Afcon 2027
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 543
- 895
Yes and ukawa unapiga na kupigiwa kwa normal calls piahilo nalijua, ndiyo maana nikauliza maana + 1 ni USA....kumbe unaweza nunua namba ya Us ukiwa hapa ukaitumia.....
Yes and ukawa unapiga na kupigiwa kwa normal calls piahilo nalijua, ndiyo maana nikauliza maana + 1 ni USA....kumbe unaweza nunua namba ya Us ukiwa hapa ukaitumia.....
Hayupo Tanzania, hilo nakuhakikishia. Anatudanganya, angekuwepo hiyo press yake isingefanyikawanasema yuko hapa ila wajuaji wamenieleza kuwa unaweza ukawa hapa ukanunua namba yenye code ya US ukaitumia hapa
We jamaa napata wasiwasi na IQ yako itakuwa wewe ndo Mbowe unauliza maswali mengi ya kijinga.namba hii uliyotoa iko tanzania? Kweli uko Tanzania?
+13057764396
Hii ni namba ya wapi?
Soma hapa Mkuu mtoa madaKwa namba yangu ya nje naweza kuitumia popote pale ilimradi nalipia
Au naweza kuitumia kwa WhatsApp popote
Nimeshangaa hilo swali lakeSoma hapa Mkuu mtoa mada
Na hiyo Namba sio rahisi kuwa tracked au hacked kirahisi na wahuni🤣🤣🤣+1 hiyo ni USA
---
Iko hivi:
Mfano:
- Waweza nunua na kutumia namba za nje ya nchi yeyote utakayo.
- Bei hutegemea ni huduma ipi unahitaji kwenye hiyo namba na kwa muda gani:
Hivyo waweza kuwa unatumia namba ya China au Germany kwa shughuli zako, ila upo Tanzania na sio China wala Germany.
- SMS pekee (kupokea)
- SMS kupokea na kutuma
- SMS + Voice Call
Ukihitaji mifano na kujua zaidi nijulishe.
Sawa, ila kwa mazingira ya sasa ni vigumu kusema aliyoyasema akiwa katika ardhi ya Tanzania, Mafwele angeshamteka na kumgeuza chakula cha mamba huko mto Rufiji.+1 hiyo ni USA
---
Iko hivi:
Mfano:
- Waweza nunua na kutumia namba za nje ya nchi yeyote utakayo.
- Bei hutegemea ni huduma ipi unahitaji kwenye hiyo namba na kwa muda gani:
Hivyo waweza kuwa unatumia namba ya China au Germany kwa shughuli zako, ila upo Tanzania na sio China wala Germany.
- SMS pekee (kupokea)
- SMS kupokea na kutuma
- SMS + Voice Call
Ukihitaji mifano na kujua zaidi nijulishe.
Anaweza kua Tz ila watsup akatmia namba ya nje inawezekana sananamba hii uliyotoa iko tanzania? Kweli uko Tanzania?
+13057764396
Hii ni namba ya wapi?
Kupitia press ya pole pole Naona wajumbe mtauanaAcha ushamba
Kwanini msimueleweshe tuAngekaa kimya kutodhihirisha ushamba wake
Nlikosea....kiukweli ila nlimuelewesha mbeleKwanini msimueleweshe tu
Upatikanaji wake ukoje+1 hiyo ni USA
---
Iko hivi:
Mfano:
- Waweza nunua na kutumia namba za nje ya nchi yeyote utakayo.
- Bei hutegemea ni huduma ipi unahitaji kwenye hiyo namba na kwa muda gani:
Hivyo waweza kuwa unatumia namba ya China au Germany kwa shughuli zako, ila upo Tanzania na sio China wala Germany.
- SMS pekee (kupokea)
- SMS kupokea na kutuma
- SMS + Voice Call
Ukihitaji mifano na kujua zaidi nijulishe.
hakuna ajuaye yote ila Mungu pekeeAngekaa kimya kutodhihirisha ushamba wake
Kivipi....Anaweza kua Tz ila watsup akatmia namba ya nje inawezekana sana
Ongeza 86 yaani +86namba hii uliyotoa iko tanzania? Kweli uko Tanzania?
+13057764396
Hii ni namba ya wapi?
namba hii uliyotoa iko tanzania? Kweli uko Tanzania?
+13057764396
Hii ni namba ya wapi?