Prof. Baregu aitahadharisha CHADEMA kuhusu Zitto

Prof. Baregu aitahadharisha CHADEMA kuhusu Zitto

huweza kukaa na kusema ni muda wa kujenga chama huku wengine humohumo wapo busy kukivunja chama
 
kumbe!!! ndio mana umemaliza miaka lakini hujaelimika, ulivyoenda ndivyo ulivyoondoka

Mimi sikua mfuata upepo kisa aliyesema ni Ph.D holder au Profesa.Akinizingua nasepa zangu naingia chimbo natafuta nondo walizoandika wengine wengi halafu tukutane kwenye pepa kuliko kumezeshwa uchafu

Wengine waliojaribu kutumia mamlaka yao ya ualimu na kusubiria kunikomoa kwenye pepa waliishia kuaibika vibaya.
 
Por que nenhum outro nyazifa mencionar? Vamos nos líderes jie Chadema O que há para ver?

Chadema Ukanda, CCM udini, Raisi Muislam, Makamu wake Muislam, mwenyekiti wa Chama Muislam, Katibu wake Muislam.
 
Huyo Mzee ndio kaisoma Katiba vizuri akakacha upuuzi wa kujiuzulu,sasa anaongelea kuvumiliana....kwa akili yake anajenga mazingira ya zitto kuangaliwa kwa jicho la huruma.

Huyu mzee sasa anatawaliwa na huzuni na huruma za mzazi dhidi ya mwanae ambaye wakati anatend amakosa mzee huyu hakujali sana.Alipokuwa akiwatukana wengine mzee huy hakujali sana.Sasa anamix hisia kuliko responsibility.Mzee hajui ile ni sheria na sheria haitakiwi kuwa selective.
 
Mimi sikua mfuata upepo kisa aliyesema ni Ph.D holder au Profesa.Akinizingua nasepa zangu naingia chimbo natafuta nondo walizoandika wengine wengi halafu tukutane kwenye pepa kuliko kumezeshwa uchafu

Wengine waliojaribu kutumia mamlaka yao ya ualimu na kusubiria kunikomoa kwenye pepa waliishia kuaibika vibaya.

wewe ni mnafiki na mzandiki ile mbaya. kama ulikubali kubebeshwa sumu kumuua zitto, utakubaliana na ushauri wowote wa kutaka suluhu? kwako kitendo cha zitto kufukuzwa uanachama ni ushujaa
 
Hayo ni maneno ya prof. Baregu ni mtu wa kawaida kama ulivyo muona Dr, Mkumbo akikili kufanya branda tena kwenye public! nadhani amedhalilisha mpaka anakofanyia kazi (kukili uasi!!). Akili za darasani ni tofautu na za kwenye jamii. Dawa ya moto ni moto. Naipongeza kamati kuu ya cdm make imeonesha ukomavu wa uongozi.

"chama si watu" Unaweza ukawa mwangalifu, kutotoka nje ya ndoa, siku moja ukitoka na ukafumaniwa unafuta uaminifu wako, hata kama ulikuwa unajaribu!
 
wewe ni mnafiki na mzandiki ile mbaya. kama ulikubali kubebeshwa sumu kumuua zitto, utakubaliana na ushauri wowote wa kutaka suluhu? kwako kitendo cha zitto kufukuzwa uanachama ni ushujaa

Msimamo wa Kamati kuu ndio msimamo wangu.Nasimamia line iliyochorwa na kamati kuu.Hayo ya sumu ni kukosa hoja
 
Kikwete anamuongoza prof j4 magimbi,prof mwandosya,dr mwaki-embe,prof maji marefu nk...

Acha uzembe wewe! Profile ya Kikwete hailingani na ya Mbowe!

Mbowe zaidi ya kuwa mfanya biashara ni kigezo gani ambacho unafikiri kilitumika CHADEMA kwa yeye kuwa mwenyekiti wa chama zaidi ya utajiri na ukaribu na muaasisi wa chama?

Just jibu hilo swali GT!
 
Hivi hayo ndiyo yaliyotamkwa na profesa au ni magazeti yamemnukuu vibaya?

