Pombe mwanaharamu

Pombe mwanaharamu

Mie kuna wakati alikuwa ananipenda kwa ile ID yake nyingine ilaaaa ๐Ÿคฃ ghafla akaanza vita na mimi na sababu za kuniattack hazina kichwa wala miguu

Huwa nahisi kuna sehemu nilikoment jambo kinyume na anavyopenda
Yaani yule ana depression kali sana๐Ÿ˜†..kazi ipo
 
Hahaha mie kidogo nimpigie x nimwambie still nampenda and am inlove bado ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ ashukuriwe niliekuwa nae alininyanyua tukacheze mziki. Na ningeipiga ile simu
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜yeye ndo alikuacha inaonekana
 
Back
Top Bottom