Pope Francis: Ndoa za jinsia moja ni dhambi lakini wahusika wakaribishwe kanisani wasitengwe na ikibidi kupewa baraka

Umofia kwenu
Wanajamvi.
Naomba Kwa mjadala huu tujikite kwenye Hoja bila mihemko, kila mtu anafahamu jamii forum Ndiyo jukwaa pekee huru linaloibua mijadala mikubwa na kutoa suluhisho.

Kiongozi wa Kanisa katoliki Duniani papa Francis Hivi karibuni alitoa waraka unaodaiwa kuwa wa mashaka. Kauli iliyoleta mkanganyiko zaidi hapa nchini kwetu ni kauli yake ya kutaka makasisi wa Kanisa katoliki kote Duniani KUWABARIKI WAPENZI WA JINSIA MOJA.

Kauli hiyo imeibua mjadala mkali zaidi hasa kwenye mitandao ya kijamii. Na makasisi wa Kanisa katoliki baadhi yao kutumia mahubiri ya Noel kukataa agizo hilo.

Lakini Hebu tuangalie Kwa makini liko wapi kosa la Kiongozi huyo wa kidini anayeheshimika zaidi Duniani!? Kimsingi papa kwenye kauli yake bado alisimamia msimamo wa Kanisa kwamba "Ndoa ni kati ya mume na mke" na ndoa za jinsia moja ni DHAMBI. Kuhusu baraka papa alisema Kanisa linaweza KUMBARIKI MTU na si kubariki Ndoa ya jinsia moja.

Maana yake ni kwamba mtu anayeshiriki mapenzi ya jinsia moja Anaweza kuombewa yeye Kama yeye akihitaji Msaada wa Kanisa Lkn Kanisa halitabariki uhusiano wake Yaani ndoa yake ya jinsia moja.

Hebu Wanajamvi mnisaidie, kosa hapo la papa liko wapi!? Kwa sababu Kanisa halifanyi Kazi ya kubagua watu.. Kanisa Kazi yake ni kuwahubiri watu juu ya ufalme wa mbingu. Kama watu wanalalamika kuwabariki mashoga wakija kanisani, vipi kuhusu wanaotenda dhambi zingine km mauaji, uchawi, wizi, uzinzi nk nao Kanisa litawatenga!? Au shoga anatenda dhambi kubwa zaidi kuliko mauaji, wizi nk!??

Mbona hata Yesu alisema Sikuja kuwaita watu wema wapate kutubu bali wenye dhambi!? Kwa nini leo tunataka kuwatenga na kuwabagua wapenzi wa jinsia moja!? Hivi Kanisa lisipowaombea na kuwabariki wataacha vp kufanya huo uchafu!?

Kanisa likikaa kimyaa na kuwabagua mashoga, ina Maana ushoga Ndiyo hautakuwepo!? Kwa nini watu wanataka Kanisa lisichukue hatua madhubuti za kukabiliana nalo Kwa sababu ni tatizo lililopo katika jamii!?


Tujadili..
 
Mimi naona yupo sahihi kwa sababu dhumuni kuu la kanisa na injili ni kuwarudisha kondoo waliopotea kwenye zizi haya maneno hayana maana ya ubaguzi yan usijione wewe mchawi ni msafi kuliko shoga wote ni wakosaji mbele za MUNGU sio kwetu sisi binadamu kwa sababu sisi binadamu tuna upendeleo lakini ukweli ni kwamba sisi wote(WAZURI NA WABAYA) ni wa MUNGU.
 
Dunia ina matatizo mengi yanayogusa jamii kubwa ya watu ila Papa amekomaa na ushoga kila ninapomsikia.
Kuna kitu hakiko sawa kwenye hii taasisi ila tumekuwa waoga kuhoji.
Hapana, dunia yenyewe ndio inapenda hizi mambo maana kila siku papa huwa anaongea vitu vingi ila hawasambazi hizo taarifa ila akisema tu ushoga basi ndio waandish wenu huwa wanapromote
 
Umofia kwenu
Wanajamvi.
Naomba Kwa mjadala huu tujikite kwenye Hoja bila mihemko, kila mtu anafahamu jamii forum Ndiyo jukwaa pekee huru linaloibua mijadala mikubwa na kutoa suluhisho.

Kiongozi wa Kanisa katoliki Duniani papa Francis Hivi karibuni alitoa waraka unaodaiwa kuwa wa mashaka. Kauli iliyoleta mkanganyiko zaidi hapa nchini kwetu ni kauli yake ya kutaka makasisi wa Kanisa katoliki kote Duniani KUWABARIKI WAPENZI WA JINSIA MOJA.

Kauli hiyo imeibua mjadala mkali zaidi hasa kwenye mitandao ya kijamii. Na makasisi wa Kanisa katoliki baadhi yao kutumia mahubiri ya Noel kukataa agizo hilo.

Lakini Hebu tuangalie Kwa makini liko wapi kosa la Kiongozi huyo wa kidini anayeheshimika zaidi Duniani!? Kimsingi papa kwenye kauli yake bado alisimamia msimamo wa Kanisa kwamba "Ndoa ni kati ya mume na mke" na ndoa za jinsia moja ni DHAMBI. Kuhusu baraka papa alisema Kanisa linaweza KUMBARIKI MTU na si kubariki Ndoa ya jinsia moja.

Maana yake ni kwamba mtu anayeshiriki mapenzi ya jinsia moja Anaweza kuombewa yeye Kama yeye akihitaji Msaada wa Kanisa Lkn Kanisa halitabariki uhusiano wake Yaani ndoa yake ya jinsia moja.

Hebu Wanajamvi mnisaidie, kosa hapo la papa liko wapi!? Kwa sababu Kanisa halifanyi Kazi ya kubagua watu.. Kanisa Kazi yake ni kuwahubiri watu juu ya ufalme wa mbingu. Kama watu wanalalamika kuwabariki mashoga wakija kanisani, vipi kuhusu wanaotenda dhambi zingine km mauaji, uchawi, wizi, uzinzi nk nao Kanisa litawatenga!? Au shoga anatenda dhambi kubwa zaidi kuliko mauaji, wizi nk!??

Mbona hata Yesu alisema Sikuja kuwaita watu wema wapate kutubu bali wenye dhambi!? Kwa nini leo tunataka kuwatenga na kuwabagua wapenzi wa jinsia moja!? Hivi Kanisa lisipowaombea na kuwabariki wataacha vp kufanya huo uchafu!?

Kanisa likikaa kimyaa na kuwabagua mashoga, ina Maana ushoga Ndiyo hautakuwepo!? Kwa nini watu wanataka Kanisa lisichukue hatua madhubuti za kukabiliana nalo Kwa sababu ni tatizo lililopo katika jamii!?


Tujadili..
Hapa kuna watu wanachuki nae
 
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani ametoa waraka unaoelezea kuhusu mambo mbalimbali ikiwemo suala la mahusiano baina ya waumini. Katika waraka huo Kiongozi huyo ameruhusu makasisi wa kanisa hilo kuwapokea na ikibidi kuwabariki wale wanaojihusisha na mahusiano ya jinsia moja.

Akisisitiza kwamba daima kanisa halipaswi kuwasukuma waumini mbali na kanisa bali linapaswa kuwaleta karibu bila kujali hali zao za kiroho na kusema kama jinsi mvua iwanyesheavyo wema na waovu ndivyo kanisa linapaswa kuwapokea na kuwapa mafundisho wale wote wanaoenda kinyume na miongozo ya kanisa.

Pia kiongozi huyo amesisitiza kwamba kamwe hii haihalalishi mahusiano hayo na daima haiwezi kuwa mbadala wa Sakramenti ya Ndoa Takatifu.

View attachment 2846959View attachment 2846963
Kanisa linapokea watu wenye dhambi wotee bila kujali aina ya dhambi, Mbingu sio ya Mtu bali ni ya Mungu na Yesu alikuja kwa ajili ya wenye dhambi sio kwa wasio na dhambi so, Pope anakaribisha hata wewe mwizi, Jambazi, malaya, fisadi n.k
 
Acha wafumuana makalio. Hilo zee inaonekana na lenyewe punga tu.
 
Kanisa linapokea watu wenye dhambi wotee bila kujali aina ya dhambi, Mbingu sio ya Mtu bali ni ya Mungu na Yesu alikuja kwa ajili ya wenye dhambi sio kwa wasio na dhambi so, Pope anakaribisha hata wewe mwizi, Jambazi, malaya, fisadi n.k
Tuthibitishie kwanza hiyo mbingu ipo na huyo mungu yupo then tuendelee na mada.
 
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani ametoa waraka unaoelezea kuhusu mambo mbalimbali ikiwemo suala la mahusiano baina ya waumini. Katika waraka huo Kiongozi huyo ameruhusu makasisi wa kanisa hilo kuwapokea na ikibidi kuwabariki wale wanaojihusisha na mahusiano ya jinsia moja.

Akisisitiza kwamba daima kanisa halipaswi kuwasukuma waumini mbali na kanisa bali linapaswa kuwaleta karibu bila kujali hali zao za kiroho na kusema kama jinsi mvua iwanyesheavyo wema na waovu ndivyo kanisa linapaswa kuwapokea na kuwapa mafundisho wale wote wanaoenda kinyume na miongozo ya kanisa.

Pia kiongozi huyo amesisitiza kwamba kamwe hii haihalalishi mahusiano hayo na daima haiwezi kuwa mbadala wa Sakramenti ya Ndoa Takatifu.

View attachment 2846959View attachment 2846963
Tubaki njia zimpendezazo Bwana bila kujali au kufuata baadhi ya maneno ya waongoza dini, viongozi n.k maana wao ni wanadamu kama sisi na siku ya mwisho watahukumiwa
 
Back
Top Bottom