Labda Polisi wanataka kujustify manunuzi ya zile Washawasha zao - kwa kuzitumia kuchapa watu. Haingii akirini kwenda kuzuia "mahafari" yanayofanyika ndani, tena kwa hali ya amani kabisa. Sijui Magufuri anaogopa nini. Masikini police nao kama makondoo tu. Wanatii amri bila shuruti na bila kuhoji japo kidogo tu.