ommytk
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 482
- 1,053
Pongezi nyingi sana awamu ya sita na pekee kwa mama yetu sikukuu watu wamesafiri sanaaaa aijawahi tokea hii kwa kipindi kirefu sana wananchi walikuwa wakikumbizana na maisha na mambo hayakuwa mazuri sasa mambo angalau yamesababisha watu sasa wanasadiri kwenda kula sikukuu na familia na wazee yaani ukifika mbezi ndio utajua aya nayoongea .
Hakuna kama mama
Hakuna kama mama