Polepole: Mimi nipo Tanzania

Polepole: Mimi nipo Tanzania

namba hii uliyotoa iko tanzania? Kweli uko Tanzania?


+13057764396

Hii ni namba ya wapi?
Hiyo namba ni ya Florida, pia ni kawaida namba ya nchi nyingine kupatikana kwa whatsapp hata ukiwa nje ya hiyo nchi.
 
namba hii uliyotoa iko tanzania? Kweli uko Tanzania?


+13057764396

Hii ni namba ya wapi?
Namba ya simu +1 305 776 4396 inatumia code ya kimataifa +1, ambayo ni ya:

Marekani na Kanada



Kisha sehemu ya pili ya namba 305 ni area code ya Florida, USA, hasa maeneo kama Miami, Miami Beach, na maeneo ya karibu ya Miami-Dade County.

Kwa hivyo, namba hiyo:

Imetoka Marekani

Haswa eneo la Miami, Florida


Ikiwa hujui ni nani aliyekupigia au kutuma ujumbe kwa namba hiyo, tahadhari ni muhimu kwani kuna uwezekano wa spam, scam, au hata voicemail bots kutoka Marekani.
 
namba hii uliyotoa iko tanzania? Kweli uko Tanzania?


+13057764396

Hii ni namba ya wapi?
Shida yote hii ya nini, mtu ulikuwa una diplomatic status, leo unajificha unaishi km nguchiro, shida zingine tunajitakia ndio maana Mwenyenzi Mungu amesema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, atagain nini zaidi ya alichokuwa anapata. Hii nchi imetulia system iko strong utatoboaje kuleta uasi. Kufikia malengo kwa njia aliyoichagua ni ngumu sana na kwamba haiwezekani. Magufuli alikuwa mjanja sana alimteka JK kiakili wala kabla hakuwa chaguo la JK, Alionesha utii na uaminifu wa hali ya juu na kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Kila akienda kufuatilia mradi wa barabara utasikia mh. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. Mwanzilishi wa uchawa ni Magu na akatoboa bila kutarajia. Aliyempaisha Magu ni JK kumteua waziri wa Ujenzi maana ni kipindi cha JK nchi hii ilifunguliwa kwa barabara za lami kuunganisha makao makuu ya mikoa yote kwa lami na kuunganisha nchi zote jirani kwa lami ndio maana watu hasa vijana wadogo wanachanganya aliyejenga barabara za lami kati ya JK na Magu, Magu alikuwa msimamizi tu zile zilikuw ndoto za JK. Ukitaka kutoboa kirahisi lazima ushikwe mkono na kiongozi mkuu wa system. Polepole ni jinga limejimaliza lenyewe, balozi tena km yeye ni sisimizi mdogo sana kufanya lolote lenye impact.
 
Namba ya simu +1 305 776 4396 inatumia code ya kimataifa +1, ambayo ni ya:





Kisha sehemu ya pili ya namba 305 ni area code ya Florida, USA, hasa maeneo kama Miami, Miami Beach, na maeneo ya karibu ya Miami-Dade County.

Kwa hivyo, namba hiyo:

Imetoka Marekani

Haswa eneo la Miami, Florida


Ikiwa hujui ni nani aliyekupigia au kutuma ujumbe kwa namba hiyo, tahadhari ni muhimu kwani kuna uwezekano wa spam, scam, au hata voicemail bots kutoka Marekani.
ubarikiwe. Nimehisi kuwa huyu haezi kuwa hapa akasema aliyoyasema na hawezi kuwa Cuba maana wanaweza kumleta kwa pingu ...nchi za kikomunist hazina maana
 
+1 hiyo ni USA
---
Iko hivi:
  • Waweza nunua na kutumia namba za nje ya nchi yeyote utakayo.
  • Bei hutegemea ni huduma ipi unahitaji kwenye hiyo namba na kwa muda gani:
Mfano:
  • SMS pekee (kupokea)
  • SMS kupokea na kutuma
  • SMS + Voice Call
Hivyo waweza kuwa unatumia namba ya China au Germany kwa shughuli zako, ila upo Tanzania na sio China wala Germany.
Ukihitaji mifano na kujua zaidi nijulishe.
Kwa kuongezea tu kuna app kama Holafly mimi hii natumia nikiwa nasafiri kuingia nchi nyingine sihitaji kununua SIM card ya nchi hiyo kupata huduma ya internet wala Wi-Fi bali ni e-sim inayokupa unlimited internet katika nchi 150 na huwa narecharge siku kadhaa kabla ya safari hivyo option ni nyingi tu za kutohitaji kutumia huduma yoyote ya internet katika nchi husika.

Nikimjibu mtoa mada kwa utafiti wangu tu mdogo ni kuwa licha ya hivyo bado naamini Polepole hajarudi Tanzania amewatengenezea decoy wahuni tu ndio maana unaona wanahaha.
 
Wandezi kama nyie ndo tunawapataga
mimi nna namba ya Taiwan na nipo Keko magurumbasi
 
Shida yote hii ya nini, mtu ulikuwa una diplomatic status, leo unajificha unaishi km nguchiro, shida zingine tunajitakia ndio maana Mwenyenzi Mungu amesema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, atagain nini zaidi ya alichokuwa anapata. Hii nchi imetulia system iko strong utatoboaje kuleta uasi. Kufikia malengo kwa njia aliyoichagua ni ngumu sana na kwamba haiwezekani. Magufuli alikuwa mjanja sana alimteka JK kiakili wala kabla hakuwa chaguo la JK, Alionesha utii na uaminifu wa hali ya juu na kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Kila akienda kufuatilia mradi wa barabara utasikia mh. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. Mwanzilishi wa uchawa ni Magu na akatoboa bila kutarajia. Aliyempaisha Magu ni JK kumteua waziri wa Ujenzi maana ni kipindi cha JK nchi hii ilifunguliwa kwa barabara za lami kuunganisha makao makuu ya mikoa yote kwa lami na kuunganisha nchi zote jirani kwa lami ndio maana watu hasa vijana wadogo wanachanganya aliyejenga barabara za lami kati ya JK na Magu, Magu alikuwa msimamizi tu zile zilikuw ndoto za JK. Ukitaka kutoboa kirahisi lazima ushikwe mkono na kiongozi mkuu wa system. Polepole ni jinga limejimaliza lenyewe, balozi tena km yeye ni sisimizi mdogo sana kufanya lolote lenye impact.
Anatupigania watanganyika basi!
Elewa hivyo Tu inatosha
 
Kwa kuongezea tu kuna app kama Holafly mimi hii natumia nikiwa nasafiri kuingia nchi nyingine sihitaji kununua SIM card ya nchi hiyo kupata huduma ya internet wala Wi-Fi bali ni e-sim inayokupa unlimited internet katika nchi 150 na huwa narecharge siku kadhaa kabla ya safari hivyo option ni nyingi tu za kutohitaji kutumia huduma yoyote ya internet katika nchi husika.

Nikimjibu mtoa mada kwa utafiti wangu tu mdogo ni kuwa licha ya hivyo bado naamini Polepole hajarudi Tanzania amewatengenezea decoy wahuni tu ndio maana unaona wanahaha.
Eti Mulilo na wenzake wanampigia simu aseme alipo wamuongezee ulinzi.
Hivi hawa polish hata zile "series" za upelelezi zilizotafsriwa kwa Kiswahili huwa hawaziangalii?
 
Back
Top Bottom