Kuna watu mnatutia hasara Sana, tunalipa Kodi peke yetu wewe hata tone hulipi!Hahah dah! Kwa bahati mbaya sijawahi kuonja hata tone moja, pole jirani
😀
Kuna watu mnatutia hasara Sana, tunalipa Kodi peke yetu wewe hata tone hulipi!Hahah dah! Kwa bahati mbaya sijawahi kuonja hata tone moja, pole jirani
😀
hah mkuu nalipa kwa bidhaa zingineKuna watu mnatutia hasara Sana, tunalipa Kodi peke yetu wewe hata tone hulipi!
Pombe ni hatari au unaekunywa na kichwa kibovu ndio hatari? Karibu pombe.Pole sana aisee kweli Pombe nli hatari
Hawezi kunywa kreti la soda, Sasa Kodi gani unalipa?hah mkuu nalipa kwa bidhaa zingine
Umejipongeza 😂😂😂Hongera mimi jana ndo nimejipongeza na ka FOUR COUSINS kwa kukaa tangu january bila kuonja😁😁
Ulidai akulipe kodi kwa kuishi kwake,akupe chenji ya kodi uliyomlipa au huwa anaongea sana ukataka atoe kodi ya kamdomo?Mm nilivyokunywa nikaenda kudai kodi kwa mwenye nyumba 🔥
Hebu weka reccomendation ya hizo moviesHaha kilevi changu ni movies, football, na mbususu
Nilijisahau, nkajua mm ndo mmiliki wa nyumbaUlidai akulipe kodi kwa kuishi kwake,akupe chenji ya kodi uliyomlipa au huwa anaongea sana ukataka atoe kodi ya kamdomo?
😂😂😂😂Sikumbuki ugomvi ulianzaje ila nashangaa tu nilimng'ata baunsa wa ile bar..
nakuja kushituka nipo hospitali nina mabandeji, kuuliza nimefikaje kumbe kuna watu walirekodi video nzima ya kilichonikuta!. yule hakuwa baunsa tu ni jumong!.
Nawee ingizwa huko kwenye kisoda, ulewe vyedi, usukumwe nyamaa.Wakuu nnaskia sku izi watu wa dar wana njia flan ya kulewa..
Ety pombe hawanywi kwa mdomo wakuu
Anayejua atuambie wakuu
Koma wewe mi na pombe wapi na wapi alaaaah we coca jiheshimu..Kusukumwa nyama ndo nini 😂😂😂😂😂😂Nawee ingizwa huko kwenye kisoda, ulewe vyedi, usukumwe nyamaa.
Una hamu na kulewaa eeeh? 😂😂😂😂
All in one, Asante mkuuPombe ni hatari au unaekunywa na kichwa kibovu ndio hatari? Karibu pombe.
Yeah! Mkuu nachangia pato la taifa😁😁Umejipongeza 😂😂😂
Vibaya mno nnaye mmoja tunapiga ulabu wote namuulizga waumini wako hawakuoni akasema hii sehemu ngumu..tunapga jibapa wote nashangaa mkewe hua hamstukii😁Wachungaji wanakunywa pombe kisiri siri
Pole sana mkuu hope ulimalizana nao vizuriNilienda kumtongoza mke wa jirani yangu tena kwa mlazimisha anipe mzigo wakati jamaa yuko ndani ..... pili nilimtukana boss kisa ameniambia niende likizo mwezi ujao .
😁😁😁kumbe ndiyo mambo yaoVibaya mno nnaye mmoja tunapiga ulabu wote namuulizga waumini wako hawakuoni akasema hii sehemu ngumu..tunapga jibapa wote nashangaa mkewe hua hamstukii😁
Pole sana mkuu😁😁Nilikunywa gongo nikadata nikajikuta nachinja kondoo bila sababu ya msingi hakuna sherehe Wala Nini kwenye kumchuna ngozi Sasa alooo
Hizo nyama niligawa Kijiji kizima nikaambulia kula maini na Figo tu
Kunywa kisirisii bro ..au unapumzikaBro sijagusa tangu january nkipata hamu sana mara ninywe grand malt jana nkapiga apple punch koo likatulia 😁, Malaika mlinzi yupo na mimi