Prof. Ibrahim Lipumba: Tumeistukia UKAWA

Prof. Ibrahim Lipumba: Tumeistukia UKAWA

CCM yaani ya Mwalimu ina watafuna! sasa badala ya kujenga nchi kila siku ni kutunga maneno ya kuwababaisha Wqatanzania!.Jamani fanyeni mambo yenye kuleta tija kwa taifa letu!.Tulitegemea kwamba vyama vya upinzani ndio vipige projo na wala sio chama tawala! kwani matokeo ya mafanikio ya ilani yao ya uchaguzi ndio majibu kwa umma.Sasa ni kinyume, na ndio maana wameanza kupiga projo nchi nzima!.
 
Yaani hayo magazeti yanayoandika page mbili propaganda,Page 7 utabiri wa nyota,matangazo ya waganga wa kienyeji na pia makala za kuwachambua Illuminati kisha page moja ya habari za Simba na Yanga au Manyema FC ndiyo unatuletea hapa kama reference au reliable source? Please,We deserve better than this.

Ulitaka atumie gazeti la Tanzania Daima au -----?
 
Yaani hayo magazeti yanayoandika page mbili propaganda,Page 7 utabiri wa nyota,matangazo ya waganga wa kienyeji na pia makala za kuwachambua Illuminati kisha page moja ya habari za Simba na Yanga au Manyema FC ndiyo unatuletea hapa kama reference au reliable source? Please,We deserve better than this.

Nilichotaka kuandika umenipre empty kaka. Inaonekana ukawa inawasumbua sana watu fulani. Halafu waulize hao vigogo wa chadema wanaopinga hilo ni akina hakuna jibu. Jibu sahihi ni propaganda. Full stop. Mwaka 2015 Nark ya Tanzania kama ya kenya inaingia madarakani. No joke this time around.
 
umeyashika pabaya magamba sasa yanaweweseka! Hayo magazeti yenu ya kufungia ''Mbute'' yatakuja na kila rangi huku UKAWA ukiendelea kuhamasisha na kuuamsha umma kudai katiba yao na si hiyo ya interahamwe mliyotaka kuipenyeza BLK.
 
Unatuletea habari za magazeti ya kiganga hapa
Wewe ndio ngifi kweli ubongo uliozeeka utaujuwa tu utendaji wake
 
Tena bora wezi ambao wameshiba....nyie mna njaa mkiingia kuiba mtaiba ad unga na sukari bot....peleken njaa mbelee ukoo...

Ok tuseme tunawapigia kura muupate urais....tunapiga cdm?.ukawa?,,nccr?,,cuf?,,
Mmevurugwaaa nyieee

Wewe kama umefika hata darasa la nne ni bahati sana!


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Yaani hayo magazeti yanayoandika page mbili propaganda,Page 7 utabiri wa nyota,matangazo ya waganga wa kienyeji na pia makala za kuwachambua Illuminati kisha page moja ya habari za Simba na Yanga au Manyema FC ndiyo unatuletea hapa kama reference au reliable source? Please,We deserve better than this.

Hivi mkuu, wewe unaelimu gani!??
 
tulia mkuu vikuingie maana ulikuwa kampeni meneja wa UKAWA!
Kama ni uzalendo kwa UKAWA ni wakati huu na kama ni kipindi viongozi wa UKAWA kuukwaa utajiri ni sasa. maana nijauavyo CCM hawana uwezo wa kujenga hoja na wao kuendelea kuwa madarakani ni kwa kutegemea jeshi na tume ya kuchaguzi kuchakachua matokeo, basi watawahonga viongozi wa UKAWA mpaka hazina yetu iishe kabisa kwani mpaka sasa wameitafuna vibaya sana. Mimi nawashauri UKAWA wachukue hiyo hela yetu toka hazina kupitia ccm waitumie kwenye elimu ya uraia huko mikoani ili itumike kuwakomboa watanzania. Safari hii tutaona chama chenye mbinu za kizee na vitisho hadi kuua watu ili wabaki madarakani kwani hawa watu wameingia mikataba mingi ya kilaghai na madudu mengi ambayo hakuna namna ya kukwepa mkono wa sheria. Watakachofanya sasa ni kuhakikisha wanawapa viongozi wa jeshi hela nyingi ya haramu kuhakikisha wanawalinda kwa namna yoyote rejea jeshi kuchukua nchi.

Nawaomba sana wanajeshi wetu walio wazalendo wasiingie kwenye mtego huu wa hela chafu kwani nchi yetu ni tajiri na malipo yao huko mbeleni yatakuwa bora sana wao pamoja na familia zao na taifa kwa ujumla. Waige mfano wa akina Jaji Warioba, Salim A. Salim nk waliokubali kusimamia matakwa ya wananchi bila hofu, woga wala tamaa ya mali ya muda mfupi.
 
Inayopumulia machine ni Chagadema,wanahaha kutafta ndoa kwa vyama vingine walivyooviita CCM-B,sasa Ukawa ni CCM -C...kwi! kwi! kwi!

Subiri uone, viashiria vya kuporomoka kwa ccm vi-at best. Kama una muweka msimamizi wa huduma na baadae unakuta huduma hazikfikia walengwa, na walengwa hao wamefura kishenzi, kutokea kusema msimamizi ni mzembe, hafai, ni mzigo na siku nenda rudi huyo msimamizi anaendelea kusimamia hizo ni dalili za nini? Inaashiria nini? Walengwa wanakuonaje? Fuatilia ziara za kinana utayaona hayo.
 
Front page ya gazeti la TAZAMA imeandikwa, 'CUF waishtukia UKAWA' chanzo Prof. Ibrahim Lipumba,
Pia front page ya gazeti la UHURU imeandikwa 'Vigogo CDM waipinga UKAWA'

Niliuliza siku moja kuwa, kina Lipumba na Mbowe wanataka kuja kutueleza nini wananchi ambacho hatukukiona BMK.
Sasahv wameanza kuuza front pages za magazeti. Ebu waje hapa watueleze WALICHOKISHTUKIA kama ni waungwana!
attachment.php

UNANUKUU gazeti LA UHURU ! GAZETI AMBALO LINAENDESHWA KWA FEDHA MAALUM , MAANA HALINUNULIWI HATA NA WAPIKA CHAPATI ! UMELENGA KUTUPOTEZEA MUDA ?
 
you haven't say any thing abaout lipumba's statement that "TUMEISHTUKIA UKAWA"
Pamoja na kujaribu kuelewa unachomaanisha, nikwambie kwamba Lipumba hawezi kuwa na akili kama hiyo!
Mnajifariji tu!
Prof. Lipumba na yeyote akijitoa UKAWA, atakuwa amejiua kama jamaa wa EWURA
 
wameistukiaje hiyo ukawa? Mbona taarifa haijakamilika?
 
Back
Top Bottom