Prof. Baregu aitahadharisha CHADEMA kuhusu Zitto

Prof. Baregu aitahadharisha CHADEMA kuhusu Zitto

Hospital ya Mataahira Tabora, Mtoto alikuwa akikojoa kwenye Balcon. Mwalimu akaja na yule kijana akakatiza zoezi hilo. Mwalimu alipoona hivyo, akajua kijana ameshapona kwani anafahamu baya na zuri. Mwalimu akamuuliza, "Mbona umekatika kukojoa?" Yule kijana akamjibu "niliogopa kuwa utaukamata mkojo wangu univute chini nianguke...."

Sasa hapa ndiyo umemuona mwenzio Mjinga? Tena unaandika kwa herufi ndogo? Unajua Mwenzio anaelezea makala nyingine za nyuma pia? Au wewe umekamata moja tu ya Baregu? Panua ubongo na ona mbali zaidi ya Makala ya Baregu.
Yaani katika watu nilioona humu JF, wewe ni mjinga kuliko wote. Iweje umshambulie mwandishi wa habari badala yaa kumlaumu Baregu aliyenukuliwa maneno hayo? hii kweli ni balaa. akili za bavicha zimefika ukingoni
 
Hiyo Biashara alianza Baba yake na amekuzwa nayo. Alichofanya ni kuipandisha juu zaidi. Cha muhimu ni kuwa anatoa ajira, analipa kodi na hafisadi mali ya Serikali. Mbona mnapokea misaada kutoka Uholanzi au UK wakati ni pesa za Bangi ya Uholanzi, pesa za Red Street, fedha za Mashoga wa UK akina Elton John, George Michael nk.

Ndiyo hizi Story za mie sili Nyamafu ila filigisi, natia ndani sana.

amsterdam-coffee-shop-menu-M20567.jpg
Girls-going-wild-in-red-light-district-801222-1.jpeg

Clemence iaonekana kama vile una point:

Kwa maelezo yako Mbowe ni mjasiriamali na wala sio mwanasiasa.

Sasa akili ya kuzaliwa ya Mbowe mliipimaje?

Kama Club Billicanaz ndio kigezo cha akili ya kuzaliwa kwa Mbowe labda CHADEMA sasa hivi ilibidi iongozwena Bakhresa hivi au Mengi.

Hao wawili wanamshinda Mbowe ubunifu. Kwanza nia aibu kwa mtu mwenye maadili yake kwenda kuanzisha club za usiku. Hii ni kuchochea maasi ikiwemo ulevi na uzinifu.

Kwa hiyo Mbowe ni investor katika sector ambay haina manufaa chanya kwa jamii.
 
Naomba kujua Chadema hakina msemaji wa Chama? kila mtu anasema maana yake ni nini? au ndo utawala wa kambale kuwa kila mmoja ana sharubu? Kama mtu alikuwa kwenye kikao cha CC na akashiriki katika maamuzi yaliyofikiwa inakuaje sasa anazungumza kama mtu ambaye hakuwepo kwenye kikao? kama ni suala la kuonya kwa nini hakufanya hivyo kwenye kikao? Na viongozi wanoitisha press conference kwa ajili ya kusemea jambo hilo, naomba niwaulize chama chenu hakina utaratibu wa msemaji wake? kwani CC imeomba maoni katika uamuzi waliofanya? Nashindwa kuwaelewa viongozi wa leo.

Mkuu uko sahihi mno! huyu Mzee Proffesa Baregu amechanganyikiwa au labda ndo walewale. Ni wazi alikuwepo na akatoa hoja hiyo na ikazidiwa nguvu. Sasa anaileta kwenye Mwananchi kufanya nini au ndio iweje?
Kama anampenda Zitto kwa nini hajamuonya toka 2008 alivyolianzisha au anajifanya alikuwa hamuoni? Atulie tu zimebaki siku 10 Chama kifungue ukurasa mpya bila Zitto!
 
Hiyo Biashara alianza Baba yake na amekuzwa nayo. Alichofanya ni kuipandisha juu zaidi. Cha muhimu ni kuwa anatoa ajira, analipa kodi na hafisadi mali ya Serikali. Mbona mnapokea misaada kutoka Uholanzi au UK wakati ni pesa za Bangi ya Uholanzi, pesa za Red Street, fedha za Mashoga wa UK akina Elton John, George Michael nk.

