Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 24,857
- 89,753
Binti Sayuni03 heri uliacha pombe wallah!
Bro Evelyn Salt uliacha?
Kwanini umeacha kutumia mkuu
Kumbe kaacha?
Ikawaje sasa mkuu
Kumbe kaacha?
Ana heka heka balaaAlishawahi kusema anaacha kwenye uzi wake mmoja hivi 😂
Ana heka heka balaa
Ni wakenya sio watu wa darWakuu nnaskia sku izi watu wa dar wana njia flan ya kulewa..
Ety pombe hawanywi kwa mdomo wakuu
Anayejua atuambie wakuu
Hahaha mie kidogo nimpigie x nimwambie still nampenda and am inlove bado 😃😃😃 ashukuriwe niliekuwa nae alininyanyua tukacheze mziki. Na ningeipiga ile simuUpo kama mimi niliwahi kulewa nikampigia ex wangu nikamtukana
Daily nyuzi mpya...anataka kufanana na unikflawaHeka heka anazo sio kitoto 😂
Huyo mwingine usimtaje tafadhali 😂😂Daily nyuzi mpya...anataka kufanana na flawagal
😆😆😆😆Naonaga anamuattack balaa watu8.majuzi juzi kahamia kwa mshana🤣..kazi ipoHuyo mwingine usimtaje tafadhali 😂😂
Manake akija hapa hataangalia ni nani kamtaja...ataanza na mimi kama nilishawahi kumuibia bwana
😆😆😆😆Naonaga anamuattack balaa watu8.majuzi juzi kahamia kwa mshana🤣..kazi ipo
Duuh kwanini sasa nyie wajanja wa dar mpo hivi aiseeeIle wanakunywa kupitia kwny mkundu mkuu?
![]()
Wimbi la Vijana kutumia Pombe kwa njia ya haja kubwa, haiwezi chochea Ushoga?
Salaam Wakuu. Kumeibuka wi la Vijana kutumia pombe kwa njia ya haja kubwa ili walewe kwa haraka. Pamoja na madhara yote, naona hii inaweza chochea kuingiliana kinyume na maumbile. Nini kifanyike ili kuepusha kizazi hiki? Je, kuna Sheria inakataza utumiaji huu wa Pombe? Hii haiwezi kuongeza...www.jamiiforums.com
Astaghaffillah astaghaffillah astaghaffillah astaghaffillah hio imenisikitisha sana mkuuKuna watu wanaipitisha kwa tundu la nyuma ili walewe haraka 🔥
Sasa kaka kweli mi nikunafikie weww mkuu 😂😂😂😂Huu unafiki wako haukupeleki popote mkuu 😂