Siamini kama kuna msomi anayeweza kukiuka itifaki,kanuni na maadili na kuanza kutoa matamshi au ushauri kupitia vyombo vya habari badala ya vikao ambavyo yeye ni mjumbe

Ndiyo maana Chuoni nilikua na-walk out mara nyingi kutoka kwenye mihadhara kuliko kukaa na kuwasikikiza maprofesa niliokosa nao imani intellectually!

MIDA EIGHT, yaani hapo umejidhihirisha kuwa wewe ni -------- wa hali ya juu. yaani huamini kuwa PROF BAREGU anaweza kuongea hayo? au kwa upande wako aliyoongea Baregu hayana maana?
 
We jamaa bhana..
Kuna tofauti ya uwezo wa kuwa kiongozi na sifa za kuwa kiongozi!! We endelea kukariri tu mambo!

Taja sifa za kuwa kiongozi CHADEMA halafu zi align na profile ya Mbowe.

CHADEMA ni kama owner managed org. Mbowe yuko pale by default na si kwa kwa sababu ya distiction katika uwezo wa kuongoza. Huo uzoefu wake mliupima kutokea wapi? Mliwapa test akawa na alama za juu kuliko wengine au?
 
Msimamo wa Kamati kuu ndio msimamo wangu.Nasimamia line iliyochorwa na kamati kuu.Hayo ya sumu ni kukosa hoja

Wewe unasimamia maamuzi ya CC kama nani? kwani una nafasi gani ndani ya CHADEMA? Au ndo ule upuuzi aliousema Dr Kitila Mkumbo wa MBOWE kuanzisha vikundi vya ulinzi visivyoonekana. wewe BEN MIDA EIGHT ulikuwa chanzo cha akina JULIANA kufukuzwa, ukajiweka karibu na akina ZITTO ili upeleke umbeya kwa MBOWE. na mkaja na hekaya ndefu ambayo imekuja kuwaumbua. Huwezi kuwa JASUSI huku ukijiexpose kiasi hicho
 
Maji na mafuta siku zote havichanganyiki! Tatizo la CHADEMA ni akili ndogo kuongoza akili kubwa.

Sasaa unategemea nini kipofu akiongoza? Leo hii professor anaongozwa na mhitimu wa elimu ya secondari eti kwa vile tu ni mfadhili wa chama!
Kwenye Siasa PHD siyo issue hivi niambie kama CCM au CHADEMA vilianzishwa na PHD holders...NCCR MAGEUZI walijifanya wao wasomi sana wako wapi leo? Kama mnakumbuka kauli ya Wassira kuwa by 2015 CHADEMA itakuwa historia hivyo MAMLUKI lazima watolewe NO MATTER WHAT! Njia aliyoitumia Dr Kitila na wenzake ni sawa sawa na njia aliyotumia na anayoendelea kuitumia EL...CCM wana akili sana sidhani kama EL atakuwa ndiye mgombea kwa tiketi ya CCM...underline my words!! Kuna sharia ya TISS inatuzuia kuwataja watu ambao ni TISS agent vinginevyo...watu wangewaanika MAMLUKI wote ndani ya CHADEMA...!!
 
Maji na mafuta siku zote havichanganyiki! Tatizo la CHADEMA ni akili ndogo kuongoza akili kubwa.

Sasaa unategemea nini kipofu akiongoza? Leo hii professor anaongozwa na mhitimu wa elimu ya secondari eti kwa vile tu ni mfadhili wa chama!

