Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,407
- 54,850
Ahahahah mkuu ukute upo dar nini.๐๐๐๐Ni wakenya sio watu wa dar
Ahahahah mkuu ukute upo dar nini.๐๐๐๐Ni wakenya sio watu wa dar
Yaani yule ana depression kali sana๐..kazi ipoMie kuna wakati alikuwa ananipenda kwa ile ID yake nyingine ilaaaa ๐คฃ ghafla akaanza vita na mimi na sababu za kuniattack hazina kichwa wala miguu
Huwa nahisi kuna sehemu nilikoment jambo kinyume na anavyopenda
Nipo Mpanda vijijiniAhahahah mkuu ukute upo dar nini.๐๐๐๐
Mm sio kitu sio chchtSasa kaka kweli mi nikunafikie weww mkuu ๐๐๐๐
๐๐๐yeye ndo alikuacha inaonekanaHahaha mie kidogo nimpigie x nimwambie still nampenda and am inlove bado ๐๐๐ ashukuriwe niliekuwa nae alininyanyua tukacheze mziki. Na ningeipiga ile simu
Na ukimjibu hasira zake zikipanda akikujibu hujui nini anachoandika anamaanisha nini ๐คฃYaani yule ana depression kali sana๐..kazi ipo
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Namuombeaga apate mume aise huenda akatulia.hajawahi kueleweka kbs nini anataka๐๐๐Na ukimjibu hasira zake zikipanda akikujibu hujui nini anachoandika anamaanisha nini ๐คฃ
Yes. Too much is harmfulPombe si mwanaharamu bali ainywaye bila busara na kiasi. Pombe si mbaya bali wale waitumiayo vibaya.
Hii ishu ya vijana wa dar sijasema wote mkuu ni baadhi kuna wengine hawana hayo.mamboNipo Mpanda vijijini
Nimepunguza mkuu kuacha ni ngumu
Hapana mbaga wee mi nakuona mtu flan na heshima zako mkuu japo kuna watu wanafosi uwe wa hovyo ila naamini your genius remain mkuu kama kukuambia hvo nakukera naomba nisamehe mkuu ๐๐๐๐๐๐Mm sio kitu sio chcht
Mbona kuna wakati anasema hatafuti wanaume,mara ana mahusiano yake ๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Namuombeaga apate mume aise huenda akatulia.hajawahi kueleweka kbs nini anataka๐๐๐
Atakuwa kaopoa mshangaziWrite your reply...
Where is tumbili wa mini?
Kama umeweza kupunguza utaweza tu kuacha huko mbeleniNimepunguza mkuu kuacha ni ngumu
Tusaidiane tuache hii kitu๐๐Eh tuwe marafiki tusaidiane๐
Yeah! Nikiolewa na mchungaji nitaacha๐๐Kama umeweza kupunguza utaweza tu kuacha huko mbeleni
๐น Nimelia sanaHapana mbaga wee mi nakuona mtu flan na heshima zako mkuu japo kuna watu wanafosi uwe wa hovyo ila naamini your genius remain mkuu kama kukuambia hvo nakukera naomba nisamehe mkuu ๐๐๐๐๐๐
Hapa tu tayari nishaharibu huko๐Tusaidiane tuache hii kitu๐๐
Wachungaji wanakunywa pombe kisiri siriYeah! Nikiolewa na mchungaji nitaacha๐๐