Pongezi nyingi kwa mama yetu kipenzi mama samia na serikali awamu ya sita.sikukuu hii watu wamesafiri sanaaaaaaa

ommytk

JF-Expert Member
Jul 30, 2015
482
1,053
Pongezi nyingi sana awamu ya sita na pekee kwa mama yetu sikukuu watu wamesafiri sanaaaa aijawahi tokea hii kwa kipindi kirefu sana wananchi walikuwa wakikumbizana na maisha na mambo hayakuwa mazuri sasa mambo angalau yamesababisha watu sasa wanasadiri kwenda kula sikukuu na familia na wazee yaani ukifika mbezi ndio utajua aya nayoongea .

Hakuna kama mama
 
Pongezi mumpe mwezi January. Nyoe wenyewe ndio wakwanza kulialia kuwa January ina siku 900. Mama Samia hajapandisha mshahara wala hajaboresha maisha
Pongezi nyingi sana awamu ya sita na pekee kwa mama yetu sikukuu watu wamesafiri sanaaaa aijawahi tokea hii kwa kipindi kirefu sana wananchi walikuwa wakikumbizana na maisha na mambo ayakuwa mazuri sasa mambo angalau yamesababisha watu sasa wanasadiri kwenda kula sikukuu na familia na wazee yaani ukifika mbezi ndio utajua aya nayoongea
Hakuna kama mama
 
"Pongezi nyingi kwa mama samia leo mvua imenyesha kwetu" mwanaP&W team mmoja alisikika huku akipiga miayo ya njaa.
Lumumba FC kunahitajika Elimu Elimu Elimu, Lowasa aliona mbali sana.
🌝🌝🌝🌝🌝🌝
 
Pongezi nyingi sana awamu ya sita na pekee kwa mama yetu sikukuu watu wamesafiri sanaaaa aijawahi tokea hii kwa kipindi kirefu sana wananchi walikuwa wakikumbizana na maisha na mambo ayakuwa mazuri sasa mambo angalau yamesababisha watu sasa wanasadiri kwenda kula sikukuu na familia na wazee yaani ukifika mbezi ndio utajua aya nayoongea
Hakuna kama mama
Ni kweli mkuu,unafuu upo.
 
Pongezi nyingi sana awamu ya sita na pekee kwa mama yetu sikukuu watu wamesafiri sanaaaa aijawahi tokea hii kwa kipindi kirefu sana wananchi walikuwa wakikumbizana na maisha na mambo ayakuwa mazuri sasa mambo angalau yamesababisha watu sasa wanasadiri kwenda kula sikukuu na familia na wazee yaani ukifika mbezi ndio utajua aya nayoongea
Hakuna kama mama
Mods naomba nipewe ban ya siku mbili. Huyu mpuuzi ameanza
 
Back
Top Bottom