Propaganda za kitoto hizi.
wameistukiaje hiyo ukawa? Mbona taarifa haijakamilika?
Ahsanteh mkuu, umemaliza!
UKAWA ni genge la swala na Simba,dhambi ya kumtukana Baba wa taifa itawafuata mpaka majumbani kwao
Mimi nitafurahi atakapotokea kiongozi au chama kitakachoingia madarakani na kuunda tume au kuanzisha mchakato wa kujua ukweli kuhusu kifo cha Karume,Sokoine,Kolimba,Kighoma Malima ,Meja general Imrani Kombe ,Mwasisi wa Taifa hili Mwalimu Nyerere na Dr.Mvungi.
Halafu pia afanye mchanganua wa kuyaweka wazi matusi waliyotukanwa waasisi wa Taifa hili na kuwafikisha mahakamani watakaobainika kuhusika.
Front page ya gazeti la TAZAMA imeandikwa, 'CUF waishtukia UKAWA' chanzo Prof. Ibrahim Lipumba,
Pia front page ya gazeti la UHURU imeandikwa 'Vigogo CDM waipinga UKAWA'
Niliuliza siku moja kuwa, kina Lipumba na Mbowe wanataka kuja kutueleza nini wananchi ambacho hatukukiona BMK.
Sasahv wameanza kuuza front pages za magazeti. Ebu waje hapa watueleze WALICHOKISHTUKIA kama ni waungwana!
![]()
Front page ya gazeti la TAZAMA imeandikwa, 'CUF waishtukia UKAWA' chanzo Prof. Ibrahim Lipumba,
Pia front page ya gazeti la UHURU imeandikwa 'Vigogo CDM waipinga UKAWA'
Niliuliza siku moja kuwa, kina Lipumba na Mbowe wanataka kuja kutueleza nini wananchi ambacho hatukukiona BMK.
Sasahv wameanza kuuza front pages za magazeti. Ebu waje hapa watueleze WALICHOKISHTUKIA kama ni waungwana!
![]()
Yaani hayo magazeti yanayoandika page mbili propaganda,Page 7 utabiri wa nyota,matangazo ya waganga wa kienyeji na pia makala za kuwachambua Illuminati kisha page moja ya habari za Simba na Yanga au Manyema FC ndiyo unatuletea hapa kama reference au reliable source? Please,We deserve better than this.
Yaani hayo magazeti yanayoandika page mbili propaganda,Page 7 utabiri wa nyota,matangazo ya waganga wa kienyeji na pia makala za kuwachambua Illuminati kisha page moja ya habari za Simba na Yanga au Manyema FC ndiyo unatuletea hapa kama reference au reliable source? Please,We deserve better than this.
Kwa uelewa huu na kiingereza hiki sina shaka wewe ni miongoni mwa wahariri wa gazeti la Uhuru.you haven't say any thing abaout lipumba's statement that "TUMEISHTUKIA UKAWA"
Kuna haja gani ya kuuliza habari zinazoandikwa na TAZAMA na UHURU na sio magazeti mengine yenye hadhi ?
Ukawa kwisha kabisa
Bila kusahau CHACHA WANGWE na GRACE MBOWE.Mimi nitafurahi atakapotokea kiongozi au chama kitakachoingia madarakani na kuunda tume au kuanzisha mchakato wa kujua ukweli kuhusu kifo cha Karume,Sokoine,Kolimba,Kighoma Malima ,Meja general Imrani Kombe ,Mwasisi wa Taifa hili Mwalimu Nyerere na Dr.Mvungi.
Halafu pia afanye mchanganua wa kuyaweka wazi matusi waliyotukanwa waasisi wa Taifa hili na kuwafikisha mahakamani watakaobainika kuhusika.