camp konzi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2025
- 270
- 515
Mara baada ya mtu kunywa pombe uanza kupata uwezo wa ajabu ambao apo mwanzo akuwahi kuwa nao sijajua mkemia wa kwanza kabisa ambae alianza kutengeneza pombe apa ulimwenguni aliweka sili gani kwenye pombe.
Uwezo huo wa ajabu uwa unakuja kwa kasi sana na kitu kinachoitajika ni nguvu ya muhusika kuweza kuhusibiti.
Kama muhusika ataweza kuhuzibiti uwo uwezo basi ataweza kwenda sawa na pombe ila wengi uwa wanashidwa kuhumudu huu uwezo.
Mhusika akiweza kuhumudu huwo uwezo uwa anabarikiwa na kupata nguvu ya kutenda jambo lolote lile ata liwe gumu kiasi gani na ndio mana hata madomo zege ujikuta wakipata uwezo wa kutongoza vizuri kabisa na kwa ufasaha mara baada ya kupiga urabu kama wewe ni domo zege ijaribu hii.
Vile vile hata kama muhusika alipitia unyanyasaji wa aina yeyote ile mara baada ya kupata urabu na kuweza kuhukotror basi upata nguvu kubwa sana ya kuweza kujitetea kwenye huo unyanyasaji.
KUSEMA UKWELI FAIDA YA KUPIGA URABU NA KUWEZA KUHUKONTROR NI NYINGI SANA SEMA NI VILE TU NIMECHOKA KUANDIKA NAOMBENI WADAU MUNISAIDIE FAIDA NYINGINE
Uwezo huo wa ajabu uwa unakuja kwa kasi sana na kitu kinachoitajika ni nguvu ya muhusika kuweza kuhusibiti.
Kama muhusika ataweza kuhuzibiti uwo uwezo basi ataweza kwenda sawa na pombe ila wengi uwa wanashidwa kuhumudu huu uwezo.
Mhusika akiweza kuhumudu huwo uwezo uwa anabarikiwa na kupata nguvu ya kutenda jambo lolote lile ata liwe gumu kiasi gani na ndio mana hata madomo zege ujikuta wakipata uwezo wa kutongoza vizuri kabisa na kwa ufasaha mara baada ya kupiga urabu kama wewe ni domo zege ijaribu hii.
Vile vile hata kama muhusika alipitia unyanyasaji wa aina yeyote ile mara baada ya kupata urabu na kuweza kuhukotror basi upata nguvu kubwa sana ya kuweza kujitetea kwenye huo unyanyasaji.
KUSEMA UKWELI FAIDA YA KUPIGA URABU NA KUWEZA KUHUKONTROR NI NYINGI SANA SEMA NI VILE TU NIMECHOKA KUANDIKA NAOMBENI WADAU MUNISAIDIE FAIDA NYINGINE