Prof. Baregu aitahadharisha CHADEMA kuhusu Zitto

Prof. Baregu aitahadharisha CHADEMA kuhusu Zitto

Tatizo la viongozi wa CHADEMA ni kuwa hawana elimu lakini pia hawana sifa ya kuwa viongozi

Elimu gani unayoiongelea? Dunia? Kamwulize bakhresa, ukitoka hapo ndenda kwa kapuya, then Mlugo, Mulongo na Simbachawene. Wote waulize swali moja tu elimu imewasaidiaje?
 
JK, Kinana, Mangula, Nape, (Makamba) ni ma profesa wa vyuo vikuu wenye uwezo uliotukuka. Wamekisimamia na kukiongoza chama cha mapinduzi vizuri na hakuna mipasuko wala mgawanyiko kw chama

Nimekugongea like ingawa umeandika kikejeli zaidi. Hakika utambue kuwa CCM kwa sasa kiko Imara zaidi kuliko wakati mwingine zaidi
 
Elimu gani unayoiongelea? Dunia? Kamwulize bakhresa, ukitoka hapo ndenda kwa kapuya, then Mlugo, Mulongo na Simbachawene. Wote waulize swali moja tu elimu imewasaidiaje?

waliopo CCM hata kama hawana elimu lakini wana qualities za uongozi. Hebu mwangalie MBOWE, hana elimu lakini pia hana sifa za kuwa kiongozi
 
Maji na mafuta siku zote havichanganyiki! Tatizo la CHADEMA ni akili ndogo kuongoza akili kubwa.

Sasaa unategemea nini kipofu akiongoza? Leo hii professor anaongozwa na mhitimu wa elimu ya secondari eti kwa vile tu ni mfadhili wa chama!

Yaani ndo uchambuzi wako wa kina ulipoishia hapo?
 
Mwenyekiti wetu yupo too local: by Dr Kitila Mkumbo
 
Naona Prof. Baregu anafikiri kuwa mtu hawezi kubadilika. Anaamini kuwa hawa watu hawawezi kutumika. Mi namshauri awaache hawa wazee (wako zaidi ya miaka 38) wajibu tuhuma kama walivyotakiwa. Wakijibu vizuri kamati kuu itaamua.
 
image.jpg soma para ya mwisho........
 
Baregu alitakiwa kumtahadhalisha Zitto kuhusu mipango yao ya mapinduzi.
Ila kama kawaida, alikaa kimya akidhani mipango ile ingetimia.
Sasa anatapa-tapa kujaribu kumuokoa Zitto.
Zitto ameshakwisha, anachoweza kufanya Zitto ni kukimbilia mahakamani. Kesi itanguruma mpaka baada ya uchaguzi mwaka 2015.
Hataweza kugombea wadhifa wowote ule, na akishinda, sana sana atabaki kuwa mwanachama wa Chadema, bila ubunge wala cheo chochote kile.
Zitto kwisha kazi yake, akadai mafao yake CCM, atulie.

unatumia kichwa kufugia nywele peke yake, wenzako wanakitumia pia kufikiri, waige hao, utafanikiwa ktk maisha yako. comment kama ya kwako hii haiwezi kuzuia kifo cha michadema
 
Mkuu, aliyenukuliwa ni Prof BAREGU, mjumbe wa CC ya CHADEMA. Mwananchi wameripoti tu taarifa hiyo. nakushangaa kuilaumu mwananchi

Ndani ya Katiba ya Chadema toleo la 2006. Katika Kanuni za Uendeshaji Kazi za Chama. Sura ya 10, Ibara ya ix, imeandikwa: "Kiongozi asijihusishe au kushiriki na vikundi vya kuchonganisha au kuzua migogoro ndani ya Uongozi wa Chama au Wanachama wake."

Na katika Katiba hiyo hiyo Sura ya 7 kuhusu kazi za Kamati Kuu, Ibara ya 7, Ibara ndogo t, imeandikwa: "Kufanya uamuzi juu ya mapendekezo ya kufukuza Mwanachama." Na Ibara ndogo v, imeandikwa: "Kumwachisha ujumbe wa Kamati Kuu mjumbe mteule ambaye ataenda kinyume na Katiba, Kanuni na Maadili au kushindwa kukidhi matakwa ya kuteuliwa kwake."
 
waliopo CCM hata kama hawana elimu lakini wana qualities za uongozi. Hebu mwangalie MBOWE, hana elimu lakini pia hana sifa za kuwa kiongozi

Tanzania ni muungano wa Tanzanyika na Zimbabwe,One 19

Kama gharama ya umeme ni kubwa washeni vibatari.... Falla...cy!! Anafikiri kazi ya umeme ni kuangaza
wakati wanabaka vitoto na si vinginevyo. Hakukumbuka shughuli za uzalishaji zinazotumia nishati ya umeme

Watanzania wakawekeze kwenye viwanda vya kukamua juice.

Hawa ndo unaowaona ni viongozi. mbafu kabisa
 
Baregu ni wachache wenye akili waliobaki chadema.......kwa kuwa kaongea hivyo basi kashakuwa adui wa chama
 
Prof Baregu anafaa kuwa kiongozi, lkn kwa ukabila na ukanda wa Chadema hatopata.

Hongera prof kwa kuwa na mawazo huru na si kuwa kibaraka wa Mbowe.


Chadema Ukanda, CCM udini, Raisi Muislam, Makamu wake Muislam, mwenyekiti wa Chama Muislam, Katibu wake Muislam.
 
Kwani Katiba na kanuni za CHADEMA zinasemaje kuhusu mwanachama 'aliyethibitika' kutaka kufanya uasi ndani ya Chama?
 
Naona Prof. Baregu anafikiri kuwa mtu hawezi kubadilika. Anaamini kuwa hawa watu hawawezi kutumika. Mi namshauri awaache hawa wazee (wako zaidi ya miaka 38) wajibu tuhuma kama walivyotakiwa. Wakijibu vizuri kamati kuu itaamua.
katoa ushauri mzuri tu mkuu. nyie kwa vile mnatumika na akina mbowe ndo mnaona kila msiyempenda anatoa ushauri mbaya. kuwa kiongozi ni kuvumilia mengi
 
Kwani Katiba na kanuni za CHADEMA zinasemaje kuhusu mwanachama 'aliyethibitika' kutaka kufanya uasi ndani ya Chama?

kwani imethibitika au ni uoga wa akina mbowe? kuweka mkakati wa ushindi ni uasi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom