Polisi Marekani wamejiwa juu baada ya kupiga picha na jambazi na kuposti kwenye mitandao ya jamii

The Stress Challengerr

JF-Expert Member
Jan 18, 2020
2,478
6,764
Inakuwaje wanajamvi!

43518811-9625627-Four_cops_have_come_under_fire_after_posing_for_a_photo_above_wi-a-4_16221376...jpg

Wananch Marekani wamewalalamikia Polisi kwenda kinyume na miiko ya kazi kwa kupiga picha na jambazi waliomkamata na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii. Jambazi hilo lilijaribu kuiba benki likashindwa na kutokomea vichakani ambapo polisi walimfukuzia hadi kumkamata.
 
Inakuwaje wanajamvi!

View attachment 1799743
Wananch Marekani wamewalalamikia Polisi kwenda kinyume na miiko ya kazi kwa kupiga picha na jambazi waliomkamata na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii. Jambazi hilo lilijaribu kuiba benki likashindwa na kutokomea vichakani ambapo polisi walimfukuzia hadi kumkamata.
Mi nafikiri kwenye syche ya watu weupe/wazungu,mtu mweusi wanamuona kama mnyama kiumbe ambaye hajakamirika
 
We blacks still have a long way to go, it's pathetic to see things like this happening in this century and in countries that are more organized than ours. Kama angekuwa from other race, hawangefanya huo utopolo. F them all!
 
Back
Top Bottom