The Elephant
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 4,345
- 4,608
Huyu mama kuna mishipa imekatika katika kichwa chake.. labda anataka uhalali wa ndoa yake aliyoifunga
Akiwa kwenye siku zake anakuwa mtamu zaidi. Huwa simuachiHawa nao,kwani inakatazwa kufanya tendo la ndoa mtu akiwa kwenye siku zake?Si anajisafisha vizuri tu jamani then anampa mmewe?kuna ubaya gani kwani.Hawa nao sijui wakoje ndo nini kutoleana mambo yenu mliyokuwa mkifanya mkiwa mnapendana?Si waangalie yaliyopo?Yaliyopita wayaache huko huko kwenye ndoa yao ya zamani.
huo moto wa milele utachomwa wewe.unampangia mungu wa kumchoma? mnafiki weweUnawaza tu uzinzi na uasherati. Usipookoka na kutubu huo uovu? Hakuna jinsi utakwepa moto wa milele. Unaweza kuwa na kiburi sasa kwa kuwa bado unaweza kwenda chooni mwenyewe. Hujui yanayoweza kuzaluwa na siku moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu we ndio mme mpya wa huyo Flora nini?, umeamua uje umteteeNani aliyekuwa analialia mitandaoni akitaka Flora wake? Ulishamsikia Flora akilia lia mitandaoni akitaka Mbasha wake?
Emman alisema mengi sana juu ya Flora lakini Flora alikuwa kimya.
Hafai kuw amke, kwa nini ulikuwa unamlilia kila wakti?
Ulimkuta na wanaume wengine, wewe ullipomuoa ulikuwa bikira?
Ulipomuoa Flora alikuwa mke wa nani vile? Sema kweli.
All in all, sipendi na sikubaliani na tangu mwanzo nilisema, mitandao ama jamii haijengi ndoa!. Niliwaonya sana Emma alipoanza kucheza taarabu mitandaoni nikamwambia hapa ndipo unabomoa ndoa yako mchana kutwa. Lakini hakunielewa.
Now it is over. Hakuna ufahaari wa kuanikana mitandaoni na kuanza kukandiana. Hawa watu wakumbuke wana mtoto wa kike ambaye kile wanakifanya kinamuumiza sana ylue binti na kumwathiri ki saikiolojia.
Amri: Komeni kualika watu kwenye unyumba wenu. Mapenzi hayana nguvo zaidi ya watu wawili. Now, kila matu amove kivyake. Flora na Emma acheni upumbavu!.
Dhambi ya uasherati ndani yako ndiyo inakupa kiburi. Kumbuka kifo hakina kanuni. Siku utakapokuwa motoni ndipo utakumbuka huu upuzi unaoweka hapa kama utakufa kabla hujatubu.huo moto wa milele utachomwa wewe.unampangia mungu wa kumchoma? mnafiki wewe
hongera wewe ambae hauna dhambi. nitolee stress zako hapa masalia weweDhambi ya uasherati ndani yako ndiyo inakupa kiburi. Kumbuka kifo hakina kanuni. Siku utakapokuwa motoni ndipo utakumbuka huu upuzi unaoweka hapa kama utakufa kabla hujatubu.
Sent using Jamii Forums mobile app
I have no time to waste with professional fornicators. You repent or else eternal fire will be your portion.hongera wewe ambae hauna dhambi. nitolee stress zako hapa masalia wewe
nilishauacha kitambo, ni enzi hizo nilipokuwa gizani. nilikulaga mchepuko mmoja upo period, sijui uliniwekea dawa gani aisee. ni miaka kama zaidi ya mitano iliyopita na nilishaachaga uo ujinga kabisa sitaki ata kusikia. nilichokuwa naongelea ni kwamba, flora inawezekana ni moja ya wanawake wagumu sana kuishi nao kwasababu ya ushamba. kwa bahati mbaya nimeshaishi maeneo anakotoka hivyo wanawake wa huko nawafahamu. umalaya kwao ni kitu cha kawaida na ndio maana anao ujasiri kuongea mambo ya sirini/chumbani ya mwenzake. yakwake anajua mbasha hataongea kwasababu mbasha ni mwanaume hawezi kufichua siri za mwanamke wasijewakafanana.Wewe Hute mchepuko wa nini wakati unamke ? Mengine yote uloandika napigia msitari. Ila achana na mchepuko.
Shemeji, mbasha ni hendsamuMhh Shem, wanitia shaka na kauli yako hii..
Shemeji, mbasha ni hendsamu
Hapo sasaAsa mbona Florah kamuacha kaenda kuolewa na dogo chaki..?
kuna extent hata vitamu hua vinamwagwaIla anaonekana mtamu yule dada ana futa la nguvu