Prof. Baregu aitahadharisha CHADEMA kuhusu Zitto

Prof. Baregu aitahadharisha CHADEMA kuhusu Zitto

BABA ALIWAHI KUNIAMBIA "mwanangu siku ukithubutu kuwaudhi watu; hakika wafa wilola(Upfa wibona) yaani utakufa unajiona". Alianza kaburu 2005 kwenye kambeni "mnichague, au msinichague chungu changu hakitapika maharage tena, kwanza mimi tayari ni mbunge wa Afrika". YALIYOMKUTA KISIASA MNAJUA! JANA ALIKUWA KIBONDO UWANJA WA COMUNITY CENTRE KUDANGANYA WATU! NI MW/KITI WA CCM MKOA KWA SASA! HATA ZITTO BAADA YA HAPO AMEANDALIWA NAFASI YA KUWA MW/KITI WA CCM KANDA YA MAGHARIBI. BINAFSI WANASIASA WA TZ WANAMATATIZO YA KIMSIMAMO LABDA KWASABABU YA NJAA! UNAWEZA KUMWONA SHUPAVU ASUBUHI JIONI AKAWA MNYONGE SANA {DHAIFU KATIKA SIASA}. TENA NDG ZANGU JIHADHARINI NA UPENZI (USHABIKI) NA WATU HAWA! UCHAGUZI MKUU WA 2000 KIGOMA WAPO WATU WAPENZI WA KABURU AKIWA CHADEMA {WAO WAKIWA WANACHADEMA} WALIVUNJWA MIGUU NA WENGINE HATA KUFA KWA KUMTETEA NA KUZITETEA HAKI ZAO LAKINI LEO HII WAKIMWONA YUPO CCM WANAJISIKIAJE?
Naomba mnijibu swali hili na hasa wale walioumizwa kwasababu ya Kaburu (wakiwa wanaandamana)
hii ni ASSIGNMENT No. 01.:A S confused:
Na je, ikitokea na Kabwe kuishia kama Kaburu enyi wapenzi (mnaomtetea) mtajisikiaje? hii ni ASSIGNMENT No. 02.
:dance:
 
Mara ni SACCOS, mara ni Wachagga, mara Kaskazini...... Ili muradi kila mtu anataka kujionyesha ana akili sana. Kama una akili sana si anzisha chama au SACCOS yako na wewe uvute Mamilioni?

Kuwa Mbowe hafai, mbona siyo siri. Kwa hali iliyofikia Chadema , jamaa hawezi kuwa Mwenyekiti, labda awe na Washauri wazuri sana wamemzunguka na nina imani ndiyo hao wanaofanya CDM ifike hapo ilipofikia. Mbona hatuoni mkishambulia vyama vingine ambavyo vipo karibu ishirini? Lini umeshambulia Chama kingine zaidi ya Chadema? Ukiona unashambulia kila siku CDM ujuwe basi Mbowe anafanya kazi nzuri.

Bado nina imani na Mbowe hadi hapo atakapoifikisha CDM madarakani na ndipo ang'atuke na asubiri tu Mnara wake ujengwe sasa mbele ya HQ ya CDM. Pamoja na mapungufu yake, ndiyo mtu anayefaa kwa sasa kwenye mapambano hayo hadi hapo CDM itakapovuka mapigano hayo.

Kwamba kuna Wajinga na viongozi, mbona wapo wengi tu na wabovu mno yaani Mbowe kwao ni Almasi. Wewe mtu kama REAGAN au Bush. Pamoja na ubovu wao, walikuja kuwa Marais wa USA. Yaani hadi inatia AIBU kumuweka Obama au Clinton kwenye kapu moja na hao jamaa. Reagan alikuwa Mcheza film za Cowboy na Bush mtu wa Kinywaji sana hadi mafaili yake akiwa jeshini ilibidi wayafutefute kuficha makosa. Na unakuta enzi wanamshangilia wakimuona wenyewe USA, USA.
Na kwa taatrifa yako hakuna mtu hajali kama Bush: Chris Rock on white girls & Bush - YouTube
Unajichanganya baabu Sikonge! Mwanzo ulimtetea na sasa unasema hafai!

