Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,167
- 5,602
Punguza munkari kiongozi. JF hawa watu wapo tu. Wakati wa Magu kuna ID zilikuwa critical wakati zilikuwa supportive kwa Jakaya. Na kuna ID zilikuwa critical kwa Jakaya lakini kipindi cha Pombe zikawa supportive. Hata sasa kuna ID tulizisahau zinaibuka na kumpa support mama na wengine wamemgeuka Makamu wao wa few months ago.Acha chuki... zitakuua kabla ya siku zako!
Na huu upumbavu ndio unagawa watu kwenye kutetea maslahi ya taifa!!..
Hawa watu wapo! So save your energy for better.
Wasichojua ni kuwa mwanasiasa ni mwanasiasa tu. Ata support chochote kitakachompa impetus ya kutimiza malengo yake. Lakini pia kuna wanaotumia kigezo cha "mwenzetu" ili tumbo lipate chochote kitu.
Hii nchi ina shida sana. Anyway tutafika tu mwisho wa safari...!