Pombe, Siasa na Wanawake Mungu niepushie mbali

Habarini wanajf

Hatimaye tumeiona 2018 kwa kudra za Mwenyez Mungu.

Nimeuanza mwaka kwa kupiga goti na
Kumuomba Mungu aniweke mbali na hawa maadui watatu ...

1:)Pombe

2:)Wanawake

3:)Siasa

Nimeteseka sana kwa muda mrefu kwa minyororo ya hawa maadui.......!

Sasa nasema "enough is enough " nimetosha "life can't be one endless party oh my God help me.....! Give me strength to defeat them....."

Poleni sana ndugu jamaa na marafiki najua pengo langu halitazibika lakini imenibidi kufanya uamuzi mgumu.....!

Jah Guide.........!
Ila aisee mwanamke ni sumu sana ....
 
Na ndio maisha!..
Kazi kweli kweli....aokoke atajirishe kina Kakobe tu, Duniani usipopatwa na hayo ma-anasa manabii feki wanakusubiri...
Mm Rc halaf huwa naingia mara chache sana hao manabii Feki nawaogopa kama ukoma.
 
Hongera sana mkuu , tutakuombea uzidi kusimama katika wamuzi wako mzuri na chanzo cha maendeleo mkuu
 
Hongera sana mkuu , tutakuombea uzidi kusimama katika wamuzi wako mzuri na chanzo cha maendeleo mkuu
Acha kumchagiza mwenzako hapa duniani tunatafuta fedha
kwa ajili ya kutimiza mambo matatu kula kulea familia na
kuto.mb....haiwezekani ukawa unakula tu bila kutia huo ni ujuha
 
Back
Top Bottom