Pombe mwanaharamu

Pombe mwanaharamu

Sitasahau siku niliyolewa nikamtongoza mama mkwe
Mara ya kwanza kunywa pombe niligusa glasi moja ya konyagi+cocastic nililewa nikaenda kumtongoza shem(mke wa kaka)
Mara nyingi hua ukimtongoza mtu ambaye haumdhanii kabisa ndio hua wanakubali..naamin kati ya nyinyi mmoja alikubali au ilikuaje na naamin 99% hawakumaindi Wala nini
 
Kosa nalofanya nikinywa nikwamba huwanaanza kumtetea shetani kuwa hakuwa na hatia na hakustahili adhabu aliyopewa na mungu, nikianza kutoa utetez hapo nitashusha kila aya ya quran nayo ijua had usingiz unikamate. Nikiamka next day nitajitwaharisha nakusal then life goes on..!
 
Kuna siku nililewa nikaanza kumkumbatia mama mkwe na kumpapasa huku nikimwambia "my darling. you are really my sweet heart, you know what! I love you than any creature you know!"

mama mkwe alikuwa amekuja kututembelea.
 
Back
Top Bottom