mbalaka
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 2,241
- 2,622
Dah.. hawa jamaa wanataka kukinukisha tena!!Na waziri mkuu wa Sudan leo amenusuruka kifo baada ya msafara wake kushambuliwa akiwa anaelekea ofisini asubuhi...haya madaraka Waafrika yanatufikisha pabaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app