Kazi ya jeshi la polisi ni usalama wa raia na mali zao. Sasa hii kuwakamata mawakala wa forodha wasiovaa sare inahusikaje kwenye majukumu yao? Mbaya zaidi ni raia wa nchi jirani ambayo hiyo sheria ya clearing agents kuvaa sare eneo la forodha haiwahusu. Hawa wazambia walikuwa na vitambulisho cha kushangaza polisi wetu wakawashikilia utadhani kuna uhalifu wamefanya. Shukrani kwa TRA kwa kuingilia kati.
IGP toa semina kwa polisi wa mipakani kujua mipaka yao ya kazi. Vinginevyo wataleta matatizo ya kidiplomasia baina ya nchi zetu. SOMA HII HABARI KAMA ILIVYOANDIKWA NA GAZETI LA KALEMBA.
www.facebook.com
IGP toa semina kwa polisi wa mipakani kujua mipaka yao ya kazi. Vinginevyo wataleta matatizo ya kidiplomasia baina ya nchi zetu. SOMA HII HABARI KAMA ILIVYOANDIKWA NA GAZETI LA KALEMBA.
Log into Facebook
Log into Facebook to start sharing and connecting with your friends, family, and people you know.