Prof. Baregu aitahadharisha CHADEMA kuhusu Zitto

Prof. Baregu aitahadharisha CHADEMA kuhusu Zitto

Wewe unasimamia maamuzi ya CC kama nani? kwani una nafasi gani ndani ya CHADEMA? Au ndo ule upuuzi aliousema Dr Kitila Mkumbo wa MBOWE kuanzisha vikundi vya ulinzi visivyoonekana. wewe BEN MIDA EIGHT ulikuwa chanzo cha akina JULIANA kufukuzwa, ukajiweka karibu na akina ZITTO ili upeleke umbeya kwa MBOWE. na mkaja na hekaya ndefu ambayo imekuja kuwaumbua. Huwezi kuwa JASUSI huku ukijiexpose kiasi hicho

Nasimamia kama mwanachama wa Chadema na ndivyo inavyotakiwa.Hilo la ujasusi ni hisia zako na wapuuzi wengine walioandika dhana hizo za kufikirika
 
i just want to know hivi ni kwanini mtu akitaka uenyekiti CDM anachukiwa na kuonekana msaliti? refer to the late chacha wangwe
 
Mawazo ya Profesa Baregu yakifanyiwa kazi basi tutatengeneza chadema iliyo bora maana maelezo yake yana mashiko sana
 
Zitto ni kama Karama kwenye Riwaya ya Kusadikika, Mbowe ni kama Majivuno. Majivuno hataki ushauri, hataki changamoto. Sasa you can imagine mtu wa kambi ya mbowe analeta dharau kwa Profesa aliyebobea eti kisa ametofautiana naye kimtizamo. KWANZA KIUKWELI KAMTUKANA MZEE WA WATU ETI HANA KITU INTELLECTUALLY HUU NI UTOVU WA NIDHAMU NA KAMA CHAMA KINGEKUWA FAIR KINGEMCHUKULIA HATUA ZA KINIDHAMU KUTUKANA VIONGOZI [MJUMBE WA KAMATI KUU] MTANDAONI
 
CC ya chadema,isrudi nyuma,wala isiyumbishwe na wanaowatetea wasaliti

lzm vichwa vya wasaliti viondolewe

km kwa cheo kidogo ameleta nyufa kwenye chama

je angekuwa katibu mkuu au wadhfa mwngne?

Nadhan angeshatuuza siku nyingi kwa mafsad
 
Kwa siasa hizi za wapinzan,kukubali kutumiwa na mafsad ili kudhoofisha nguvu ya mabadiliko hakika MUNGU yupo

na tuendelee kumwamin,ipo cku wasaliti watajpambanua wenyewe
 
Binafsi uanachama wangu kwa chadema uko mashakani! Kwa jinsi ninavomjua Zito Tango UDSM, jamaa ni jembe sana ameamua kuwa mstaarabu kinoma kuacha kumwaga mboga baada ya wenzake kumwaga ugali!

So at the end nikajua hamna cha chadema wala nn, wote wale wako after maslahi! nikifikiria nilivopigwa mabomu halafu leo wanaleta ujinga.

Niko pembeni kwa ss nasoma ramani manake tunatafutia watu umaarufu na kupeleka watoto wao chooni tu! Wajinga sana
 
unamfahamu JK eliyepata gent ya 2.1 hahahah magambaaz mnamatatizo kweli.

Atleast alifanya mtihani na kupata hiyo gent degree. Vipi kuhusu kamanda wa anga ambaye hata mchaka mchaka wa kupandisha vilima hakupata?

A simple question; Mbowe alipitishwa kuwa mwenyekiti kwa vigezo gani mbali ya ufadhili wake kwa chama na uhusiano mzuri na muasisi wa chama? Jitahidi hata kwa vigezo vya kutunga maana tunajua exposre aliyopata kwenye real world ni kuwa clerk pale BOT na wakati huo ni kwa sababu ya mzee Mtei.
 
