Prof. Janabi na Upepo wa Kisiasa

Prof. Janabi na Upepo wa Kisiasa

We ndo huna akili. Anacho maanisha jamaa nikwamba , kwanini akina janabi wasiifanyie utafiti mizizi husika na kuuhabarisha umma kuhusu uganisi wake kuzuia NCD, kwa maana hiyo akina janabi et al (scientists) wanashindwa na wamasai

Nenda Muhimbili pale, NIMR wana research hizo tiba asili na sasa hivi hiyo ni moja ya masomo yanayofundishwa pale chuoni Muhimbili. Si kila kitu lazima afanye Prof. Janabi.
 
Unajua definition ya Afya lakini? Health is state of well being ( physically and mentally).. kwa hiyo kuwa na mwili mkubwa na kwenda GYM ndiyo definition sahihi ya afya? Kama ndo hivyo basi watu wembamba wote duniani hawana afya na uandae chapisho lako.

Kwanza hao kwa kuwaangalia tu wanapishana sana kiumri sura tu zinaonyesha.

Prof Janabi anatimiza wajibu wake kama Mtaalamu.
 
Matatizo ya, figo yanasababishwa na unywaji wa pombe Kali sana. Gardiner amekufa kwa, sababu ya figo zilizosababishwa, na pombe Kali.

Bado huongei kisayansi, kwanini unachukua sample ya watu watatu na ku generalize ?

Hivi Tanzania mnakunywa pombe kali, ?nilishawahi kwenda Russia for training , Tanzania hakuna pombe kali kabisa

Unatoa mfano wa Gadner, unaconclude kuwa ni pombe ndio zimechosha figo, how did you know kuwa ni pombe na sio other factors au labda kuna confounders ambazo zime mask the truth ?

Na ninavoambiwa pia Gadner hakuwa na shida ya figo bali ni moyo , na huwezi kusema tatizo ni pombe kwa sababu kuna watu same age as Gadner and same extent ya alcohol consumption consumption na hawana shida yoyote , would you conclude the Same kuwa tatizo ni pombe ?


Nashauri pia usitumie neno zinasababisha , unafanya misleading sana . Huna data za kusema zinasababisha…..

mnatakiwa kuelewa what I have posted msilete mahaba ya elimu ya Tanzania ya kukimbizana na marks na GPA.

Ndio maana nasema Janabi should stop udaktari wa media anafanya misleading pia huwezi ku generalize kwa pathological characteristics za wagonjwa, kila mwili una Xtics tofauti.

MNH sio center ya Sayansi , ni sehemu ya matibabu tena kwa kufuatisha miongozo na guideline na SOP kwamba vipimo vikionesha una plasmodium idadi fulan unahitaji anti malaria, tunachungulia STG ya wizara apewe dawa gani.
Kila kitu ni muongozo Hadi upasuaji hutoi kitu kichwani kwako. Janabi should stop maneno yake ukila wali kila usiku utapata sukari hiyo sio kazi yake ni political fame

Wali na ugali ni main food in Tanzania , wangapi wanaumwa ?

Watu wale kipande cha muhogo, misleading mwili unahitaji proteins za kutosha, good fats za kutosha, cholesterol kwa ajili ya hormones production etc , Kula muhogo na maji ni tunataka jamii ya wanaume wa aina gani , ?

Ni mbaya sna na watu wanaweza kumchukulia serious kwa nafasi yake ndio maana nasema wizara imstopishe anachofanya maana anakuwa comedian
 
Proffesor Janabi kafanya Research Nyingi sana and he Is very Respected Man kwa Upande wa Reseaech and Medical Health Studies..

Andiko lako Limejaa Theoretical Arguments Nyingj sijaona Epidemiological Argument au biostatistics Arguments za kupingana ma Proffesor Janabi..

kuhusu Signs Za magonjwa Are you even a Medical Practitioner Even a Junior One??

Kwasababu inashangaza huwezi kujua hata Signs na symptoms za Kdney disease ambazo Janabi anazisema Kila mara na Unataka achunguze sasa achunguze nini tena?

Kama Hutojali Ningependa Kujua UnEthical Arguments au UnEthical Statements Ambazo Janabi amezisema..

Unataka Data Support kwenye dalili za Wagongwa ambazo ni Pathological Findings?
Hizo ni alter Physiological Xtics kama Umesoma Unaweza kujua Kwanini mtu anakojoa Povu..
Na wala usinge kuja Kuandika Uzi kujiabisha kumjudge Proffesor..


Kuhusu Alcoholism na Magonjwa ya figo..
kuna Research zaidi ya 1000 zimefanyika na Zimeprove hivyo ukitaka Nitakuchambulia..
Ulitaka Research personel au Serikali wapite nyumba kwa nyumba kufundisha Findings za Research hizo???

Ni kukosa Adabu kuandika Vitu ambavyo Huna Elimu navyo na Unahisi Una Elimu navyo wakati hakuna unalojua Kuhusu Hivyo vitu...
Na hii kitu sio sawa ..

Unamu attack Kiongozi mkuu wa Hospitali ya Taifa kwa Misingi Ipi??
Unahisi Unajua Kuhusu Yeye??
Research ngapi umefanya??
Vipi Umefanya Fellowship ipi??
Tujifunze kuwa Na mipaka kwenye kila Kitu sio kila kitu tujifanye tunajua
Asante sana mkuu, very professional
 
Habari,

Wakati wewe binafsi ukimpinga Prof. Janabi anachokifanya, wewe hiki ulichoandika umekifanyia wapi kazi kupata CAUSAL RELATIONSHIP?

"Matatizo mengi ya figo TZ yanasababishwa na matumizi ya dawa kiholela, na dawa nyingi TZ ni counterfeit, matumizi ya mitishamba bila ya kuwa na standard maalumu, ulaji wa vyakula vya kusindika etc etc na clearly hii ni risk factor sio CAUSAL RELATIONSHIP."

1: Pamoja na kuishi kwa kufanya tafiti, hauwezi kuishi kwa kazi yako pekee kama mwanasayansi.

2: Ingekuwa vyema ukija na maelezo tofauti ya kisayansi na data/yenye ushahidi kupinga vielelezo alivyovieleza Prof. kuhusisha na magonjwa husika.

3: Kama mwenzako alikuja na maelezo bila data, na wewe umekuja na maelezo bila data ili kumpinga, ni nani mwenye tatizo zaidi? Kwani kutokujitosheleza kwa mwenzako nawe unakufanya kwa mtindo uleule.

4: Ni vyema tutofautishe maandiko yenye lengo la kwenda kwenye jamii ya kawaida na yale yanayokwenda kwa wanasayansi. Contents haziwezi kuwa sawa, ijue hadhira ili uweze kufikisha ujumbe wako.

5: Unajua andiko lako linaenda kuleta mkangayiko kiasi gani, kuumiza au kuua watu wangapi kwa kutokuzingatia shauri za kitaalamu?

Hujasoma vema andiko langu, ni wapi nimesema kitu fulan kinasababisha kitu fulani ili niweze kuleta data unazotaka?
 
Proffesor Janabi kafanya Research Nyingi sana and he Is very Respected Man kwa Upande wa Reseaech and Medical Health Studies..

Andiko lako Limejaa Theoretical Arguments Nyingj sijaona Epidemiological Argument au biostatistics Arguments za kupingana ma Proffesor Janabi..

kuhusu Signs Za magonjwa Are you even a Medical Practitioner Even a Junior One??

Kwasababu inashangaza huwezi kujua hata Signs na symptoms za Kdney disease ambazo Janabi anazisema Kila mara na Unataka achunguze sasa achunguze nini tena?

Kama Hutojali Ningependa Kujua UnEthical Arguments au UnEthical Statements Ambazo Janabi amezisema..

Unataka Data Support kwenye dalili za Wagongwa ambazo ni Pathological Findings?
Hizo ni alter Physiological Xtics kama Umesoma Unaweza kujua Kwanini mtu anakojoa Povu..
Na wala usinge kuja Kuandika Uzi kujiabisha kumjudge Proffesor..


Kuhusu Alcoholism na Magonjwa ya figo..
kuna Research zaidi ya 1000 zimefanyika na Zimeprove hivyo ukitaka Nitakuchambulia..
Ulitaka Research personel au Serikali wapite nyumba kwa nyumba kufundisha Findings za Research hizo???

Ni kukosa Adabu kuandika Vitu ambavyo Huna Elimu navyo na Unahisi Una Elimu navyo wakati hakuna unalojua Kuhusu Hivyo vitu...
Na hii kitu sio sawa ..

Unamu attack Kiongozi mkuu wa Hospitali ya Taifa kwa Misingi Ipi??
Unahisi Unajua Kuhusu Yeye??
Research ngapi umefanya??
Vipi Umefanya Fellowship ipi??
Tujifunze kuwa Na mipaka kwenye kila Kitu sio kila kitu tujifanye tunajua
Asante sana mkuu, very professional
 
Hujasoma vema andiko langu, ni wapi nimesema kitu fulan kinasababisha kitu fulani ili niweze kuleta data unazotaka?

Nani kasema matatizo ya figo Tanzania yanasababishwa dawa..... na ni risks?
Umezitoa wapi? Statistics ziko wapi? Scientific evidences ziko wapi? Au risks hutoka tu kichwani mwa mtu na kutaja?
 
