Pombe mwanaharamu

Pombe mwanaharamu

Mie kuna wakati alikuwa ananipenda kwa ile ID yake nyingine ilaaaa 🤣 ghafla akaanza vita na mimi na sababu za kuniattack hazina kichwa wala miguu

Huwa nahisi kuna sehemu nilikoment jambo kinyume na anavyopenda
Yaani yule ana depression kali sana😆..kazi ipo
 
Hahaha mie kidogo nimpigie x nimwambie still nampenda and am inlove bado 😃😃😃 ashukuriwe niliekuwa nae alininyanyua tukacheze mziki. Na ningeipiga ile simu
😁😁😁yeye ndo alikuacha inaonekana
 
Sijawahi kulewa,ila najijua kwa vituko vyangu,nikiona binti mpya namwaga hela kama njugu.
 
Back
Top Bottom