Bob12
JF-Expert Member
- Feb 27, 2017
- 11,422
- 58,787
Ila anaonekana mtamu yule dada ana futa la nguvu
Watu wa bayaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila anaonekana mtamu yule dada ana futa la nguvu
Na kwa muonekano wake ni wale wa jitumbua la kutuna kama mkate uliomuka , unapiga hadi inatoka milio mbalimbali
Watu wa bayaaa
Na kwa muonekano wake ni wale wa jitumbua la kutuna kama mkate uliomuka , unapiga hadi inatoka milio mbalimbali
Huyo mwanamke aendelee na maisha yake
Amuache mr handsome
Saaaaana yaani- sema kwa kibamia sidhani kama anamfaa
Aisee ila anaonekana mtamu sana
Sio la ex kusifiwa suala mkishaachana kila mtu anatakiwa achue time zake why tuachane tena kwa talaka alafu kutwa kucha kila siku mdomoni kwako huishi kunitaja ina maana bado kuna mema unayakumbuka kwangumi mwenyewe namchana ex wangu vibaya mno. yaani acha kabisa acha flora ateme cheche.taka lini ex akasifiwa?
Saaaaana yaani- sema kwa kibamia sidhani kama anamfaa
We Google japo picha yake uitathimini kwa mapana na marefu uje na mrejesho
Yani watu mshapimia kabisa k ya watu
flora ni moja ya aina ya wanawake wapumbavu na ni mfano wa wanawake wajinga sana. hata kuimba kwenyewe alikuwa analazimisha tu, hajui na nyimbi zilizo nyingi amecopy na kupaste za wenzake. ile tune hadi Rebecca malope alitaka kumaindi. mbasha atakuwa alipata shida sana kuishi na huyu shume.BAADA ya mwanamuziki wa Nyimbo za Injili Bongo, Flora Mbasha kusambaza kitabu alichokipa jina la Siri za Flora Mbasha kilichoanika ‘mabaya’ ya aliyekuwa mumewe, Emmanuel Mbasha, mumewe huyo ameibuka na ‘kumchana’ vibaya mwimbaji huyo na kusema hafai kuwa mke.
“Kifupi ni kwamba tabia ni kama ngozi, huwezi kuibadili. Wewe unaona sasa hivi anavyoelezea mambo aliyokuwa akiyafanya na mimi na kuongeza uongo wake, alishanifanyia hata mimi wakati nimemuoa. “Yaani yule mwanamke sijui bana, Mungu amsaidie. Yaani kwanza wakati mimi naanza kumfuatilia, huwezi kuamini, alikuwa na mwanaume mwingine.
UmetishaWe Google japo picha yake uitathimini kwa mapana na marefu uje na mrejesho
wewe ndio mwanamke wa kweli. binafsi nilishafanya mapenzi wakati wa siku hizo na mke wangu, mchepuko wangu mara nyingi tu, na yeye anaridhia sometimes. I know it is not right spiritually sometimes,though it depends. some women wanapata hamu kali sana kipindi hicho na wenyewe wanahitaji, wakati mwingine unaenda safari miezi mingi tu kurudi unatakiwa ukae siku moja uondoke na mkeo yupo period, unajua usipomgonga siku hiyo ndo hadi mwezi ujao au uzidiwe genya ukachukue malaya huko safarini. wanawake wengi tu huwa wanaona bora iwe hivyo. halafu ukiwa na mke, period sio kitu cha siri tena, binafsi mke wangu hata kumvalisha pedi naweza, kufanya chochote, yeye ni mwili wangu, nammiliki. sasa kama jambo dogo kama hili analiongelea kwenye kitabu, angekutana na mtu anayemtumbukiza dole kwenye tigo wakati anamduuu si ndoo atamtungia wimbo? au angeliwa tigo kabisa angefanyaje? hopeless kabisa.Hawa nao,kwani inakatazwa kufanya tendo la ndoa mtu akiwa kwenye siku zake?Si anajisafisha vizuri tu jamani then anampa mmewe?kuna ubaya gani kwani.Hawa nao sijui wakoje ndo nini kutoleana mambo yenu mliyokuwa mkifanya mkiwa mnapendana?Si waangalie yaliyopo?Yaliyopita wayaache huko huko kwenye ndoa yao ya zamani.
Hapo chacha..... lolHuyu frola alisha KOJOZWA kwa miaka kadhaa leo ndio anaona mabaya ya aluyekuwa ANAMKOJOZA ..
Mbona wakati wako kwenye mapenzi moto moto hakuandika kitabu ??
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mwanamke hana akili, hayo yalifanyika wakiwa kwenye ndoa. Ayaache huko huko hizo ni fantaisie zao.alikuwa anamlala akiwa p? nasikia alimla na tigo pia
Unawaza tu uzinzi na uasherati. Usipookoka na kutubu huo uovu? Hakuna jinsi utakwepa moto wa milele. Unaweza kuwa na kiburi sasa kwa kuwa bado unaweza kwenda chooni mwenyewe. Hujui yanayoweza kuzaluwa na siku moja.roho ya uzinzi unayo wewe.usatembea na watu wangapi wewe kwenda huko