Ndiyo hizi Story za mie sili Nyamafu ila filigisi, natia ndani sana.
amsterdam-coffee-shop-menu-M20567.jpg
Girls-going-wild-in-red-light-district-801222-1.jpeg

Kwa historia huwezi kuongea burudani bila kuitamka Bilcanas. Sasa hivi entertainment industry Tanzania inaajiri vijana wetu wengi na nyuma yake ni Bilcanas. Ukitaka kuthibitisha waulize waanzilishi wa Clouds FM.
 
unatumia kichwa kufugia nywele peke yake, wenzako wanakitumia pia kufikiri, waige hao, utafanikiwa ktk maisha yako. comment kama ya kwako hii haiwezi kuzuia kifo cha michadema

Pole sana jamaa wewe...
Tegemeo lenu halipo tena.
Zitto mchukueni maana naona anasifika sana huku CCM.
Zitto is out and gone with the wind, gone up in smoke.... booom...!!!
 
Clemence iaonekana kama vile una point:

Kwa maelezo yako Mbowe ni mjasiriamali na wala sio mwanasiasa.

Sasa akili ya kuzaliwa ya Mbowe mliipimaje?

Kama Club Billicanaz ndio kigezo cha akili ya kuzaliwa kwa Mbowe labda CHADEMA sasa hivi ilibidi iongozwena Bakhresa hivi au Mengi.

Hao wawili wanamshinda Mbowe ubunifu. Kwanza nia aibu kwa mtu mwenye maadili yake kwenda kuanzisha club za usiku. Hii ni kuchochea maasi ikiwemo ulevi na uzinifu.

Kwa hiyo Mbowe ni investor katika sector ambay haina manufaa chanya kwa jamii.
Kama biashara hii ni mbaya hivyo kwa nini serikali tukufu ya CCM inakula kodi yake bila kunawa? Kwa busara zenu simngepiga marafuku ili wote tuwa wanasiasa wa CCM?
 
Clemence iaonekana kama vile una point:

Kwa maelezo yako Mbowe ni mjasiriamali na wala sio mwanasiasa.

Sasa akili ya kuzaliwa ya Mbowe mliipimaje?

Kama Club Billicanaz ndio kigezo cha akili ya kuzaliwa kwa Mbowe labda CHADEMA sasa hivi ilibidi iongozwena Bakhresa hivi au Mengi.

Hao wawili wanamshinda Mbowe ubunifu. Kwanza nia aibu kwa mtu mwenye maadili yake kwenda kuanzisha club za usiku. Hii ni kuchochea maasi ikiwemo ulevi na uzinifu.

Kwa hiyo Mbowe ni investor katika sector ambay haina manufaa chanya kwa jamii.

Hoja yako nyepesi kama pamba ni ngumu kuangusha ya Clemence, kaongea ukweli acha kutapa tapa na maswali yako dhaifu.
 
Atleast alifanya mtihani na kupata hiyo gent degree. Vipi kuhusu kamanda wa anga ambaye hata mchaka mchaka wa kupandisha vilima hakupata?

A simple question; Mbowe alipitishwa kuwa mwenyekiti kwa vigezo gani mbali ya ufadhili wake kwa chama na uhusiano mzuri na muasisi wa chama? Jitahidi hata kwa vigezo vya kutunga maana tunajua exposre aliyopata kwenye real world ni kuwa clerk pale BOT na wakati huo ni kwa sababu ya mzee Mtei.
lakini si umeona amefanya makubwa sana
 
si bure naamini umerogwa kama huu ndo uchambuzi wako,plz rudi shule kk

Hapa haihitaji shule yoyote ile kuona kuwa jamaa yenu Zitto ameshakwisha.
Wewe unafikiri ni kwa nini mnamtetea sana na kulia-lia...??
Tegemeo lenu kwisha kabisa, kazi mliyomtuma amefeli kabisa, mlipeni tu mafao yake atulie.
Wapi sixgates...???
 
