issa shivji

Issa Gulamhussein Shivji (born 1946) is a Tanzanian author and academic, and one of Africa's leading experts on law and development issues. He has taught and worked in universities all over the world. He is a prolific writer and researcher, producing books, monographs and articles, as well as a weekly column printed in national newspapers.

View More On Wikipedia.org
  1. Mr Lukwaro

    Maneno ya Profesa Issa Shivji juu ya Katiba Mpya

    Nakumbuka kipindi cha mchakato wa Katiba, Prof Issa Shivji akitoa Darsa kwa Viongozi wa Vyama vya Siasa, alisema Wananchi wengi hawana Elimu ya Katiba na kusema Ukienda kuwahoji wanataka Katiba ipi, jibu lake atasema Sijui Katiba, hivyo hautapata hiyo Katiba unayoitaka kwasababu umekwenda kuhoji...
  2. mtwa mkulu

    Wapi alipo Nurjehan aliyefaulu mtihani wa kitaifa na professor issa shivji 1960?

    NURJEHAN ALIYEOONGOZA MITIHANI AKIWA NA PROF. SHIVJI MIAKA YA 1960s YU WAPI? Jina la Nurjehan Walli limekuwa maarufu sana katika mitandao ya kijamii baada ya picha yake kuonekana akiwa na Issa Shivji wakati wawili hao walipoongoza mitihani adhimu ya Senior Cambridge Examinations (sasa Form...
  3. The Boss

    Huu mwaka 2023 kuna watu bado wanamsikiliza Issa Shivji?

    Miaka zaidi ya 25 iliyopita ISSA Shivji alikuwa miongoni mwa watu waliiongoza mijadala ya kupinga ubinafsishaji uliokuwa inafanywa na serikali ya Mkapa...aliendika Makala nyingi Sana na midahalo mingi Sana alishiriki...Issa Shivji, Jenerali Ulimwengu na wengine Wengi....cha ajabu kabisa juzi...
  4. sifi leo

    Nitaenda Chato kuwashitaki Polepole, Kabudi na Bashiru; nitapitia Butiama kuwashitaki Butiku, Warioba na Prof. Shivji

    Natambua hii vita ni ya kiuchumi na vita ya kiuchumi kupiganwa paspo kushirikisha marehemu walio kwisha tangulia mbele ya haki hatutoshindwa. Wakati wenzangu wanaandamana kwenda ikulu Mimi nipo njiani naelekeA Chato Kwa mzira nkende mwenzangu nampalekea mashitaka, ninao kwenda kuwashitaki ni...
  5. lane

    Prof Issa Shivji: The Dialectics of Maguphilia and Maguphobia

    Pata andiko tamu kabisa toka kwa nguli, mwanazuoni na msomi Prof Issa Shivji akichambua utawala wa Magufuli na siasa za Tanzania. Article/Andisho limeambatanishwa. === Tanzania: The Dialectics of Maguphilia and Maguphobia Hopefully, the Magufuli...
  6. W

    Wakili Mkuu Gabriel Malata wa Serikali amjibu Prof. Issa Shivji - Ardhi ya Umma

    Rais Ndiye Mkuu wa nchi, Nchi ni Ardhi na vitu vyote vilivyomo, Hakuna nchi ambayo haina Ardhi. Ibara ya 1 inazungumzia Tanzania ni nchi ya Jamhuri ya muungano, Ibara ya Pili inaelezea Eneo la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Rasilimali na Mali asili zote zimewekwa chini ya Mkuu wa Nchi. Ardhi...
  7. figganigga

    Issa Shivji: Ufutaji wa Uchifu Kisheria, ulitusaidia sana kujenga umoja wa kitaifa

    Kwani uchifu ni utamaduni wetu? Makabila mengi hawakuwa na wachifu. Waliwekwa na wakoloni kwa maslahi yao (km Wazanaki). Uchifu ulipigwa marufuku na sheria mnamo 1962. Machifu waliyokuwepo (km Adam Sapi, Fundikira, Kunambi nk) waliingizwa Serikalini katika nyadhifa mbalimbali. Ufutaji wa...
  8. Ileje

    Issa Shivji: The Dialectics of Maguphilia and Maguphobia

    Prof. Shivji amejaribu kuelezea utawala wa Magufuli kwa kifupi: GRIEF AND RELIEF On March 27, 2021, the fifth president of Tanzania John Joseph Pombe Magufuli, aged 61, died a few months after beginning his second term in office. It was a ‘dramatic’ exit for a person who had almost...
  9. Komeo Lachuma

    Profesa Issa Shivji azungumzia tukio la Mzee Mwinyi kupewa "Zawadi ya Benzi" kwa kutumia pesa za Watanzania Maskini

    Hii nchi inaumiza sana. Viongozi hawapo Serious kabisa na maisha ya watanzania hawa maskini. Unampa mtu ambaye hajawahi kuwa na shida maisha yake yoye Zawadi ya Benzi lenye thamani ya Tsh Mil 450. Mwinyi ambaye ana majumba,magari,na kila kitu na watoto wake wenyewe walikuwa hawashindwi kumpa...
  10. mr mkiki

    Prof. Issa Shivji: Nilihudhuria birthday ya Mwalimu, sikumbuki alipewa zawadi yoyote. Hata kukata keki alifanya kwa mzaha

    "Nilihudhuria 70th (1992) birthday ya Mwalimu. Sikumbuki alipewa zawadi yoyote. Hata kukata keki alifanya kwa mzaha. Alipokuwa anaondoka, mama mmoja kampa portrait yake aliyechora mama huyo mwenyewe. Akamambia msaidizi wake apokee. Zawadi ya Benz kwa Mzee wetu ikanishtua kidogo." -- Issa...
Back
Top Bottom