Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,565
- 21,566
Mara andazi, akipita ana kitumbua akirudi anasoseji, akitulia anajuice ya tundaHasa wanawake ndiyo balaa!
Mara andazi, akipita ana kitumbua akirudi anasoseji, akitulia anajuice ya tundaHasa wanawake ndiyo balaa!
Wajinga huwa hamkosekaniHivi vitu havina fomula, jamaa alikuwa anafuata ratiba ya lishe bora lakini amekatika katika umri mdogo tu ila kuna jamaa kula kula hadi sasa anadunda na anaendelea kula na kitambi juu 🤣
Mheshimiwa Mungu!! Ila profesa macho nyoko kabisaWe nawe rubish kabisa, maprofesa wako ndio hao hao wanaotoa maboko kila siku....?, wanaomuita binadamu Mheshimiwa Mungu? Ona walipotufikisha..
Nyie ndio mkiambiwa mtu ni professor mnaamini anajua kila kitu, akija kijijini mnamuoshea barabara.
Mmh haya naomba unisimlie hiyo ya form three inavo elezewa tuache ujuaji?Ina maana wewe form three hukusoma condintioned reflex action? Kwenye Bios na mfano wanaotumia ni wa huyo Big Ivan Pavlov?
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kama weweWajinga huwa hamkosekani
Huyu jamaa sijui familia yake inaishije.hapendi chakula kabisa yaani.sidhani kama kwake kuna jikoNimewahi kufuatilia interviews zake mbili tatu aisee kwa anachokishauri unaweza jikuta unakufa kwa kufunga kama wafuasi wa Mackenzie. Jamaa anapinga kila kitu, mpaka matunda karibia yote yanayopatikanika kwa wingi humu Tz yeye yupo against. Sasa sijui anataka tuishije, haya mambo ya afya mimi nilimuachiaga Mungu tu afanye kazi yake. Nakula kila kitu lakini nahakikisha angalau siku 5 katika wiki nakata km 50 za kufukuza upepo (jogging) yaani angalau 10 kwa siku.
Tulitarajia elimu kama hii na nyingine inayofanana na hii ndiyo iwe inawekwa kwenye mabasi wakati wa safari ili iyafikie makundi ya watu wengi wasiopata fursa ya kuingia mitandaoni kama hapa, lakini utashangaa 12hrs of travel time watu wameinua vichwa kutazama miziki ya vichupi na vitovu njeMkurugenzi wa hospitali ya Muhimbili, Profesa Mohammed Janabi amesema mpaka sasa wanawake 100 wamewekewa puto na wanaume wachache. Prof ameongeza kuwa puto ni kitu kimoja lakini nidhamu kwenye chakula ni kitu kingine.
Janabi amesema kitu hatari zaidi kwenye mwili ni sukari na wanga na wala si mafuta kwasababu mwili hautunzi wanga wala sukari bali huvibadilisha kuwa mafuta. Ametaka watu kupunguza matumizi ya vitu vyenye sukari, utamu mkubwa na sukari yenyewe.
Prof Janabi amesema matatizo ya kushindwa kupata watoto, moyo, kiharusi, magonjwa ya kupumua, vifo vya ghafla asilimia mkubwa vinachangiwa na uzito usio sahihi na kula mara kwa mara. Profesa amesisitiza kutopeleka mwili kwa utaratibu wa chakula bali wale chakula wanapohisi njaa.
Niliwahi kumsikia anasema anakula kipande kidogo tu cha samaki na mboga za majani kama sikosei,Huyu jamaa sijui familia yake inaishije.hapendi chakula kabisa yaani.sidhani kama kwake kuna jiko
Anasex kweli ??Niliwahi kumsikia anasema anakula kipande kidogo tu cha samaki na mboga za majani kama sikosei,
Ulishakaa na wazungu aisee! Muda wote mbona wanapenda kutafuna tu? Weusi unatusingizia!Mwili unaendeshwa kwa mazoea ukiendekeza kula milo mitatu utakuomba chakula kila unapo fika mda, tumezoea kula sana wa Tanzania hata masikini anakula na anamafuta mwili ya ziada.
Yeah, wanga inatengeneza kitu inaitwa glycogen waliosoma biochemistry watufafanulie hapa!Kweli tunahitaji elimu me nilikuwa najua wanga inachakatwa kuwa lactose (glucose) iliyochangamka kumbe wanga kama makande bila marage na hayana kiini yanasababisha mafuta. ni hatari kwa kweli.
Kuna natamani kuuliza kwa idadi ya Tanzania wangapi wanakula wangu kwanini idadi ya wagonjwa ni chache. au kuna miili wakila wanga tatizo linatokea?
Hapa kuna maelezo yanakosekana,kula wanga kama wewe ni mtu wa pilika pilika au mazoezi ya kutosha haina shida,shida iko kwa watu wanaokula wanga na maisha yao hayana mazoezi au shughuli zao ni za kukaa muda mwingi,Mfano mzuri watu wa kule vijijini wanatembea sana,unakuta mtu anatembea mpaka kilometer 10 kwa siku huo wanga au sukari vitamdhuru vipi..Kweli tunahitaji elimu me nilikuwa najua wanga inachakatwa kuwa lactose (glucose) iliyochangamka kumbe wanga kama makande bila marage na hayana kiini yanasababisha mafuta. ni hatari kwa kweli.
Kuna natamani kuuliza kwa idadi ya Tanzania wangapi wanakula wangu kwanini idadi ya wagonjwa ni chache. au kuna miili wakila wanga tatizo linatokea?
Tetesi zipo....Kila likitwaja jina la huyo profesa nakumbuka kifo cha Magufuli
Unaweza kula mara 2 tu kwa siku lakini ukala chakula kingi zaidi ya aliyekula mara 4.Muhimu hapa ni kunzingatia portion ya unachokulaBinafsi huwa ninawashangaa sana watu wanaokula zaidi ya mara 4 kwa siku. Binafsi ninakula mara 2 tu kwa siku.
Kama sikosei pia aliwahi sema kunywa maji kwa wingi ni hatari pia.Huyu baba kwake kuna jiko kweli
Yuko against chochote kinachoenda mdomoni.
Kuhusu sex anasemaje??
Next question to him akijitokeza kwenye media😄Anasex kweli ??
Ameshaona tumesahau ajenda yake, amekuja na ajenda ya kupunguza kula.Mkurugenzi wa hospitali ya Muhimbili, Profesa Mohammed Janabi amesema mpaka sasa wanawake 100 wamewekewa puto na wanaume wachache. Prof ameongeza kuwa puto ni kitu kimoja lakini nidhamu kwenye chakula ni kitu kingine.
Janabi amesema kitu hatari zaidi kwenye mwili ni sukari na wanga na wala si mafuta kwasababu mwili hautunzi wanga wala sukari bali huvibadilisha kuwa mafuta. Ametaka watu kupunguza matumizi ya vitu vyenye sukari, utamu mkubwa na sukari yenyewe.
Prof Janabi amesema matatizo ya kushindwa kupata watoto, moyo, kiharusi, magonjwa ya kupumua, vifo vya ghafla asilimia mkubwa vinachangiwa na uzito usio sahihi na kula mara kwa mara. Profesa amesisitiza kutopeleka mwili kwa utaratibu wa chakula bali wale chakula wanapohisi njaa.