Kauli hii ya Heche inamaanisha nini?

Kauli hii ya Heche inamaanisha nini?

kinondoniilala

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2015
Posts
2,130
Reaction score
3,052
Akiwa katika Moja ya Mikutano yake ya Chama, amesema Kwamba Kuna gari limekuja nyumbani kwake aina ya Land cruiser Hardtop Nyeupe iliyosajiliwa kwaal namba T. 318 EQJ ikiwa ni na namba ambazo ni fake waki uliza kwa Heche ni wapi?

Lakini katika hotuba hiyo alituma salamu kwa watekaji kuwa vitendo wanavyofanya ipo siku vitawagharimu ya Kwamba na wao watauwawa ili kuficha ushahidi huku akitoa mfano wa Polepole. Je, kwa kauli hii ana maanisha Nini?

Je, Polepole alitekwa na watekaji? Kama ni kweli, mbona Mamlaka za kiuchunguzi hususani Polisi Tanzania walidai Kwamba Polepole hakuwahi kuwepo Tanzania mara baada ya kujiuzulu Ubalozi.

Mwenye kuelewa haya maelezo ya Mh. Heche atufafanulie, maana amesema jambo la Polepole haliwezi likapita hivi hivi, wale wote waliohusika lazima watajane halafu na wao wauwaee ili kuficha ushahidi

Nawasilisha

Pia soma > Heche: Mnaotumwa kuteka watu, mwisho wa siku watawaueni nyie kupoteza ushahidi
 
Kwa maelezo yako inaonekana una waamini ccm .
alafu kuhusu heche ni kweli anatafutwa Kwa nia mbaya na hao hao polisi sijui watekaji.
Kwa hilo tukio kama kweli ccm na polisi hawataki mambo ya utekaji wangewafuatilia hao waliokwwnda kumuulizia heche nyumbani Kwake ila Kwa kuwa ni wa Moja wamekaa kimya.
Kuhusu maridhiano nafananisha na mtu anayeficha maziwa alafu huku chini kaacha wazi
 
Back
Top Bottom