Polepole: Mimi nipo Tanzania

Polepole: Mimi nipo Tanzania

Kwa namba yangu ya nje naweza kuitumia popote pale ilimradi nalipia

Au naweza kuitumia kwa WhatsApp popote
 
+1 hiyo ni USA
---
Iko hivi:
  • Waweza nunua na kutumia namba za nje ya nchi yeyote utakayo.
  • Bei hutegemea ni huduma ipi unahitaji kwenye hiyo namba na kwa muda gani:
Mfano:
  • SMS pekee (kupokea)
  • SMS kupokea na kutuma
  • SMS + Voice Call
Hivyo waweza kuwa unatumia namba ya China au Germany kwa shughuli zako, ila upo Tanzania na sio China wala Germany.
Ukihitaji mifano na kujua zaidi nijulishe.
Na hiyo Namba sio rahisi kuwa tracked au hacked kirahisi na wahuni🤣🤣🤣
 
+1 hiyo ni USA
---
Iko hivi:
  • Waweza nunua na kutumia namba za nje ya nchi yeyote utakayo.
  • Bei hutegemea ni huduma ipi unahitaji kwenye hiyo namba na kwa muda gani:
Mfano:
  • SMS pekee (kupokea)
  • SMS kupokea na kutuma
  • SMS + Voice Call
Hivyo waweza kuwa unatumia namba ya China au Germany kwa shughuli zako, ila upo Tanzania na sio China wala Germany.
Ukihitaji mifano na kujua zaidi nijulishe.
Sawa, ila kwa mazingira ya sasa ni vigumu kusema aliyoyasema akiwa katika ardhi ya Tanzania, Mafwele angeshamteka na kumgeuza chakula cha mamba huko mto Rufiji.
 
+1 hiyo ni USA
---
Iko hivi:
  • Waweza nunua na kutumia namba za nje ya nchi yeyote utakayo.
  • Bei hutegemea ni huduma ipi unahitaji kwenye hiyo namba na kwa muda gani:
Mfano:
  • SMS pekee (kupokea)
  • SMS kupokea na kutuma
  • SMS + Voice Call
Hivyo waweza kuwa unatumia namba ya China au Germany kwa shughuli zako, ila upo Tanzania na sio China wala Germany.
Ukihitaji mifano na kujua zaidi nijulishe.
Upatikanaji wake ukoje
 
namba hii uliyotoa iko tanzania? Kweli uko Tanzania?


+13057764396

Hii ni namba ya wapi?

Hahaa unafikiri yeye mjinga? Hayupo TZ na namshauri aendelee kukaa huko huko mpaka uchaguzi uishe ,wahuni siyo watu wazuri......#kataa_wahuni.
 
Back
Top Bottom