Last edited by a moderator:
Zitto ni kama Karama kwenye Riwaya ya Kusadikika, Mbowe ni kama Majivuno. Majivuno hataki ushauri, hataki changamoto. Sasa you can imagine mtu wa kambi ya mbowe analeta dharau kwa Profesa aliyebobea eti kisa ametofautiana naye kimtizamo. KWANZA KIUKWELI KAMTUKANA MZEE WA WATU ETI HANA KITU INTELLECTUALLY HUU NI UTOVU WA NIDHAMU NA KAMA CHAMA KINGEKUWA FAIR KINGEMCHUKULIA HATUA ZA KINIDHAMU KUTUKANA VIONGOZI [MJUMBE WA KAMATI KUU] MTANDAONI

Hata profesa mbakaji juma naye ni msomi? mafisadi na wezi wengine wanaolihujumu taifa hili nao ni wasomi kama yeye?.ccm ina maprofesa wangapi lakn inaongozwa na iliwahi kuongozwa na watu wa aina gani? je,nao walikuwa wasomi sana? na je,viongozi wote waliowahi na waliopo katika dunia hii wote wamesoma kuwazidi wanaowaongoza? au unataka kusema baba zenu waliowazaa hawawezi kuwaongoza kwa mambo mengi yanayowahusu kwa sababu munawazidi elimu.kumbuka historia inamuhukumu malaika mkuu aliyekuwa na nguvu alitupwa duniani pale alipoasi.
 
Hiyo Biashara alianza Baba yake na amekuzwa nayo. Alichofanya ni kuipandisha juu zaidi. Cha muhimu ni kuwa anatoa ajira, analipa kodi na hafisadi mali ya Serikali. Mbona mnapokea misaada kutoka Uholanzi au UK wakati ni pesa za Bangi ya Uholanzi, pesa za Red Street, fedha za Mashoga wa UK akina Elton John, George Michael nk.

Ndiyo hizi Story za mie sili Nyamafu ila filigisi, natia ndani sana.

Babu Sikonge, kwa ubunifu wa kijasiriamali Mbowe hawashindi akina Mengi na Bakhresa! Hata wanaofanya biashara ya ukahaba wanalipa kodi lakini kwa moral standards hizo biashara hazifai.

Kuna vigezo vingine mlivyotumia kumfanya awe mwenyekiti wenu zaidi ya ushawishi wa mali yake na ukaribu alio nao na Mtei?
 
Kikwete anamuongoza prof j4 magimbi,prof mwandosya,dr mwaki-embe,prof maji marefu nk...
Ndugu yangu hebu achana na watafuna bangi mbichi; Kawawa au mzee Karume alikuwa na digrii ngapi na ni research gani iliyosema mapinduzi huletwa na wasomi? Wanatetea pumba za jitu lililozeeka mpaka maini. Hao waasi wangekitendea mazuri chama si kingekuwa maarufu kuliko wao? mbona sasa wanaonekana maarufu kuliko chama? si walikuwa bize wanajijenga binafsi? kwanini sasa tuendelee kuwapa uwanja wa kujivinjari? waondoke bhanaaaa
 
Baregu alitakiwa kumtahadhalisha Zitto kuhusu mipango yao ya mapinduzi.
Ila kama kawaida, alikaa kimya akidhani mipango ile ingetimia.
Sasa anatapa-tapa kujaribu kumuokoa Zitto.
Zitto ameshakwisha, anachoweza kufanya Zitto ni kukimbilia mahakamani. Kesi itanguruma mpaka baada ya uchaguzi mwaka 2015.
Hataweza kugombea wadhifa wowote ule, na akishinda, sana sana atabaki kuwa mwanachama wa Chadema, bila ubunge wala cheo chochote kile.
Zitto kwisha kazi yake, akadai mafao yake CCM, atulie.

poleni sana mlioumia
 
Aende akanye na UProfesor wake na Kama anataka awafuate
 
Clemence iaonekana kama vile una point:

Kwa maelezo yako Mbowe ni mjasiriamali na wala sio mwanasiasa.

Sasa akili ya kuzaliwa ya Mbowe mliipimaje?

Kama Club Billicanaz ndio kigezo cha akili ya kuzaliwa kwa Mbowe labda CHADEMA sasa hivi ilibidi iongozwena Bakhresa hivi au Mengi.

Hao wawili wanamshinda Mbowe ubunifu. Kwanza nia aibu kwa mtu mwenye maadili yake kwenda kuanzisha club za usiku. Hii ni kuchochea maasi ikiwemo ulevi na uzinifu.

