content wameelewa. Relax now be professionnel na sio Chawa

Janabi harudishi Afya ya mtu yoyote,hali ya kuwa Afya Yake haipo sawa as well . Hatutaki kuongea mengi maaana this thread isn’t for personal attack bali ni kwa ajili ya ku liberate Tanzanians from Janabis myths and lunatics

I think MOH Imechukua note , Janabi aendelee kuwasimamia kwenye pathological findings zenu na vyombo husika vya kuwaelimisha watanzania kuhusu lishe bora na vinjwaji sahihi vifanywe na taasisi zilizo chini ya Wizara ya Afya kwa utaratibu Rasmi na Maalum

Nadhani tumeelewana dogo
Nguvu nyingi kutaka kuwin attention..huna lolote mlevi wewe, itakuwa wizara ya vichaa if will peak such foolish theories you r putting here..mwache Profesa afanye kazi zake, wewe baki na ujinga wako..maandiko yote upuuzi mtupu ukiulizwa onyesha hizo facts unazoegemea huna, cite any reference za unachotetea huna..eeish, what kind of a person s this! Its peculiar..! Janabi, Janabi..what's wrong with your head..let Prof's work speak even more louder to save people's life rather than listen your foolish laments..! Mwache Profesa bwana, hizo ego na stress zako peleka kwa walevi wenzio! you r so foolish n disturbing! God forbid..
 
Pamoja na mlolongo wa maelezo ya mtoa mada....lakini ukisoma kati kati ya mstari unaona kabisa mtoa mada kama vile ana ugomvi binafsi na Dk Janabi
 
Kwani Unatatizo lolote na janabi ambalo.tunapaswa kulijua??
Maana ni vema Tungejadili Hoja alizosema na sio Kumjadili Mtu ingekuwa Sawa zaidi mwanangu..

Kuhusu Kuwa Dogo Nafikiri Hapana.. kwa sasa Nina wajukuu Watatu
Huyo jamaa unamjibu kihekima na busara sanaa. Jamaa imefika hatua anakuita dogo😂😁.
 
Back
Top Bottom