Prof. Ibrahim Lipumba: Tumeistukia UKAWA

Prof. Ibrahim Lipumba: Tumeistukia UKAWA

Wanaoyasoma magazeti ya Uhuru na Tazama na kuyaamini wanapaswa kupimwa kiwango chao cha akili.
Kama Tazama waandishi wake hawana elimu wala ujuzi, wana rekodi za ovyo ovyo na ni wahalifu nyuma ya pazia la CCM wakijikomba ili wagange njaa.
Heri kuusoma umbea wa Shigongo kuliko hizo takataka.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wewe utakuwa ni Mzoga kabisa kiakili yaani hiki ulichokiweka ndio unaona hoja inayotakiwa kujibiwa na watu wenye akili. Habari yenyewe imetoka katika chanzo MZOGA.

uNGEKUWA NA AKIL UNGEWAACHA WENYE AKIL WAJIBU.
 
...toilet paper kwake chooni tu,and so is uhuru na mzalendo...
 
Hivi unaweza kusoma uhuru na tazama, tazama halina habari zaidi ya kuchambua ushirikina
 
Tena bora wezi ambao wameshiba....nyie mna njaa mkiingia kuiba mtaiba ad unga na sukari bot....peleken njaa mbelee ukoo...

Ok tuseme tunawapigia kura muupate urais....tunapiga cdm?.ukawa?,,nccr?,,cuf?,,
Mmevurugwaaa nyieee
Tumekusikia ma.ma foo.ls watakuja kukusikiliza na ujing...a wako!
 
taja hilo tusi alilotukanwa nyerere,lini utakuwa na akili ya utambuzi?

''nyerere aliishi kwa uwongo'' kama na wewe unaweza kumwambia baba yako kuwa alikudanganyia mama, basi utakuwa maadili huna.
 
Front page ya gazeti la TAZAMA imeandikwa, 'CUF waishtukia UKAWA' chanzo Prof. Ibrahim Lipumba,
Pia front page ya gazeti la UHURU imeandikwa 'Vigogo CDM waipinga UKAWA'

Niliuliza siku moja kuwa, kina Lipumba na Mbowe wanataka kuja kutueleza nini wananchi ambacho hatukukiona BMK.
Sasahv wameanza kuuza front pages za magazeti. Ebu waje hapa watueleze WALICHOKISHTUKIA kama ni waungwana!
attachment.php

hii ni hoja umetoa au umekuja kulinadi gazeti ?
 
Wasira tumekushtukia, tafuta nyingine la kutudanganya kwa hili hapana!
 
Habari ya kinana kuwataja mawaziri gazeti la udaku aka uhuru linewaomba ladhi mawaziri baada ya kukurupuka kuandika maneno ya mzee wa ndovu
 
Habari ya kinana kuwataja mawaziri gazeti la udaku aka uhuru linewaomba ladhi mawaziri baada ya kukurupuka kuandika maneno ya mzee wa ndovu

mBONA MNA UBINAFSI SANA? LIKIANDIKA MAMBO YA CCM MWALIPONDA, LIKIANDIKA MAMBO YA UKAWA NA CHADEMA, MWALIPONDA! SO MNATAKA LIMSIFIE KINA MBOWE, SLAA, LISU WAKIMTUKANA MWL NYERERE NDO MLIONE SIYO LA UDAKU? HEBU ACHENI HAYO MAMBO YA AJABU AJABU! THERE ARE VERY FEW GREAT THINKERS HUMU, UNAWEZA KUJIBIZANA NA MAMBUMBUMBU!
 
JAMBOLEO na lenyewe limeandika: Lipumba, Mbowe na Mbatia hapatoshi! UKAWA yakataliwa mikoani....hizo ni salamu zenu, je nalo ni gazeti la udaku?
 
Back
Top Bottom