Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,370
- 39,186
Leo ni Mei Dei... baadhi ya mashirika na idara za serikali ambazo zinashiriki maandamano zinalipa wafanyakazi wake posho ya kuja kuandamana na mabango. Mojawapo ya mashirika yanayofanya hivyo ni la ATC ambapo leo wale wote walioshiriki maandamano walikusanyika Mnazi mmoja na kujiandikisha (kwa ajili ya posh) na kuelekea uwanja wa Taifa.
Hivi, kweli kuna ulazima wa kulipa watu kuandamana au ndiyo namna nyingine kumegeana kula. Wenyewe wakitoka uwanja wa Taifa basi wanarudi Terminal One kulipokea dege lao kubwa linalokuja na nusu ya viti vichakavu...
kazi ipo...
Hivi, kweli kuna ulazima wa kulipa watu kuandamana au ndiyo namna nyingine kumegeana kula. Wenyewe wakitoka uwanja wa Taifa basi wanarudi Terminal One kulipokea dege lao kubwa linalokuja na nusu ya viti vichakavu...
kazi ipo...