philip mangula

Philip Mangula is a veteran Tanzanian politician presently serving as the Chama Cha Mapinduzi's Vice Chairman.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mzee Philip Mangula: Viwanja vya Michezo ni mali ya CCM

    "Mwenye Ku- mobilize alikuwa ni Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati huo tunajenga CCM Kirumba, Mwanza nilikuwa wilaya ya Kwimba. "Tuligawana kila wilaya itafute wadau na Chama kitafute watu kwa ajili ya ujenzi. Tulianza kuchangia. Tulifanya kampeni tulizunguka wilaya nzima. Watu walichangia...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mzee Mangula: Watu hawakuwa wanamkubali Lowassa ni chenchi alizokuwa anawaachia

    Mstaafu wa nafasi ya Katibu Mkuu na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mzee Philip Mangula, amezungumzia mchakato wa aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kukatwa jina katika kinyang’anyiro cha kuwania urais kupitia CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, akisema hatua hiyo haikuwa...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Philip Mangula: Magufuli alitaka kujiondoa kwenye mizunguko ya kutafuta wadhamini kisa wenzake walikuwa wanatoa pesa

    Katibu Mkuu na Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CCM, Philip Mangula, amesema hayo Septemba 4, 2026, wakati akihojiwa kupitia Clouds Media. "Magufuli alikuja nyumbani kwangu hapa Osterbay siku moja ya Jumapili, akaniambia, 'Mzee, mimi nataka kujiondoa kwenye hii mizunguko ya kutafuta wadhamini.'...
  4. PAYE

    JamiiForums Tanzania Polepole: Polisi walisema Mzee Mangula alilishwa sumu, waulizwe uchunguzi uliishia wapi?

    Humphrey Polepole ameibua tena sakata la kupewa Sumu kwa aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mzee Philip Mangula ambapo amemtaka aliyekuwa Kamanda wa Polisi Kanda ya Dar es Salaam wakati huo, Lazaro Mambosasa kueleza umma nani alifanya tukio hilo. Amesema matukio ya Viongozi kudhurika yaliwahi...
  5. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Tujihoji: Kama Mzee Philip Mangula alilishwa Sumu na WanaCCM wenzake, je kwa huyu shujaa Lissu inashindikana akiwa mikononi mwa watesi wake?

    Tafakari kwa lina! 👇
  6. U

    JamiiForums Tanzania Nashauri Makamu Mwenyekiti wa CCM Mzee Philip Mangula ang'atuke na akabidhi mikoba kwa Abdulrahman Kinana

    Wazalendo Wote Nchini Natoa ushauri ufuatao kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi yetu. Sio Siri Mzee Philip Mangula Makamu Mwenyekiti wa CCM upande wa Bara amekuwa na Utumishi wa muda mrefu uliotukuka akihudumu kwenye nafasi mbalimbali ndani na nje ya Chama Hata hivyo pamoja na ukweli huo...
  7. Ngungenge

    JamiiForums Tanzania Nani alaumiwe, Mzee Mangula au Gazeti la Uhuru au wote au kinyume chake tuwapongeze?

    Kuhusu mahojiano yayaliyofanyika kati ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Mzee Philip Mangula na Gazeti la UHURU mimi najikita kwenye dhima ya Mahojiano hasa ya maoni Mzee Mangula kuhusu ujenzi wa bandari ya Bagamoyo na sababu sa Gazeti la uhuru kuuliza Mangula na ufafanuzi wangu. Pengine Gazeti la...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anaingia kwenye kamati kuu ya CCM kama nani?

    Wadau nijulisheni, Samia Suluhu Hassan alikuwa anaingia kwenye Kamati Kuu ya CCM kama makamu wa rais enzi za John Magufuli. Sasa hana umakamu wa rais uliokuwa unamuingiza humo. Nasema hivyo kwa sababu CCM Rais ni moja kwa moja ni mwenyekiti. Hivyo Rais anapohudhuria vikao vya CCM haingii kwa...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kinana kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa?

    Wakuu, Nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa ni nafasi kubwa ndani ya chama hicho na kimsingi ndiye mchora ramani ya mwelekeo wa chama hicho. Mzee Mangula (Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa wa sasa) yupo katika siku zake za mwisho katika nafasi hiyo. Kumekuwa na utamaduni ndani ya CCM kwa...
  10. G

    JamiiForums Tanzania Turudi kwenye mstari juu ya hali tete ya Mzee Philip Mangula

    TUHARAKISHE KUWACHANGIA CHADEMA ILI TURUDI KWENYE SUALA LA SUMU NDANI YA MWILI WA MZEE MANGULA. Taarifa ya Kamanda Mambosasa bado inakera kwenye vichwa vya wengi! Tunataka taarifa ya Madaktari wa Muhimbili. Tunataka wale wote waliokuwa na Mzee Mangula wakati anatoka jasho na kudondoka...
  11. Mwanamwana

    JamiiForums Tanzania Polisi: Mzee Philip Mangula amekutwa na sumu mwilini, ni baada ya kufanyiwa uchunguzi

    Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, ikishirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na Taasisi mbalimbali imebaini kwamba ndani ya mwili wa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Mzee Mangula kulipatikana na sumu,uchunguzi kuhusu tuhuma ya sumu hiyo ilivyoingia mwilini upelelezi bado unaendelea...
Back
Top Bottom