Uongozi ndani ya CHADEMA unatokana na wanachama kupitia sanduku la kura kwa hiyo kama unaamini kuwa Zitto amekosana na wengi, hustahili kuwa na hofu kwa vile wengi hawatamchagua hata uchaguzi ukifanyika kesho.

Mimi naona ni kinyume chake kuwa akina Mbowe wanahisi wengi wa wanachama watampa kura ndio maana wanamuogopa.

Any ways, sisi sote ni ndugu moja, there is no need kupigana na kuzushiana. Hivi vyama vya siasa vilivyochipuka kutokea 1992 ikiwemo CHADEMA vilianzishwa kwa malengo tofauti. Initially, kwa mtazamo wangu CDM ilianza kama SACCOS yenye malengo ya ruzuku.

Kwa sasa imekuwa taasisi kubwa, waasisi wanatakiwa wafahamu kuwa hawawezi kuwa na umiliki wa chama tena kwa sasa.
 
Ndugu wanajamvi naomba nitoe maoni yangu kwa jambo lililofanywa na CDM kwa kumvua zito kabwe nyadhufa zote ndani ya chama, kwani naami maamuzi hayo hayakufanywa kwa kukurupuka walitafakari, na kuona ni tendo la busara kuchukua hatua waliyochukua. mimi ninaona ni afadhali kufuta chama kuliko mtu kwa kuwa chama ni watu wala sio mtu moja na ameondolewa nyadhifa zote ndani ya chama na kamati wala sio mbowe au slaa.

Napenda pia ieleweke kwamba hata kama wewe ni maarufu kiasi gani au umetumikia chama kwa muda mrefu haitoshi chama ikuogope kisa wewe ni mkongwe ndani ya chama hata kama umefanya makosa ambayo hayavumiliki hauwezi kuchukuliwa hatua. Chama makini lazima ikufundishe namna nzuri ya kuheshimu katiba na chama kilichokufanya uwe maarufu kiasi cha kuota mapembe ni bora kuliko wewe.

Kitu kingine ni hoja kwamba zito siku vyama vyote vilipoungana kupinga ccm kupitisha mswada wa mabadiliko ya katiba mpya vyama vyote vilikuwa na mweyekiti, katibu na makamu katibu. ZITO alikuwepo nadhani hakuwa safarini kwa nini hakushiriki? Siku mkutano wa chadema uliposhambuliwa kwa mabomu Arusha wabunge wote wa chadema walienda Arusha kwa nini yeye hakuenda? Orodha ni ndefu ya namna Zito anavyobehave je anaonyesha mfano gani kwa chama chake?

Je zito anadai vyama vya siasa havijakaguliwa na CIG ikiwemo CDM je sheria anayodai kwamba CIG anatakiwa kukagua vyama vya siasa nadhani ilipitshwa mwaka 2009. Je CIG amepewa bajeji ya kukagua vyama vya siasa katika bajeti yake inayopitishwa kila mwaka bungeni atusaidie. Na kama CIG hana bajeti Je alifanya nini bungeni ili CIG apewe bajeti hiyo? kwa sababu ni kama amejitokeza hadharani wakati naamini CIG hana bajet hiyo hela atoe wapi. Tusaidiane wanajamvi katika hilo.

Ndugu wanajamvi naamini hapa hakishindikani kitu huyu mtu ZZT nadhani tumpekue zaidi kwa sababu mara nyingi amewahi kutoa kauli tata kama hili la kukaguliwa vyama siasa wakati sidhani kama CIG ana bajeti ya kukagua vyma vya siasa ingawa ni jambo zuri, lingine likiwa suala la urais wakati hata umri wake hauruhusu kwa mujibu wa katiba je zzt kweli hajui kama jambo kama hilo halina busara ndani yake hata kama kuna democrasia na uhuru wa kila moja kutoa maoni yake, katika hili anataka nini?

Leo anakuja na mkakati wa democrasia ndani ya chama kwa staili ya kutuhumu uongozi wa juu mbowe na slaa je ndio democrasia au ni kitu gani kwa mtu mwenye kauli tata kila mara kwa viongozi wa juu? Leo anakuja kwa staili ya waraka eti ni mpango wa democrasia ndani ya chama. Mimi nasema ni afadhali chama kuliko mtu.

nawasilisha
 
Jamani ktk kitu ambacho kinanifanya nipate shida sana na jinsi hawa maprof wetu wanavyokuwa carried away na emotions zaidi ya fikra na sheria.BAregu amekuwa controvercial km kawaida yake.This time anazidi kuwa more irresponsible kuliko watu wanavyoweza sema au fikiri.

Baada ya ile drama yake ya kuhusu Imani kwa Mungu,akaja na mpya ktk issue ya Katiba,sasa kaja na mpya tena ktk hili sakata za akina Zitto "Eti CDm wasikomae na sheria ili kukuza ustahimilivu"...napata shida kufahamu km huyu prof.anasoma public mood, thinking.watu wanahoji na kuihukumu CDM kwa kufuata sheria na uhallai wa hizo sheria kuliko kawaida.Halafu prof.anataka watu watumie emotions kwa watu ambao hawapo honest km akina Zitto ,CCM na mashabiki wa udini,ukanda na vitu vingine...


Hivi prof keshajiuliza km km Zitto angepata mahali pa kutumia sheria kuthibitisha kaonewa hata km ni kweli alikosa...angeiacha kutumia at the detriments of the party?Napat shida kuona ile sense ya responsibility km prof kaiweka kichwani vyema.Otherwise nilichokisoma ktk magazeti si kilichotoka kwake.Napta taabu sana.Kwanini anadhanini sahihi na salama CDM kucheza na emotion just because wanataka uvumilivu...then siku nyingine watakuwa na sababua gani ya kuwahukumu wengine ambao watafanya makosa kwa njia hizohizo ila madhara yake ni makubwa zaidi na yanayoendelea..?kwanini akaribishe mazingira ya double standards?
 
Mimi simwelewi kabisa huyu prof. kuna wakati mpaka nikafikiri kuwa labda yeye ndie M2 ! Hebu angalia kwa mfano hii statement aliyosema hapa chini :

"Kinachotakiwa kufanywa ni kuwatangazia wanachama misingi, taratibu na kanuni za kuzingatia katika harakati zao ili
kuondoa hali ya watu kufanya mambo kwa kificho,"

Hivi huyu prof. hajui kwamba waliofanya hicho kitendo sio wanachama wa kawaida bali ni viongozi ambao si tu kwamba wanajua hizo taratibu na kanuni, bali walishiriki kuzitengeneza !. Uongozi wa Chadema utafanya kosa kubwa sana wakikubaliana na ushauri wa kipuuzi wa prof. Baregu na kumuacha Zitto ! It will cost Chadema dearly in the very near future.

Amenikera sana Prof.Baregu.



Jamani ktk kitu ambacho kinanifanya nipate dhida sana na jinsi hawa maprof wetu wanavyokuwa carried away na emotions zaidi ya fikra na sheria.BAregu amekuwa controvercial km kawaida yake.This time anazidi kuwa more irresponsible kuliko watu wanavyoweza sema au fikiri.

Baada ya ile drama yake ya kuhusu Imani kwa Mungu,akaja na mpya ktk issue ya Katiba,sasa kaja na mpya tena ktk hili sakata za akina Zitto "Eti CDm wasikomae na sheria ili kukuza ustahimilivu"...napata shida kufahamu km huyu prof.anasoma public mood, thinking.watu wanahoji na kuihukumu CDM kwa kufuata sheria na uhallai wa hizo sheria kuliko kawaida.Halafu prof.anataka watu watumie emotions kwa watu ambao hawapo honest km akina Zitto ,CCM na mashabiki wa udini,ukanda na vitu vingine...