Akili ni nini?
Akili ndogo ni ipi na akili kubwa ikoje?

Uongozi sio elimu!!!!

Halafu ujue wewe una akili? Uongo kweli? Au hujui kama unazo?

Uongozi sio elimu ni nini? Kwa Mbowe mliweza kuupima vipi uwezo wake kiuongozi kabla hamjamkabidhi madaraka?
 
Tatizo la viongozi wa CHADEMA ni kuwa hawana elimu lakini pia hawana sifa ya kuwa viongozi

kelel zenu hizo wanaccm mtachoka tu, prof.baregu ni mjumbe wa kamati iliyomvua zzk na dr. Kitila uongozi ndani ya chamma, na kwa bahati nzuri amekiri kuwa alikuwepo katika kikao kilichofikia maamuzi hayo, kwanini hakuashauri hivi toka walipokuwa kikaoni ili maamuzi haya kama kweli ana hoja yasipite. Sipendi watu wanaoshiki maamuzi na kisha wanatoka kuanza kuyapinga kupitia media. Huu ni udhaifu.
Bado naona cc inaweza kutafakari lakini, kwa hawa watu kushiri ki kuamua halafu baadae wayapinge maamuzi nje ya vikao ambavyo hata wao walikuwepo basi wao ndio wana matatizo.
 
Huyu naye asijifanye mjuaji kwa kubwabwaja nje ya vikao vya chama. Kama hawezi kufuata taratibu za chama apewe onyo kali sana dhidi ya tabia zake.
 
Halafu ujue wewe una akili? Uongo kweli? Au hujui kama unazo?
Nieleze maana ya akili kwa mujibu wa ile kauli yako kisha ndo uniulize kama ni nazo au sina.
Uongozi sio elimu ni nini?
Uongozi ni neno lenye maana nyingi na linalochukua dhamana ya watu na vitu vilivyomo.
Kwa Mbowe mliweza kuupima vipi uwezo wake kiuongozi kabla hamjamkabidhi madaraka?
Tulumpima vitu vingi tu ila leo nakupa haya.
uwezo wake wa kushawishi,
ubunifu wake,
ukweli wake,
uhodari na ujasiri wake.
 
i just want to know hivi ni kwanini mtu akitaka uenyekiti CDM anachukiwa na kuonekana msaliti? refer to the late chacha wangwe
Shibuda na SAS walitaka kugombea urais CCM waulize kilichowapata.
 
:lying:Bocho! Hujasoma historia vizuri lii ujue akili ya kuzaliwa kwa mama ndio namba one ikifuatiliwa na elimu dunia na hiyo ya darasani inakuperfect tu. Ndio maana kuna wasomi wenye madigree na wengine maprofessor lakini ukiwapa waongoze watu kumi ni shughuli kubwa. Watu wengi waliofikisha dunia hapa ilipo hawakuanzia darasani au walipata kisomo kidogo tu kama huyo wa form four unayemsema. Mifano ni mingi mno na nina hakika unaifahamu mingine lakini moja mzuri ni Bill Gates.Watu walobarikiwa kugenerate ideas ndio watu muhimu sana hapa duniani. Kuna wasomi wengi ambao ni wa vyeti tu na hakuna lolote wamejifanyia au kufanyia nchi yao. Huyo unayemsema Mbowe ni mtu mwenye uwezo wa kugenerate ideas hata kama ana udhaifu wake. Ukweli kwamaba aliweza kibuni Club Billicanas kwa kuona ombwe la sehemu za starehe za vijana hauwezi kupingika. Leo hii maelfu ya watu wa Dar wamepata burdani yo kupitia Billicanas na hii ni juhudi ya huyo unayemuita ana akili ndogo. Si hivyo tu ila akili hiyo ndogo ndiyo iliyofanya Chadema ikakubalika nchi nzima na kupata wabunge kutoka 11 hadi 48 achilia mbali madiwani, na wenyeviti lukuki. Bila shaka ni wakati sasa ujilinganishe wewe na yeye na ujiulize maswali kama kweli akili ndogo hiyo imelala kiasi hicho. La msingi ni kwamba kama kiongozi huyo ana mapungufu basi awekwe sawa na mambo yaendelee.

