Ukweli kwamba kutembea hatua 10,000 kwa siku kunaimarisha sana afya.
Ukweli kwamba nyama haswa nyekundu ya ng'ombe inachangia sana kuleta cancer haswa kwa sisi tunaokulia mijini.
Prof Janabi simuangalii kwa udhaifu wa maudhui ya kazi yake natazama ujumbe wake mpana na muda sahihi unaopelekwa kwa jamii ya kisasa.
Mkuu kuna ulevi mwingi sana haswa miaka hii mitatu ya Samia, baada ya maduka mengi ya pombe kali kusambaa jiji lote la Dar, kuna hatari baada ya miaka mitatu au minne ijayo wagonjwa wa mafigo na moyo watafurika mahospitalini.
Pia pombe inaua sana mishipa ya fahamu, kutetemeka baada ya kutumia whiskey na konyagi kwa muda mrefu ni ushahidi wa madhara ya pombe kali.
Prof Janabi sio wa kumbeza kwa muda huu. Kwamba eti wamasai hawapati cancer za nyama sio kigezo cha watu wa Dar kutoteswa na magonjwa yatokanayo na ulaji mkubwa wa nyama.
Kwanin una conclude pombe inaenda kuua figo na moyo ; why are you putting conclusions.
Nakubaliana na wewe ulevi wa kupindukia ni hatari kwa Afya yako. Inawezekana usipate tatizo la figo wala moyo ukaenda kupata shida kwenye Ini
Inawezekana usipate tatizo la figo wala ini wala moyo ukaenda ku damage lungs I hope you understand kwanini mtu akinywa you can smell kuwa huyu kanywa
Inawezekana usipate figo wala moyo ukaenda ku damge brain cells na hata kupata stroke , do you understand?
Na Inawezekana usipate any of those
So alcohol is a risk in excess nashauri vijana wanywe kwa starehe na kupata stimu ya JIMAI na deep conversations with friends or partners
On the other hand , why only Alcohol ?
Unatambua pia unywaji maji uliokithiri can damage your heart na vital organs over recommended amount ikiwemo na kusababisha pressure kuwa kubwa hence ukaingia kwenye cardiovascular disease?
I am just disturbed na conclusion zenu just as I am disturbed na conclusion za janabi ; kwa wewe I can understand but not for him ambae yupo kwenye industry anawaambia watu wale kipande cha muogo how and why ?
Science is not a study of signs neither pathological history
It needs data evidence informed practice and which must be coherent, consistent, sufficient and experimental .
Umenisoma hapo mzee mwenzangu!