Hivi prof keshajiuliza km km Zitto angepata mahali pa kutumia sheria kuthibitisha kaonewa hata km ni kweli alikosa...angeiacha kutumia at the detriments of the party?Napat shida kuona ile sense ya responsibility km prof kaiweka kichwani vyema.Otherwise nilichokisoma ktk magazeti si kilichotoka kwake.Napta taabu sana.Kwanini anadhanini sahihi na salama CDM kucheza na emotion just because wanataka uvumilivu...then siku nyingine watakuwa na sababua gani ya kuwahukumu wengine ambao watafanya makosa kwa njia hizohizo ila madhara yake ni makubwa zaidi na yanayoendelea..?kwanini akaribishe mazingira ya double standards?
 
binafsi nina mpango wa ku sue chadema wa kushindwa kusimamia maamuzi yake yenyewe yanayotoka vikao mwao kwa ajili ya kutaka kuwasikiliza ma ccm ambao wametoka left and right kumtetea zitto. swali kwa mwesiga ni kwanini mawazo hayo anayoyaita mazuri hakuyatoa kwy kikao ambacho yeye aliudhuria ?? na kama aliyatoa hayakusilikizwa basi lazima twende na maamuzi ya vikao kwani kila siku tumekuwa tukiambiwa kuzingatia vikao na kuheshimu maamuzi ya vikao
 
chadema mantuzingua.tunasubiri hizo siku kumi na nnnnnnnne. {14} kama mnamtimua au la watnzania tujue cha kufany na chama chenu cha uchaga.
 
Nyinyi si mmeambiwa na Slaa kuwa huu mjadala umefungwa?

Au na wewe uko kama Lema asiyeheshimu maelekezo ya Katibu wake Mkuu?

Chadema mambo yake shaghala baghala...
 
kaka politiki ,inasemekana watu walishauri hawakusikilizwa miongoni mwao ni mzee arfi ambaye amemwachia shamba nguruwe kawasusia wale.kamkumbuka mwenzake CHACHA WANGWE.ndo mana akasema ,"nasema ukweli hata kama itanigharimu maisha yangu" ila mbaya kumwachia shmba nguruwe
 
Mimi simwelewi kabisa huyu prof. kuna wakati mpaka nikafikiri kuwa labda yeye ndie M2 ! Hebu angalia kwa mfano hii statement aliyosema hapa chini :

“Kinachotakiwa kufanywa ni kuwatangazia wanachama misingi, taratibu na kanuni za kuzingatia katika harakati zao ili
kuondoa hali ya watu kufanya mambo kwa kificho,”

Hivi huyu prof. hajui kwamba waliofanya hicho kitendo sio wanachama wa kawaida bali ni viongozi ambao si tu kwamba wanajua hizo taratibu na kanuni, bali walishiriki kuzitengeneza !. Uongozi wa Chadema utafanya kosa kubwa sana wakikubaliana na ushauri wa kipuuzi wa prof. Baregu na kumuacha Zitto ! It will cost Chadema dearly in the very near future.

Amenikera sana Prof.Baregu.
sometimes huw anajiuliza kwanini maprof wa TZ ukiwapima ktk totality of lige hawawezi jitawala sana.Nafikia mahali pa kuona si dili sana mimi kufikia itwa prof...kwani ni takuwa useful .i.d.i.o.t km wenzetu.


Maprof.waliodata wapo wegi duniani ila kw anchi km yetu ni hasara kwani wapo wachache,na wengine wameshakimbilia ktk siasa siku nyingi.wengine ndio km hawa kila ukiwasikia ktk media ni vituko tupu.Wanahongwa na kutumika na wajinga.
 