Kwa hiyo Mbowe ni investor katika sector ambay haina manufaa chanya kwa jamii.

Bocho,

Unaongea ujinga na upumbaf!!!
Na hapa ndipo ule msemo wa,''Foolish mind discuss people but intelligent mind discuss issues''
Inasikitisha kuona kwamba mtu unamchukia tu kwasababu ni mpinzani wa chama kilichopo Madarakani! Huu ni uzezeta na uzuzu uliopitiliza. Kwanini watu hamtaki kuzungumzia UASI wa Zitto Kabwe,Kitila Mkumbo na Mwigamba? Yaani kwako tatizo ni Mbowe siyo hawa waliotaka kuleta maasi ndani ya chama!!!!

Kwa taarifa yako Mbowe ni moja ya Viongozi makini katika nchi hii na wasiotetereka. Hata CCM na Serikali yake wanalijua hili ukiwemo na wewe. Watu husema mti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe na ndicho kinachotokea kwa CDM na Viongozi wake.

Kusema ati Mbowe alianzisha Klabu za Usiku ambazo hazina tija kwa wananchi ni upumbavu. Kuna Mahoteli makubwa makubwa kuzidi Bilicanas kama Moven pick,Kilimanjaro,New Africa, Bahari Beach n.k.yanaendesha Biashara hizo hizo za Ulevi mbona hamyaisemi???Iweje kwa Mbowe ni nongwa??? Mbona hampigi kelele kwa Makampuni ya yanayotengeneza Pombe kama TBL na Sigara za TCC???

CCM mnatapatapa, mmekamatwa pabaya. Hao Vibaraka wenu kina Zitto,Mkumbo, Mwigamba na wengineo wameshakwaa kisiki. Jipangeni upya lakini Intelijensia ya CHADEMA itawabaini tu!!!!!
 
Maji na mafuta siku zote havichanganyiki! Tatizo la kCHADEMA ni akili ndogo kuongoza akili kubwa.

Sasaa unategemea nini kipofu akiongoza? Leo hii professor anaongozwa na mhitimu wa elimu ya secondari eti kwa vile tu ni mfadhili wa chama!
Sumaye amekuwa waziri Mkuu kwa miaka mingapi na alikuwa na ngazi gani ya elimu tena ktk fani gani? Je wote aliowaongoza walikuwa na elimu ndogo kuliko yeye?
 
Ni kweli kuwa Kusaga pia alikuwa DJ. Lakini, nani anajali leo hii?
Kwa historia huwezi kuongea burudani bila kuitamka Bilcanas. Sasa hivi entertainment industry Tanzania inaajiri vijana wetu wengi na nyuma yake ni Bilcanas. Ukitaka kuthibitisha waulize waanzilishi wa Clouds FM.
 
Safi sana Prof Baregu.Hizi ndizo hoja za kuzungumza siyo porojo za Lema na Wenzake.
Mungi Kurugenzi ya Habari Chadema Tumaini Makene Dr.W.Slaa
Kuaminiana ni jambo gumu sana. Zitto na Katila wamepoteza trust, it will take a long time to earn it again. Zitto n Katila wamejichimbia kaburi wenyewe kwa mikono yao. Beregu na Lamwai walipokuwa upinzani, ajira zao UDSM ziliota majani, but Katila amepandishwa cheo. Do you think this was not a bribe?
 
Walichokifanya CHADEMA wamenikumbusha mwalimu wangu wa history Tunduru Secondary School(TSS). Mama yule alikuwa anatoa adhabu then anakaribisha utetezi baada ya kuwa umefanya adhabu. Ila yeye alikuwa na busara kidogo anakupa kwanza makosa yako bila kusikiliza upande wako anakuadhibu,cdm wanakuadhibu then makosa yako wanakupa baada ya adhabu. Tehetehetehetehe! Akili kubwa imetawaliwa na akili ndogo kutoa maamuzi. Ninamkubali Lissu lakini kwa hili ameburuzwa

We vipi? Hata mtuhumiwa huwa anakaa mahabusu. Then kesi inaendelea, akishinda anarudi uraiani (Kama hakuwa na dhamana). Kilichofanyika ni managerial process ya kumuondolea kinga muhusika ili ahojike (Zzk, Kitila, MwiGAMBA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom