Ingawa kwangu roman catholic sio kanisa la Yesu Kristo lakini media zinapotosha tamko la baraka kwa ndoa za jinsia moja

Execute

JF-Expert Member
Sep 21, 2022
3,000
7,285
Kwangu mimi roman catholic ni taasisi fulani ya kijasusi inayotawala sehemu kubwa ya dunia kupitia yule wanamuita bikira maria na wala haina uhusiano na kanisa la Yesu Kristo. Asilimia kubwa ya mafundisho yao ni matamko ya viongozi na mapokeo ya miaka mingi.

Sasa kilichopitishwa na papa francis leo ni ruhusa kwa makasisi kutoa baraka za aina mbalimbali hata kwa watu wenye mahusiano ya jinsia moja. Hajasema kwamba wafungishe ndoa hizo bali wawatamkie baraka hao watu bila kujali uovu wao.
 
Wazee wa pumziko la milele na Wavaa kobazi njooni kimya kimya kwenye huu uzi tayari huku Ndugu yenu kashalipuliwa na wasiojulikana
 
Tamko limeruhusu, kwamfano, watu wenye ndoa ya jinsia moja wakienda kwa kasisi wakitaka awaombee kwenye biashara zao basi asikatae.

Tamko halijasema kwamba wafungishe ndoa za jinsia moja.
Endeleeni kutetea ujinga wenu
Hakuna mapenzi ya Jinsia moja semeni usenge na usagaji
Huu ugaidi wa imani mkitaka kuepukana nao kueni waislam
 
Asilimia kubwa ya mafundisho yao ni matamko ya viongozi na mapokeo ya miaka mingi.

Kama ulikuwa hujui..
Hiyo bible unayo taka kuwa reference yako... kuna kipindi ilipokwa na hao hao wakatoliki, ika Editiwa halafu ika rudishwa kwako usome... hayo unayosema mapokeo au matamko.. yapo kwenye maandishi yanayo milikiwa na papa
 
Back
Top Bottom