[h=1]Mwanangu anatumiwa – Mama Zitto[/h]
maalum.jpg


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 18 November 2009

163


Features


salum_1.jpg



SHIDA Salum, mama mzazi wa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), Zitto Kabwe, ameibuka na kusema mwanaye anatumiwa kukivuruga chama chake.
Akizungumzia taarifa zinazoandikwa na baadhi ya magazeti kuhusu kinachoitwa mgogoro wa uongozi katika CHADEMA, kati ya Zitto na viongozi wenzake, Shida alisema, “hakuna mgogoro pale, kuna kikundi cha watu wanaotaka kumtumia mwanangu kufanikisha mambo yao.”
Akizungumza na gazeti hili juzi jijini Dar es Salaam, alidai kuna watu walio nje ya CHADEMA wanakula njama za kumgombanisha mwanawe na viongozi wenzake.
Alisisitiza, “kuna baadhi ya wanasiasa ndani ya CHADEMA wanaotumiwa na walio nje kugombanisha viongozi.”
Akaongeza, “Mambo ya uchaguzi yalikwisha kitambo na Zitto kwa moyo mmoja alikubali kumaliza tofauti zake na Mbowe (Freeman Mbowe) ndiyo maana akamuacha Mbowe kuwa mgombee pekee wa uenyekiti.”
Shida aliwatuhumu watu walio nje ya CHADEMA akisema ndio wanaopandikiza mbegu za chuki kwa lengo la kuwavuruga. Hata hivyo, hakuwataja.
Alisema kila mwenye akili timamu anajua kinachotafutwa, na nani mkweli na yupi anasingiziwa.
“Angalia wanaoandika haya. Kweli Zitto anaweza kutetewa na magazeti ya Habari Corporation yanayomilikiwa na Rostam Aziz halafu ukaamini kile kinachoandikwa?” alihoji.
Aliongeza, “Rostam yupi? Ni huyu tunayemjua au mwingine? Kwa wema upi alionao kwa chama chetu.”
Wiki iliyopita magazeti ya Rai na Mtanzania yalinukuu taarifa zikidai kuwa zimetolewa na Shida, kwamba anataka mwanawe aondoke kwenye chama hicho kwa kile ilichoeleza kuwa “kumwepuesha na yaliyomkuta Chacha Wangwe.”
Katika kujibu hilo, Shida anasema, “Mimi na Zitto tunajua katiba ya chama chetu. Tunafahamu taratibu za kuendesha chama. Yeye ni naibu katibu mkuu, mimi ni mjumbe wa Kamati Kuu. Tunajua nini maana ya uongozi, hivyo hatuwezi kukurupuka barabarani.
“Kwamba kama kuna malalamiko au tuhuma mathalani juu ya uteuzi wa wabunge wa viti maalum, basi sote ni sehemu ya hicho kinacholalamikiwa. Kutokana na hali hiyo, hatuwezi kujifanya hatuhusiki na tukatuhumu kupitia vyombo vya habari, tena magazeti yanayomilikiwa na mwanachama wa CCM.”
Shida alisema anajua kwa mapana chanzo cha yote yanayoandikwa na jitihada za kutaka kumgombanisha Zitto na viongozi wenzake, hasa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa na mwenyekiti wake, Freeman Mbowe.
“Yote haya tunafahamu chazo chake. Si uchaguzi wa ndani ya chama. Uchaguzi ulishakwisha na Zitto kwa moyo mmoja alikubali kumuachia Mbowe uenyekiti ili kulinda maslahi ya chama,” alisema.
Alisema kuwa yeye kama mlezi, hawezi kuruhusu hali hiyo, hivyo atatumia nafasi yake ya mjumbe wa CC kuhakikisha kwamba tabia hiyo ya kugombanisha viongozi inakoma.
“Nikiwa mzazi, mlezi na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA, siwezi kuruhusu Zitto kutumika kuingiza chama katika mgogoro. Nitasimama imara kuhakikisha kwamba CHADEMA inakuwa salama,” alisema.
Wiki iliyopita, Dk. Slaa aliwaondoa katika nafasi za utendaji David Kafulila aliyekuwa Afisa Habari na Danda Juju aliyekuwa Afisa anayeshughulika na Halmashauri na Bunge kwa kile kinachoelezwa kuwa utovu wa nidhamu kwa chama na viongozi wake.
Kafulila alinukuliwa na baadhi ya magazeti kuwa alibeza kikao cha viongozi wa juu wa chama hicho kilichofanyika Dodoma ambapo Mbowe na Dk. Slaa walikutana katika kikao cha kawaida na wabunge wa chama hicho na baadhi ya wakurugenzi.
Kafulila alisema mkutano huo wa viongozi haukuwa na maana; na alifika mbali zaidi kwa kuufananisha na vikao vya geto. Ni matamshi hayo na mengine yaliyomfanya Dk. Slaa kutumia mamlaka yake ya kikatiba kumuondoa Kafulila katika wadhifa huo.
Taarifa zinasema hoja ya kumuondoa Kafulila katika kikao ilitolewa na Msafiri Mtemelwa, mmoja wa viongozi wake na ambaye alikuwa meneja wa kampeni za Zitto wakati wa kuwania uenyekiti wa CHADEMA.
 