Mimi nataka mmje madaktari wote wa MNH tujadili findings na fact scientifically ili tuwe na jamii ambayo haiyumbishwi kama maneno ya tumia hii utaongeza nguvu za kiume

Vinginevyo tutageuka madaktari wa media na watu watavurugwa

Kama unakuja kubisha come with facts
 
Nani kasema matatizo ya figo Tanzania yanasababishwa dawa..... na ni risks?
Umezitoa wapi? Statistics ziko wapi? Scientific evidences ziko wapi? Au risks hutoka tu kichwani mwa mtu na kutaja?

Soma hiyo line niliyoandika hadi mwisho wa sentense utaelewa. Usikimbilie kujibu just read with the intent to understand and not to reply
 
Bado huongei kisayansi, kwanini unachukua sample ya watu watatu na ku generalize ?

Hivi Tanzania mnakunywa pombe kali, ?nilishawahi kwenda Russia for training , Tanzania hakuna pombe kali kabisa

Unatoa mfano wa Gadner, unaconclude kuwa ni pombe ndio zimechosha figo, how did you know kuwa ni pombe na sio other factors au labda kuna confounders ambazo zime mask the truth ?

Na ninavoambiwa pia Gadner hakuwa na shida ya figo bali ni moyo , na huwezi kusema tatizo ni pombe kwa sababu kuna watu same age as Gadner and same extent ya alcohol consumption consumption na hawana shida yoyote , would you conclude the Same kuwa tatizo ni pombe ?


Nashauri pia usitumie neno zinasababisha , unafanya misleading sana . Huna data za kusema zinasababisha…..

mnatakiwa kuelewa what I have posted msilete mahaba ya elimu ya Tanzania ya kukimbizana na marks na GPA.

Ndio maana nasema Janabi should stop udaktari wa media anafanya misleading pia huwezi ku generalize kwa pathological characteristics za wagonjwa, kila mwili una Xtics tofauti.

MNH sio center ya Sayansi , ni sehemu ya matibabu tena kwa kufuatisha miongozo na guideline na SOP kwamba vipimo vikionesha una plasmodium idadi fulan unahitaji anti malaria, tunachungulia STG ya wizara apewe dawa gani.
Kila kitu ni muongozo Hadi upasuaji hutoi kitu kichwani kwako. Janabi should stop maneno yake ukila wali kila usiku utapata sukari hiyo sio kazi yake ni political fame

Wali na ugali ni main food in Tanzania , wangapi wanaumwa ?

Watu wale kipande cha muhogo, misleading mwili unahitaji proteins za kutosha, good fats za kutosha, cholesterol kwa ajili ya hormones production etc , Kula muhogo na maji ni tunataka jamii ya wanaume wa aina gani , ?

Ni mbaya sna na watu wanaweza kumchukulia serious kwa nafasi yake ndio maana nasema wizara imstopishe anachofanya maana anakuwa comedian
Inaonekana unatetea sana pombe kali kuwa hazina madhara ya figo na kwenye introduction yako, haukugusa kabisa kuhusu pombe. Mm sio daktari, katika specialization hiyo, lakin ni dhahiri na shahiri kuwa pombe kali inauwa, figo. Mfano:Gardiner alikuwa anavimba mwili hizo ni dalili kuwa ana matatizo ya figounatudanganya na alikuwa mnywaji wa pombe kali. Pia nimeshudia rafiki zangu wengi wanywaji wana matatizo ya figo,kwa kuwa wanywaji wa pombe kali. Kwa hiyo ndugu kama ww ni mnywaji, na unatetea pombe kuwa haina madhara kwenye figo, unatudanganya. Jaribu, kupunguza mapenzi kwenye pombe ili uokoe maisha ya watu wengi. Halafu, hilo suala la kuongelea GPA lisikuumize, sana, kwani GPA ni uwezo wa mtu darasani. Kama ulipata GPA ndogo, hiyo ni juu yako.
 
Kwa muda miaka mingi sayansi unayotumia kama rejea iliidanganya Dunia kuwa ulaji wa mafuta ndio kisababisho kikubwa Cha ugonjwa wa moyo
Sayansi hiyo hiyo hadi muda huu imeendelea kudanganya umma kuwa magonjwa ya Presha na kisukari ni ya kuishi nayo kwamba ukipatwa nayo hayana tiba lakini ukweli ni kwamba Sukari na presha yanaweza kuondolewa kwa mtu kubadiri tabia ambazo kimsingi ndio chanzo Cha matatizo hayo

Kosa la Janabi ni kuhatatisha ajira za watu walizosomea kwa zaidi ya miaka 7 maana kama watu watakula na kuishi kadri ya asili ya mwanadamu watakuwa hawaugui na madaktari watakuwa hawana kazi
 
You can’t teach me what to write, you have the room to initiate your own thread, I am presenting serious issue and not blah blah

Hatujifunzi sayansi kupitia clip za YouTube au JKCI .

