johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,695
Wakati akirejea CUF Prof Lipumba alisema wazo la kuanzisha Ukawa alilitoa yeye pale BMK. Jana tena mwanaccm Kisandu amesema yeye ndiye aliyeasisi wazo la kuanzisha ukawa.
Wanabodi anayejua ukweli anijuze niweke kumbukumbu zangu za kisiasa sawa.
Wanabodi anayejua ukweli anijuze niweke kumbukumbu zangu za kisiasa sawa.