binafsi nina mpango wa ku sue chadema wa kushindwa kusimamia maamuzi yake yenyewe yanayotoka vikao mwao kwa ajili ya kutaka kuwasikiliza ma ccm ambao wametoka left and right kumtetea zitto. swali kwa mwesiga ni kwanini mawazo hayo anayoyaita mazuri hakuyatoa kwy kikao ambacho yeye aliudhuria ?? na kama aliyatoa hayakusilikizwa basi lazima twende na maamuzi ya vikao kwani kila siku tumekuwa tukiambiwa kuzingatia vikao na kuheshimu maamuzi ya vikao

hapa uta msue baregu au chadema?au wote kwa pamoja,pamoja na kwamba kuna tofauti za mitizamo.

By the way CDm walisimama ktk sheria ambayo baregu haitaki.Yeye ana prefer ushikaji ushikaji n akuvumilia ambapo kunaweza leta double standards.Eti Zitto kajenga chama ...sidhani km mwana CDM ambaye hajajenga chama kwa kadiri ya matofali aliyowez panga.

Kwa jinsi CDM imefikia kulipuka miaka ya karibuni statistics za Mawazo aliyeingia juzi anaweza kuwa kamzidi zitto kuingiza wanacha kuliko maisha yote za zitto CDM.Tena ukizingatia miak ile kulikuwa na wahsabiki tuu,wakati leo Mawazo anaingiza wanachama wenye kadi na hai.

Baregu kashawishika na Zitto na pengine issue za tume zinamtafuna.
 
chadema mantuzingua.tunasubiri hizo siku kumi na nnnnnnnne. {14} kama mnamtimua au la watnzania tujue cha kufany na chama chenu cha uchaga.

kwanini nanyi mzenguke?

Shida ya dhana yako ya kuona CDM ni chama cha kichaga inakuangusha kwa vile umekosea,unless unamwambia msajili kuwa hajui kazi kwazi sheria zinakataza.

Pia km kweli CDM ilikuwa ni ya kichaga halfu inaperform namna hii,then uchag usingekuwa tatizo ila baraka na wengine mlipaswa tafuta vitu vya ku nationalize kwa taifa ili taifa lipate mchango wa power ya utamaduni wa kichaga.Km hadi leo mnavaa masaia na kuwabebe km fahari ya taifa ktk utamaduni na kufunika makabila mengine kwa nini msipende wachaga wapeperushe bendera ya nchi.

Upande mwingine unakufanya udhihirishe dhambi unayodhani kuwa unaiktaa ya ubaguzi kwa kuwaharamisha wachaga na kuwanyima haki ya kushiriki siasa za nchi hii iingawa hawajapatikana kisheria popote ktk kuwabagua wengine.

You are using a very dangerous grounds ktk hizi siasa na zina backlsh kwa ccm muda si mrefu kimataifa.
 
Chadema kilishapoteza mwelekeo acheni tunkife ili maafa pia yapungue wakuu.
 
Hapa ndipo huwa nalingia form four yangu. Kuwa na jopo la ma prof. kama Baregu na Muhongo! Majanga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom