chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,132
- 22,555
Mzee baba hapo kwenye red sijakupata.
Ipo hivi,
ukila wanga mwili unautumia kupata nguvu katika mfumo wa glucose, ukisindilia sana mwili unakusaidia kuhifadhi huo wanga/glucose kwenye liver katika mfumo wa glycogen ambayo ndio mafuta sasa kwa namna nyingne,
Pindi mwili ukiishiwa nguvu/mfano umechelewa kula au hujala, ile glycogen inatolewa kwenye liver kwa kutumia hormone ya glucagon kuileta kwenye mfumo wa glucose ambao ndio unatumiwa na mwili kupata nguvu.
Kwa nini mtu anazidi kunenepa? Kwa kula wanga,
Sbb ni kwamba kila siku anakula wanga iliyozidi kiasi kinachohitajika, matokeo yake inaendelea kuhifadhiwa/jaa kama mafuta kwenye mwili...
Kumbuka, tunapozungumzia wanga tunazungumzia Sukari/sugar na ukizungumzia sukari unazungumzia glucose na ukizungumzia glucose unazungumzia Nguvu.
maelezo mazuri.