Prof. Ibrahim Lipumba: Tumeistukia UKAWA

Prof. Ibrahim Lipumba: Tumeistukia UKAWA

UKAWA ni genge la swala na Simba,dhambi ya kumtukana Baba wa taifa itawafuata mpaka majumbani kwao

Huyo babako wa taifa binafsi yake mwenyewe kala'aniwa atamlaani nani????
 
Wakuu,

Hivi kuna tofauti gani ya Uhuru na toilet paper?

Gazeti linaloandikwa kutokana na kodi ya kila Mtanzania lakini linaloandika habari za chama kimoja tutashindwaje kulifananisha na toilet paper!!?

Bure kabisa!
 
UKAWA bye bye.....wakaanga sumu mtajibeba.....Jibu hoja sio kutoa mapovu tu

Kumbe habari yenyewe ni gazeti la uhuru duu mi nilifikiri kaongea itv, mwananchi, au nipashe kumbe ni hili gazeti la uhuru lilikosa matumaini ya kuishi hivi bado lipo?
 
Naona Team Lumumba kweli dau limeongezwa, Mkanga sumu ni huyo aliyosema kuwa Ukawa itakufa wakati ndio kumekucha namakucha yake na mtaka sana mkisubiri tushindwe imekula kwenu ukawa juu kwa juu
 
CUF wamefunga ndoa na CCM zanzibar, CUF wamefunga ndoa na CDM bara.

Sielewi hapa
 
UKAWA ni genge la swala na Simba,dhambi ya kumtukana Baba wa taifa itawafuata mpaka majumbani kwao

Katukanwaje mkuu? Kwani alikuwa Mungu au mtume?

Wa TZ inabidituache kuwaruhusu viongozi uchwara kushika akili zetu, tuzitumie wenyewe...

Sipendi kuwafufua wafu halafu tuwachambue kama hakuna sababuya maana! Mustakabali wa Taifa hili unaweza Kuwa sababu, surely hakuwa Mungu and so, alifanya makosa na nilazima tuyajue, tujifunze, kujisahihisha na kujenga taifa lenye nguvu kiuchumi na kijeshi, hapo ndipo maana ya Kuwa na rasilimali itakuwepo!!!

Hata huyo Nyerere alikuwa na ndoto hizi, ila alifanya sehemu yake, tutmie akili na tuache Kuwa bendera fuata upepo!!!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Front page ya gazeti la TAZAMA imeandikwa, 'CUF waishtukia UKAWA' chanzo Prof. Ibrahim Lipumba,
Pia front page ya gazeti la UHURU imeandikwa 'Vigogo CDM waipinga UKAWA'

Niliuliza siku moja kuwa, kina Lipumba na Mbowe wanataka kuja kutueleza nini wananchi ambacho hatukukiona BMK.
Sasahv wameanza kuuza front pages za magazeti. Ebu waje hapa watueleze WALICHOKISHTUKIA kama ni waungwana!
attachment.php
Hivi tazama ndo gazeti gani?
 
ccm,watafanya kila njia kuhakikisha ukawa inavunjika, mfano tumesikia wajumbe baadhi wa kamati kuu wa chadema,kupinga ukawa, haya ndio mambo ya chama cha mapinduzi, ukawa kuweni makini watanzania wameweka matumaini yao kwenu,
 
Front page ya gazeti la TAZAMA imeandikwa, 'CUF waishtukia UKAWA' chanzo Prof. Ibrahim Lipumba,
Pia front page ya gazeti la UHURU imeandikwa 'Vigogo CDM waipinga UKAWA'

Niliuliza siku moja kuwa, kina Lipumba na Mbowe wanataka kuja kutueleza nini wananchi ambacho hatukukiona BMK.
Sasahv wameanza kuuza front pages za magazeti. Ebu waje hapa watueleze WALICHOKISHTUKIA kama ni waungwana!
attachment.php

UHURU et al is not credible source.
 
Gazeti la UHURU na la TANZANIA DAIMA kwakweli huwa siyaamini kwani yamekaa kichama zaidi.
 
Mbona wana ccm hamjiamini! mnajitahidi sana na mipango yenu ya kutaka wananchi wakubali uongo wenu wa kupandikiza mambo kuivuruga UKAWA lakini hamtaweza mtanzania wa leo si wa mwaka 2010 watu wanaijua ccm na janja yake naona mnatumia nguvu nyingisana kuivunja UKAWA hataweza ng'oo.
 
Front page ya gazeti la TAZAMA imeandikwa, 'CUF waishtukia UKAWA' chanzo Prof. Ibrahim Lipumba,
Pia front page ya gazeti la UHURU imeandikwa 'Vigogo CDM waipinga UKAWA'

Niliuliza siku moja kuwa, kina Lipumba na Mbowe wanataka kuja kutueleza nini wananchi ambacho hatukukiona BMK.
Sasahv wameanza kuuza front pages za magazeti. Ebu waje hapa watueleze WALICHOKISHTUKIA kama ni waungwana!
attachment.php

Hivi wewe unaakili za unyaniunyani nini?
Hio ni migazeti gani sasa unatuletea humu kama reference?
Hayo magazeti ya kufungia uchafu!
Hivi nani huwa anasoma magazeti hayo? Labda ni wewe peke yako!
Ndio maana huku mtaani hukuna mwenye habari kama hizo au aliyesikia hizo habari.
 
Nilichotaka kuandika umenipre empty kaka. Inaonekana ukawa inawasumbua sana watu fulani. Halafu waulize hao vigogo wa chadema wanaopinga hilo ni akina hakuna jibu. Jibu sahihi ni propaganda. Full stop. Mwaka 2015 Nark ya Tanzania kama ya kenya inaingia madarakani. No joke this time around.

Ha ha ha ha .Hawaponi safari hii
 
Back
Top Bottom