Prof. Ibrahim Lipumba: Tumeistukia UKAWA

Prof. Ibrahim Lipumba: Tumeistukia UKAWA

UKAWA ni genge la swala na Simba,dhambi ya kumtukana Baba wa taifa itawafuata mpaka majumbani kwao

hakuna anayemtukana nyerere kama jk na genge la mafisadi wenzie..nyerere hakuwa mwizi wa rasilimali za taifa kama jk na wenzie.
 
Hizo ni propaganda za ccm baada ya kupagawishwa na kukosa mbinu mbadala dhidi ya ukawa....maskini ccm.
 
yaani hayo magazeti yanayoandika page mbili propaganda,page 7 utabiri wa nyota,matangazo ya waganga wa kienyeji na pia makala za kuwachambua illuminati kisha page moja ya habari za simba na yanga au manyema fc ndiyo unatuletea hapa kama reference au reliable source? Please,we deserve better than this.
haaahaaaahaaahaaahaaahaaahaaahaaaaaaaaaaaa
 
Yaani hayo magazeti yanayoandika page mbili propaganda,Page 7 utabiri wa nyota,matangazo ya waganga wa kienyeji na pia makala za kuwachambua Illuminati kisha page moja ya habari za Simba na Yanga au Manyema FC ndiyo unatuletea hapa kama reference au reliable source? Please,We deserve better than this.
Bahati mbaya vichwa vya habari vya magazeti yetu vinachochewa na vipindi vya asubuhi vya radio vinavyosoma vichwa hivyo vya habari...kila gazeti linakazana kuandika vichwa vya habari vya kuvutia ukisoma habari unahundua ni upuuzi tu.
 
Front page ya gazeti la TAZAMA imeandikwa, 'CUF waishtukia UKAWA' chanzo Prof. Ibrahim Lipumba,
Pia front page ya gazeti la UHURU imeandikwa 'Vigogo CDM waipinga UKAWA'

Niliuliza siku moja kuwa, kina Lipumba na Mbowe wanataka kuja kutueleza nini wananchi ambacho hatukukiona BMK.
Sasahv wameanza kuuza front pages za magazeti. Ebu waje hapa watueleze WALICHOKISHTUKIA kama ni waungwana!
attachment.php

Hili gazeti hata nikikuta limefungia vitumbua sili!!
 
UKAWA bye bye.....wakaanga sumu mtajibeba.....Jibu hoja sio kutoa mapovu tu

Katika maneno haya hapa chini ya huyo mleta mada Hoja ni ipi unayotaka ijibiwe?

Front page ya gazeti la TAZAMA imeandikwa, 'CUF waishtukia UKAWA' chanzo Prof. Ibrahim Lipumba,
Pia front page ya gazeti la UHURU imeandikwa 'Vigogo CDM waipinga UKAWA'

Niliuliza siku moja kuwa, kina Lipumba na Mbowe wanataka kuja kutueleza nini wananchi ambacho hatukukiona BMK.
Sasahv wameanza kuuza front pages za magazeti. Ebu waje hapa watueleze WALICHOKISHTUKIA kama ni waungwana!
 
Katika maneno haya hapa chini ya huyo mleta mada Hoja ni ipi unayotaka ijibiwe?

Front page ya gazeti la TAZAMA imeandikwa, 'CUF waishtukia UKAWA' chanzo Prof. Ibrahim Lipumba,
Pia front page ya gazeti la UHURU imeandikwa 'Vigogo CDM waipinga UKAWA'

Niliuliza siku moja kuwa, kina Lipumba na Mbowe wanataka kuja kutueleza nini wananchi ambacho hatukukiona BMK.
Sasahv wameanza kuuza front pages za magazeti. Ebu waje hapa watueleze WALICHOKISHTUKIA kama ni waungwana!

aCHA KUWA KAMA UMENANIHIII! NIMEULIZA PROF. ATUELEZE ALICHOSHUTUKA!
 
Anataka habari iyandikwe na gazeti namba 1 la umbeya tanzania daima ndio aamini lipumba kaongea nini na wajumbe wao wa chagadema wamepinga nn

you made my day!! inajua maana ya umbeya? ni ukweli naoletwa katika muda isiokisudiwa! magazeti ya uongo ndio hatari!
 
aCHA KUWA KAMA UMENANIHIII! NIMEULIZA PROF. ATUELEZE ALICHOSHUTUKA!

Wewe utakuwa ni Mzoga kabisa kiakili yaani hiki ulichokiweka ndio unaona hoja inayotakiwa kujibiwa na watu wenye akili. Habari yenyewe imetoka katika chanzo MZOGA.
 
hahahaha Profesa kastukia Saccos. Hahahaha
 
Back
Top Bottom