Povu la Emmanuel Mbasha baada ya madam Flora kuzindua kitabu chenye jina 'Siri za Flora Mbasha'

Huyu mama kuna mishipa imekatika katika kichwa chake.. labda anataka uhalali wa ndoa yake aliyoifunga
 
Hawa nao,kwani inakatazwa kufanya tendo la ndoa mtu akiwa kwenye siku zake?Si anajisafisha vizuri tu jamani then anampa mmewe?kuna ubaya gani kwani.Hawa nao sijui wakoje ndo nini kutoleana mambo yenu mliyokuwa mkifanya mkiwa mnapendana?Si waangalie yaliyopo?Yaliyopita wayaache huko huko kwenye ndoa yao ya zamani.
Akiwa kwenye siku zake anakuwa mtamu zaidi. Huwa simuachi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani aliyekuwa analialia mitandaoni akitaka Flora wake? Ulishamsikia Flora akilia lia mitandaoni akitaka Mbasha wake?

Emman alisema mengi sana juu ya Flora lakini Flora alikuwa kimya.

Hafai kuw amke, kwa nini ulikuwa unamlilia kila wakti?

Ulimkuta na wanaume wengine, wewe ullipomuoa ulikuwa bikira?

Ulipomuoa Flora alikuwa mke wa nani vile? Sema kweli.

All in all, sipendi na sikubaliani na tangu mwanzo nilisema, mitandao ama jamii haijengi ndoa!. Niliwaonya sana Emma alipoanza kucheza taarabu mitandaoni nikamwambia hapa ndipo unabomoa ndoa yako mchana kutwa. Lakini hakunielewa.

Now it is over. Hakuna ufahaari wa kuanikana mitandaoni na kuanza kukandiana. Hawa watu wakumbuke wana mtoto wa kike ambaye kile wanakifanya kinamuumiza sana ylue binti na kumwathiri ki saikiolojia.

Amri: Komeni kualika watu kwenye unyumba wenu. Mapenzi hayana nguvo zaidi ya watu wawili. Now, kila matu amove kivyake. Flora na Emma acheni upumbavu!.
mkuu we ndio mme mpya wa huyo Flora nini?, umeamua uje umtetee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kichaa akikuchukulia taulo ukiwa bafu la uswahilini usitoke uchi kufukuzia taulo. Emmanuel muache Flora auze kitabu kwa wapenda umbea, kumbuka kwa Tanzania hizo ndio habari zinazo uzika zaidi - udaku! Subiri utaona idadi ya wachangiaji kwenye uzi huu. Unachoweza kufanya kimyakimya ni kufuatilia kama unaweza kupata faida kutokana na mauzo ya hicho kitabu. Fanya mambo kwa faida Mbasha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara nyingi, wanawake (samahani akina mama) wanatoa siri za ndani kuliko wanaume hata bila ya kuwa wametengana. Na mara zote, si rahisi mwanamme kutangaza ovyo udhaifu wa mke wake au mtalaka wake. Aidha, ni nadra mwanamme kumsifia au kumsema mwanamke mwingine kwa mke wake.
Naamini vifua vya wanaume vimefungwa vizuri kuliko vya wanawake. Vya wanawake vinapitisha hewa! Wasamehewe!
 
Huyu mdada ni kuku wa kienyeji, hata umlishe mapumba ndani lazima atoke. Namsifu Mbasha kuishi na kichaa kwa muda wote huo bila kujua. Flora shika yako acha kujitia aibu.
 
Wewe Hute mchepuko wa nini wakati unamke ? Mengine yote uloandika napigia msitari. Ila achana na mchepuko.
nilishauacha kitambo, ni enzi hizo nilipokuwa gizani. nilikulaga mchepuko mmoja upo period, sijui uliniwekea dawa gani aisee. ni miaka kama zaidi ya mitano iliyopita na nilishaachaga uo ujinga kabisa sitaki ata kusikia. nilichokuwa naongelea ni kwamba, flora inawezekana ni moja ya wanawake wagumu sana kuishi nao kwasababu ya ushamba. kwa bahati mbaya nimeshaishi maeneo anakotoka hivyo wanawake wa huko nawafahamu. umalaya kwao ni kitu cha kawaida na ndio maana anao ujasiri kuongea mambo ya sirini/chumbani ya mwenzake. yakwake anajua mbasha hataongea kwasababu mbasha ni mwanaume hawezi kufichua siri za mwanamke wasijewakafanana.
 
kwanza watakaonunua icho kitabu chake cha kimbea, watakuwa washamba kama yeye.
 
Back
Top Bottom