DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 32,342
- 83,281
Pombe na wanawake unaweza kuviepuka kwa 100%, lakini siasa hutaweza kuiepuka. Kwanini? Siasa ndio inayokuamulia ule nini, uvae nini, ulale wapi, uishi wapi, uishije, upumzike lini, ufanye kazi gani, usafiri wapi nk.
Hata uwepo wako humu JF ni matokeo ya maamuzi ya kisiasa, ipo siku tena sio siku nyingi huenda hata JF ikafungiwa kabisa kwa amri ya wanasiasa. Kama unabisha za jiulize jambo forum iko wapi?
kwani Jambo forum na Jf sinikitu kimoja au?