JKCI ni kituo cha matibabu na sio kituo cha Sayansi .

Everything, every treatment that JKCI provides has already been established by scientist, there is nothing new they do , ni kufuata guideline na miongozo


I am doubting kama umeelewa the threads

Come next time
Kama wewe haufundishwi, why unamfundisha Janabi? Ukileta topic humu itachangiwa kivyovyote
 
Nimeishia hapo kwenye matumizi ya dawa za kienyeji,wazungu walivyofanikiwa kuwaondoa watu huko ni nani leo hii anatumia dawa hizo za kienyeji??
Pia unachanganya madesa,kama umesema wazee wazamani walitumia pombe na sigara but wakaishi miaka mingi,hao hao wazee walitumia madawa ya kienyeji.

Matatizo 99% ya Afya kwa Tanzania yanachangiwa na TBS na wizara ya kilimo,tunatumia vyakula na vitu visivyokuwa na ubora.
 
Lakini sura ya huyo Dr. Inaonyesha kabisa he is not normal ana tatizo gani mie siyo Daktari. Kama sura yake Haina mng'ao wa kibinadamu basi sidhani kama Mimi nitashawishika kupokea ushauri wake
Mlevi mmoja akafika kijiweni na kuhitimisha mada yetu..'Afya njema ni hali uliyonayo kabla hujaumwa'.
Bora niishi miaka 30 bila kuumwa kuliko kuishi miaka 70 nikiwa mgonjwa..age is just numbers.
 
Mkuu, umefikiria vizuri sana, lakini tunapolinganisha enzi tuangalie pia na mabadiliko ya teknolojia yaliyopo.
Wazee wetu walifanya yote hayo (Unywaji pombe, uvutaji sigara n.k) lakini ni aina ipi ya pombe iliyokuwa ikinywewa? Vyakula vipi walivyokuwa wakila?

Ugali ulikuwa ukiliwa sana, nyama zilichomwa na kuliwa sana lakini vyakula hivi vilitokana na uasili kuanzia uzalishaji mpaka kuhifadhiwa.

Leo hii unajionea mwenyewe hata ladha ya vyakula iliyozoeleka imepotea, unakula wali/ugali kama unakula makapi, ukija kwenye nyama ndo usiseme.

Nina amini si pombe pekee inayosababisha matatizo ya ini/figo, ni muunganiko wa mtindo wa maisha kwa ujumla (Ulaji na unywaji).
 
Hebu jibu hoja hii. Kuna millions of people wanakunywa pombe Sanaa lakini wanazeeka bila magonjwa ya Figo Wala moyo. Wajapani wanaongoza kwa idadi ya wazee lakini wanakunywa pombe sana huku kwetu wanywaji wakasome, unaielezeaje hiyo.
Dar es salaam inaongoza kuwa na miundo mbinu Mibovu ya Sewage and sanitation hasa wakati wa Mvua na Inaongoza kwa Uchafu sana..

Lakini Kwenye Magonjwa Kumi Yanayoongoza Mkoa Top5 hakuna Ugonjwa unaohashiria Hiyo Condition kama Kuhara wala magonjwa ya Mfumo wa Chakula Unaizungumziaje hiyo Hali??

Kuna Kitu kwenye Epidemiology na Biostatistics Tunaita sufficient factor (Sufficient Cause) na necessary factor (Necessary Cause)..

Pombe sio Necessary factor kwa Mtu kupata ugonjwa wa Figo ila ni Sufficient factor kupata Ugonjwa wa Figo..

Kwa hiyo kwa point hiyo hapo juu ya Kiutafiti Ina conclude kuwa sio Kila anywaye Pombe huishia Kupata ugonjwa wa Figo (Necessary cause)..
Ila Asilimia Kubwa ya Wagonjwa Wa FiGo walikuwa wanywaji wa Pombe kupindukia (Sufficienf Cause)..

Sijui kma umenielewa
 
Mimi nataka mmje madaktari wote wa MNH tujadili findings na fact scientifically ili tuwe na jamii ambayo haiyumbishwi kama maneno ya tumia hii utaongeza nguvu za kiume

Vinginevyo tutageuka madaktari wa media na watu watavurugwa

Kama unakuja kubisha come with facts
Ok Sasa tupe Data Tuanze kuchambua But the last Paragraph ndo nimeipenda kwenye Argument yako Post yako
 
Back
Top Bottom