:lying:Bocho! Hujasoma historia vizuri lii ujue akili ya kuzaliwa kwa mama ndio namba one ikifuatiliwa na elimu dunia na hiyo ya darasani inakuperfect tu. Ndio maana kuna wasomi wenye madigree na wengine maprofessor lakini ukiwapa waongoze watu kumi ni shughuli kubwa. Watu wengi waliofikisha dunia hapa ilipo hawakuanzia darasani au walipata kisomo kidogo tu kama huyo wa form four unayemsema. Mifano ni mingi mno na nina hakika unaifahamu mingine lakini moja mzuri ni Bill Gates.Watu walobarikiwa kugenerate ideas ndio watu muhimu sana hapa duniani. Kuna wasomi wengi ambao ni wa vyeti tu na hakuna lolote wamejifanyia au kufanyia nchi yao. Huyo unayemsema Mbowe ni mtu mwenye uwezo wa kugenerate ideas hata kama ana udhaifu wake. Ukweli kwamaba aliweza kibuni Club Billicanas kwa kuona ombwe la sehemu za starehe za vijana hauwezi kupingika. Leo hii maelfu ya watu wa Dar wamepata burdani yo kupitia Billicanas na hii ni juhudi ya huyo unayemuita ana akili ndogo. Si hivyo tu ila akili hiyo ndogo ndiyo iliyofanya Chadema ikakubalika nchi nzima na kupata wabunge kutoka 11 hadi 48 achilia mbali madiwani, na wenyeviti lukuki. Bila shaka ni wakati sasa ujilinganishe wewe na yeye na ujiulize maswali kama kweli akili ndogo hiyo imelala kiasi hicho. La msingi ni kwamba kama kiongozi huyo ana mapungufu basi awekwe sawa na mambo yaendelee.
 
Kwenye Siasa PHD siyo issue hivi niambie kama CCM au CHADEMA ilianzishwa na PHD holders...NCCR MAGEUZI walijifanya wao wasomi sana wako wapi leo? Kama mnakumbuka kauli ya Wassira kuwa by 2015 CHADEMA itakuwa historia hivyo MAMLUKI lazima watolewe NO MATTER WHAT! Njia aliyoitumia Dr Kitila na wenzake ni sawa sawa na njia aliyotumia na anyoendelea kutumia EL...CCM wana akili sana sidhani kama EL atakuwa ndiye mgombea kwa tiketi ya CCM...underline my words!!

Suku zote ukitaka kufanya selection ni lazima uwe na vigezi. Ni kweli kwamba elimu ya juu does not guarantee performance, lakini hiyo haihalalishi vile vile kuchukua tu watu na kuwapa uongozi bila kuangalia vigezo.

Sasa niambie wewe mkereketwa wa CHADEMA, mbowe alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama chenu kwa vigezo gani?

1)

2)

3) ----- n.k

Mimi nahisi kwanza, ni ukaribu na muasisi wa chama na pili amekifadhili chama kwa muda mrefu sana hadi hapa kilipofikia. Kama hivyo ndio vigezo tu, CHADEMA ni owner managed party na ndio maana akina Baregu hawana sauti wanaamua kuzungumza kwenye magazeti badala ya kutumia vikao vya chama.
 
Prof.Baregu yeye ana uhakika gani kwamba hizo tuhuma hazina ukweli? Chadema msiwe waoga endelezeni mapambano dhidi ya mamluki wote wote bila kujali sura,Sisi wananchi tunawaunga mkono. Tuhuma za Zitto ziko wazi kabisa kwamba anatumika na chama tawala.
 
Baregu ni kiongozi wa CHADEMA ni mjumbe wa kamatu kuu.

Au kwako wewe kiongozi ni mwenyekiti tu.

Akili nyingine kama kondoo jike.

Labda huyu nyoka wa ccm atuambie kiongozi ni mtu wa namna gani kwake!!!!!
 
Maji na mafuta siku zote havichanganyiki! Tatizo la CHADEMA ni akili ndogo kuongoza akili kubwa.

Sasaa unategemea nini kipofu akiongoza? Leo hii professor anaongozwa na mhitimu wa elimu ya secondari eti kwa vile tu ni mfadhili wa chama!
unamfahamu JK eliyepata gent ya 2.1 hahahah magambaaz mnamatatizo kweli.
 
Maji na mafuta siku zote havichanganyiki! Tatizo la CHADEMA ni akili ndogo kuongoza akili kubwa.
Akili ni nini?
Akili ndogo ni ipi na akili kubwa ikoje?
Sasaa unategemea nini kipofu akiongoza? Leo hii professor anaongozwa na mhitimu wa elimu ya secondari eti kwa vile tu ni mfadhili wa chama!
Uongozi sio elimu!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom