Halafu Magula ati anapinga Katiba Mpya ya kuzuia watu waliotaka kumuua wasiweze tena kupita chujio la chama na serikali.Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, ikishirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na Taasisi mbalimbali imebaini kwamba ndani ya mwili wa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Mzee Mangula kulipatikana na sumu,uchunguzi kuhusu tuhuma ya sumu hiyo ilivyoingia mwilini upelelezi bado unaendelea.
Ikumbukwe wiki iliyopita, Mzee Mangula akiwa kwenye majukumu yake alianguka ghafla na kukimbizwa hospitali ambapo alilazwa kwenye chumba cha uangalizi maalum (ICU)
Pia soma > Dar: Philip Mangula aanguka gafla, alazwa ICU. Rais Magufuli amjulia hali
View attachment 1381970Mnamo tarehe 02/03/2020 Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam lilipokea taarifa kutoka kwa uongozi wa chama cha mapinduzi ya kuwekewa sumu makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Philip Mangula,
TAARIFA KWA UMMA.
UCHUNGUZI KUHUSU TUHUMA ZA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM BARA KUWEKEWA SUMU NDG.PHILIP MANGULA
Mnamo tarehe 28/02/2020 Mzee Mangula alidondoka ghafla katika makao makuu ndogo ya CCM Lumumba mara baada ya kumaliza kikao cha kamati kuu ya Almashauri kuu ya CCM iliyokuwa ikijadiri mambo mbalimbali ya chama likwemo suala la adhabu ya wanachama watatu ambao walikuwa na tuhuma mbalimbali za ukiukwaji wa maadili ndani ya chama hicho.
Katika taarifa hiyo tulielezwa kwamba Mzee MANGULA alipelekwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili amabapo alilazwa katika chumba cha uangalizi wa karibu (ICU).
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam likishirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama na taasisi mbalimbali limebaini kwambandani ya mwili wa Mzee Mangula kulikuwa na sumu.Uchunguzi kuhusu namna sumu hiyo ilivyoingia mwili mwake bado unaendelea kufanyika.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam litachukua hatua kali kwa mtu yeyote atakaye bainika kupanga ,kuratibu na kutekeleza uhalifu huo awe ni mwana familia ,kutoka ndani ya chama ,nje ya chama ,ndani ya nchi au nje ya nchi au awe serikalini au chama chochote cha siasa.
LAZARO MAMBOSASA – SACP
KAMANDA WA POLISI KANDA MAALUM
DAR ES SALAM.
09/03/2020
Anatetea katiba iliyotaka kumtoa rohoHalafu Magula ati anapinga Katiba Mpya ya kuzuia watu waliotaka kumuua wasiweze tena kupita chujio la chama na serikali.
CCM ndiyo waliompa sumuHivi majibu ya nani aliyempa sumu Mangula bado Wakuu!?
Aliyekuwa hataki Membe apate nafasi kujitetea au kutetewa na mtu yeyote juu ya yeye kufukuzwa kwenye ChamaHivi majibu ya nani aliyempa sumu Mangula bado Wakuu!?
CCM ndiyo waliompa sumu
Wao ni tawi la CCM watamchunguzaje sponsor??Na polisiccm pamoja na kuthibitisha kapewa sumu lakini hawakufanya uchunguzi!
😂😂Kwa CCM Mangula kupatikana na sumu mwilini mwake siyo jambo la ajabu, jambo la ajabu ni kuwa salama.
Alipinga Membe kufukuzwaIlikuwa vita ya uchumi,au vita gani kwa Mzee Mangula.
Mangula baada ya kutumikishwa wanataka kumng'oa , ama kweli shetani hana rafiki
UCHUNGUZI ITAKUWA BADO UNAENDELEAJeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, ikishirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na Taasisi mbalimbali imebaini kwamba ndani ya mwili wa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Mzee Mangula kulipatikana na sumu,uchunguzi kuhusu tuhuma ya sumu hiyo ilivyoingia mwilini upelelezi bado unaendelea.
Ikumbukwe wiki iliyopita, Mzee Mangula akiwa kwenye majukumu yake alianguka ghafla na kukimbizwa hospitali ambapo alilazwa kwenye chumba cha uangalizi maalum (ICU)
Pia soma > Dar: Philip Mangula aanguka gafla, alazwa ICU. Rais Magufuli amjulia hali
View attachment 1381970Mnamo tarehe 02/03/2020 Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam lilipokea taarifa kutoka kwa uongozi wa chama cha mapinduzi ya kuwekewa sumu makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Philip Mangula,
TAARIFA KWA UMMA.
UCHUNGUZI KUHUSU TUHUMA ZA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM BARA KUWEKEWA SUMU NDG.PHILIP MANGULA
Mnamo tarehe 28/02/2020 Mzee Mangula alidondoka ghafla katika makao makuu ndogo ya CCM Lumumba mara baada ya kumaliza kikao cha kamati kuu ya Almashauri kuu ya CCM iliyokuwa ikijadiri mambo mbalimbali ya chama likwemo suala la adhabu ya wanachama watatu ambao walikuwa na tuhuma mbalimbali za ukiukwaji wa maadili ndani ya chama hicho.
Katika taarifa hiyo tulielezwa kwamba Mzee MANGULA alipelekwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili amabapo alilazwa katika chumba cha uangalizi wa karibu (ICU).
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam likishirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama na taasisi mbalimbali limebaini kwambandani ya mwili wa Mzee Mangula kulikuwa na sumu.Uchunguzi kuhusu namna sumu hiyo ilivyoingia mwili mwake bado unaendelea kufanyika.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam litachukua hatua kali kwa mtu yeyote atakaye bainika kupanga ,kuratibu na kutekeleza uhalifu huo awe ni mwana familia ,kutoka ndani ya chama ,nje ya chama ,ndani ya nchi au nje ya nchi au awe serikalini au chama chochote cha siasa.
LAZARO MAMBOSASA – SACP
KAMANDA WA POLISI KANDA MAALUM
DAR ES SALAM.
09/03/2020