Karibu kilingeni MsataHabarini wanajf
Hatimaye tumeiona 2018 kwa kudra za Mwenyez Mungu.
Nimeuanza mwaka kwa kupiga goti na
Kumuomba Mungu aniweke mbali na hawa maadui watatu ...
1Pombe
2Wanawake
3Siasa
Nimeteseka sana kwa muda mrefu kwa minyororo ya hawa maadui.......!
Sasa nasema "enough is enough " nimetosha "life can't be one endless party oh my God help me.....! Give me strength to defeat them....."
Poleni sana ndugu jamaa na marafiki najua pengo langu halitazibika lakini imenibidi kufanya uamuzi mgumu.....!
Jah Guide.........!
Walio bado dhambiniHizo pole unawapa akina nani haswa? Na je watadhulikaje na wewe kuacha hayo?
Tatizo la beer ukinywa moja inachochea nyingine halaf mwisho wa siku inakuwa kata mti panda mti.... !Yoshua Bin Sira 31:25-29
"25 Usijionyeshe kuwa hodari wa kunywa pombe, maana imewaangamiza wengi.
26 Tanuru hupima ugumu wa chuma, na pombe hupima mioyo katika shindano la wenye kiburi.
27 Pombe ni kama uhai kwa mtu akinywa kwa kiasi, Maisha yafaa nini bila pombe?
Imeumbwa iwafurahishe watu.
28 Kunywa pombe kwa wakati wake na kwa kiasi, kwaleta shangwe moyoni na furaha rohoni.
29 Lakini kunywa pombe kupita kiasi, kunaleta kuumwa kichwa, uchungu na fedheha."
Walio bado dhambini
Utaepuka vyote lakini namba 2 huwezi kuiepuka hata iweje, Mimi nilijaribu, lakini ghafla nikatongozwa na mke wa mtu kesho nina ahadi ya kwenda kumtafuna.Habarini wanajf
Hatimaye tumeiona 2018 kwa kudra za Mwenyez Mungu.
Nimeuanza mwaka kwa kupiga goti na
Kumuomba Mungu aniweke mbali na hawa maadui watatu ...
1Pombe
2Wanawake
3Siasa
Nimeteseka sana kwa muda mrefu kwa minyororo ya hawa maadui.......!
Sasa nasema "enough is enough " nimetosha "life can't be one endless party oh my God help me.....! Give me strength to defeat them....."
Poleni sana ndugu jamaa na marafiki najua pengo langu halitazibika lakini imenibidi kufanya uamuzi mgumu.....!
Jah Guide.........!
Hahah ndo kwanza wiki ya kwanza ya mwaka mkuu.Biere imenizingua sana last year sitaki hata kuisikia mwaka huu naona hata mama mtoto hata siku hizi ana furaha usoni mwake
Poa poa.Endelea kupambana mkuu usikate tamaa
Habarini wanajf
Hatimaye tumeiona 2018 kwa kudra za Mwenyez Mungu.
Nimeuanza mwaka kwa kupiga goti na
Kumuomba Mungu aniweke mbali na hawa maadui watatu ...
1Pombe
2Wanawake
3Siasa
Nimeteseka sana kwa muda mrefu kwa minyororo ya hawa maadui.......!
Sasa nasema "enough is enough " nimetosha "life can't be one endless party oh my God help me.....! Give me strength to defeat them....."
Poleni sana ndugu jamaa na marafiki najua pengo langu halitazibika lakini imenibidi kufanya uamuzi mgumu.....!
Jah Guide.........!