Prof. Lipumba: Bila Ukawa mpya 2025 CHADEMA watapata mbunge mmoja tena!

Qatif

JF-Expert Member
Dec 16, 2014
379
859
Mwenyekiti wa Chama Wananchi CUF, Prof Ibrahim Lipumba amesema kuwa, "Bila ya kuwa na UKAWA mpya kuelekea 2025 hata hao CHADEMA wanaojiona wakubwa wanaweza kupata mbunge mmoja tena kama 2020, CCM hawana utani kwenye uchaguzi".
 
V
a kuwa na mbunge mmoja kuliko kushirikiana na Lipumba kigeu geu mpenda kula.ige
Vigeugeu ni wale walisema hili kuhusu lowasa mwwmbeyanga 2008 Kisha wakasema kinyume kuhusu lowasa 2015 na kumpa tiketi ya kugombea
 
Mwenyekiti wa Chama Wananchi CAF, Prof Ibrahim Lipumba amesema kuwa.

"Bila ya kuwa na UKAWA mpya 2025 hata hao CHADEMA wanaojiona wakubwa wanaweza kupata mbunge mmoja tena kama 2020, CCM hawana utani kwenye uchaguzi".
Lipumba acha kuwainua hawa chadema, wapatee mbungee Mumoja wa kutoka Jimbo ganiiii. 2025 hata yule wa kule kijijini harudiiii
 
Mwenyekiti wa Chama Wananchi CAF, Prof Ibrahim Lipumba amesema kuwa.

"Bila ya kuwa na UKAWA mpya 2025 hata hao CHADEMA wanaojiona wakubwa wanaweza kupata mbunge mmoja tena kama 2020, CCM hawana utani kwenye uchaguzi".
Mbona hiyo siyuuef yake haipati hata mjumbe mmoja wa nyumba tano,labda aitishe tena mkesha wakati huu wa miezi minne,na sasa sijui wapo wanachama wangapi wakuwahamishia Eisiitiii😂
 
Kwahiyo sisi tufanyeje kwasababu mimi sipigi kula huo mwaka hakuna wakuni ongoza zaidi ya Hayati Magufuli
Ndugu yangu, elewa kuwa Mungu Mwenyezi tu ni milele. Si Magufuli wa binadamu awaye yeyote aliyezaliwa na Mwanamke ataishi milele. Kumbuka pia Tanzania ilikuwepo kabla ya Magufuli, na ipo sasa wakati yeye hayupo tena na itakuwepo. Uchaguzi utaendelea kuwepo hata wewe usipopiga kura. Legeza moyo wako na kuwa huru
 
Ndugu yangu, elewa kuwa Mungu Mwenyezi tu ni milele. Si Magufuli wa binadamu awaye yeyote aliyezaliwa na Mwanamke ataishi milele. Kumbuka pia Tanzania ilikuwepo kabla ya Magufuli, na ipo sasa wakati yeye hayupo tena na itakuwepo. Uchaguzi utaendelea kuwepo hata wewe usipopiga kura. Legeza moyo wako na kuwa huru
Haya ndo maneno ya busara tunaambiwa siku zote, na yanafaa kuishi nayo.
 
Lowasa ni Mtanzania hakuna mahali popote Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 inapomzuia Lowasa kutugombea kwenye chama chochote cha siasa,kwa muktadha huo Mbowe alikuwa sahihi 100%
Unajitoa akili siyo,unajifanya hujui uliyemjibu kamaanisha nini!?
 
Back
Top Bottom