Nyamisangura
Member
- Jan 4, 2018
- 87
- 107
Hiyo ni hatari sana
Mungu akusaidie!Ni zaidi ya serious.....!
Na ndio maisha!..Pombe, mademu na pesa vinaendaga sambamba mno. Siasa unaionea
Ila aisee mwanamke ni sumu sana ....Habarini wanajf
Hatimaye tumeiona 2018 kwa kudra za Mwenyez Mungu.
Nimeuanza mwaka kwa kupiga goti na
Kumuomba Mungu aniweke mbali na hawa maadui watatu ...
1Pombe
2Wanawake
3Siasa
Nimeteseka sana kwa muda mrefu kwa minyororo ya hawa maadui.......!
Sasa nasema "enough is enough " nimetosha "life can't be one endless party oh my God help me.....! Give me strength to defeat them....."
Poleni sana ndugu jamaa na marafiki najua pengo langu halitazibika lakini imenibidi kufanya uamuzi mgumu.....!
Jah Guide.........!
U are fighting against nature my brotherKwako ww sawa ila mm najiamini naweza labda wanibake.....!
Acha kumchagiza mwenzako hapa duniani tunatafuta fedhaHongera sana mkuu , tutakuombea uzidi kusimama katika wamuzi wako mzuri na chanzo cha maendeleo mkuu
Huu ukweli unauma sana, you just cant avoid women, mimi natamani but nimeshindwa, you can hate them all you want but u just cant avoid them, they always manage to get through.Sisi ni kama maji vile.
Mtupende tu mkuu maana hamna namna.Huu ukweli unauma sana, you just cant avoid women, mimi natamani but nimeshindwa, you can hate them all you want but u just cant avoid them, they always manage to get through.
Hahaaaaa!! Mwenzio hataki mtaji, muache afe masikini.Tena ngoja nimfate pm nikampe mtaji, maana majaribu ni mtaji