Clemence iaonekana kama vile una point:

Kwa maelezo yako Mbowe ni mjasiriamali na wala sio mwanasiasa.

Sasa akili ya kuzaliwa ya Mbowe mliipimaje?

Kama Club Billicanaz ndio kigezo cha akili ya kuzaliwa kwa Mbowe labda CHADEMA sasa hivi ilibidi iongozwena Bakhresa hivi au Mengi.

Hao wawili wanamshinda Mbowe ubunifu. Kwanza nia aibu kwa mtu mwenye maadili yake kwenda kuanzisha club za usiku. Hii ni kuchochea maasi ikiwemo ulevi na uzinifu.

Kwa hiyo Mbowe no investor katika sector ambay haina manufaa chanya kwa jamii.
 
:lying:Bocho! Hujasoma historia vizuri lii ujue akili ya kuzaliwa kwa mama ndio namba one ikifuatiliwa na elimu dunia na hiyo ya darasani inakuperfect tu. Ndio maana kuna wasomi wenye madigree na wengine maprofessor lakini ukiwapa waongoze watu kumi ni shughuli kubwa. Watu wengi waliofikisha dunia hapa ilipo hawakuanzia darasani au walipata kisomo kidogo tu kama huyo wa form four unayemsema. Mifano ni mingi mno na nina hakika unaifahamu mingine lakini moja mzuri ni Bill Gates.Watu walobarikiwa kugenerate ideas ndio watu muhimu sana hapa duniani. Kuna wasomi wengi ambao ni wa vyeti tu na hakuna lolote wamejifanyia au kufanyia nchi yao. Huyo unayemsema Mbowe ni mtu mwenye uwezo wa kugenerate ideas hata kama ana udhaifu wake. Ukweli kwamaba aliweza kibuni Club Billicanas kwa kuona ombwe la sehemu za starehe za vijana hauwezi kupingika. Leo hii maelfu ya watu wa Dar wamepata burdani yo kupitia Billicanas na hii ni juhudi ya huyo unayemuita ana akili ndogo. Si hivyo tu ila akili hiyo ndogo ndiyo iliyofanya Chadema ikakubalika nchi nzima na kupata wabunge kutoka 11 hadi 48 achilia mbali madiwani, na wenyeviti lukuki. Bila shaka ni wakati sasa ujilinganishe wewe na yeye na ujiulize maswali kama kweli akili ndogo hiyo imelala kiasi hicho. La msingi ni kwamba kama kiongozi huyo ana mapungufu basi awekwe sawa na mambo yaendelee.

Clemence iaonekana kama vile una point:

Kwa maelezo yako Mbowe ni mjasiriamali na wala sio mwanasiasa.

Sasa akili ya kuzaliwa ya Mbowe mliipimaje?

Kama Club Billicanaz ndio kigezo cha akili ya kuzaliwa kwa Mbowe labda CHADEMA sasa hivi ilibidi iongozwena Bakhresa hivi au Mengi.

Hao wawili wanamshinda Mbowe ubunifu. Kwanza nia aibu kwa mtu mwenye maadili yake kwenda kuanzisha club za usiku. Hii ni kuchochea maasi ikiwemo ulevi na uzinifu.

Kwa hiyo Mbowe ni investor katika sector ambay haina manufaa chanya kwa jamii.
 
Inaonekana ili uwe mwanacdm mwenye heshima mfano ukiwa na cheo cha juu.uwe mkimya na usiwe na rafiki alie chama kingine yaani namaanisha kwamba uwe kama kisiki vile!
 
well said Prof Baregu. wanaofikiri kwa vichwa vyao watakuelewa bila shaka...lakini wanaofikiri kwa matumbo yao hawatakuelewa kabisaaa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom