Suchack
JF-Expert Member
- May 11, 2020
- 2,414
- 4,841
Ushamba mzigo wa nyaanamba hii uliyotoa iko tanzania? Kweli uko Tanzania?
+13057764396
Hii ni namba ya wapi?
Ushamba mzigo wa nyaanamba hii uliyotoa iko tanzania? Kweli uko Tanzania?
+13057764396
Hii ni namba ya wapi?
Muliro anatumbua macho tu utafikiri anaongea vitu vya maana kumbe upumbavu mtupu.Eti Mulilo na wenzake wanampigia simu aseme alipo wamuongezee ulinzi.
Hivi hawa polish hata zile "series" za upelelezi zilizotafsriwa kwa Kiswahili huwa hawaziangalii?
Sema asante Chatgpt+1 hiyo ni USA
---
Iko hivi:
Mfano:
- Waweza nunua na kutumia namba za nje ya nchi yeyote utakayo.
- Bei hutegemea ni huduma ipi unahitaji kwenye hiyo namba na kwa muda gani:
Hivyo waweza kuwa unatumia namba ya China au Germany kwa shughuli zako, ila upo Tanzania na sio China wala Germany.
- SMS pekee (kupokea)
- SMS kupokea na kutuma
- SMS + Voice Call
Ukihitaji mifano na kujua zaidi nijulishe.
number yake ya whatapp ni ya Miami, Florida USA. Miami sio mbali na Cubanamba hii uliyotoa iko tanzania? Kweli uko Tanzania?
+13057764396
Hii ni namba ya wapi?
namba hii uliyotoa iko tanzania? Kweli uko Tanzania?
+13057764396
Hii ni namba ya wapi?
KabisaWe jamaa napata wasiwasi na IQ yako itakuwa wewe ndo Mbowe unauliza maswali mengi ya kijinga.
Jamaa ameamua kuwa comedian. Wangemkamata sio tu wangemlawiti nafikiri wangempoteza kabisa.Eti Mulilo na wenzake wanampigia simu aseme alipo wamuongezee ulinzi.
Hivi hawa polish hata zile "series" za upelelezi zilizotafsriwa kwa Kiswahili huwa hawaziangalii?
so is it registered here?
Sijui sana mzeeso is it registered here?
Hawezi kuitumia bila mamlaka kujua lazima itakua monitored na mamlaka maana wenzetu hawakwangui vochaso is it registered here?
asante, nilisema akiwa Cuba, watammaliza kwa kumleta huku under escort maana wakomunist ni rafiki wa samiaMiami Florida, USA. Sio mbali sana na Cuba. Ni mji wenye watu wengi kutokea Cuba
Ni ya Whatsup. Na pia hata Tanzania bado unaweza kutumia namba ya nje kwa huduma ya ''roaming''. Anyways ameamua kuwachezea akili tu kwani asingeweza kuingia kwa njia za panya kwani wangepata sababu ya kumfanyia uhuni.namba hii uliyotoa iko tanzania? Kweli uko Tanzania?
+13057764396
Hii ni namba ya wapi?
Malizia na Source ChatgptNamba ya simu +1 305 776 4396 inatumia code ya kimataifa +1, ambayo ni ya:
Kisha sehemu ya pili ya namba 305 ni area code ya Florida, USA, hasa maeneo kama Miami, Miami Beach, na maeneo ya karibu ya Miami-Dade County.
Kwa hivyo, namba hiyo:
Imetoka Marekani
Haswa eneo la Miami, Florida
Ikiwa hujui ni nani aliyekupigia au kutuma ujumbe kwa namba hiyo, tahadhari ni muhimu kwani kuna uwezekano wa spam, scam, au hata voicemail bots kutoka Marekani.
Ukienda hizo Nchi ukichukua namba zao huku kwetu unazitumia kama kawaida kwa rooming tu unakuta mtu yupo hapa ila kaweka line ya China whatsAp na local call ila simu za ndani gharama inakua kubwa kidogo.nieleweshe basi siyo kunitukana
Watanzania katika ubora wetuMuongo, hayuko Tanzania. Aache kudanganya watu
🤔🤔Hayupo Tanzania angekuwepo angeshakatwa korodani..😁😁🤣🤣
Hizi namba zipo kibao zinauzwa kwenye app kuanzia dollar 1 kwa mwezi acha ushamba mkuuNamba ya simu +1 305 776 4396 inatumia code ya kimataifa +1, ambayo ni ya:
Kisha sehemu ya pili ya namba 305 ni area code ya Florida, USA, hasa maeneo kama Miami, Miami Beach, na maeneo ya karibu ya Miami-Dade County.
Kwa hivyo, namba hiyo:
Imetoka Marekani
Haswa eneo la Miami, Florida
Ikiwa hujui ni nani aliyekupigia au kutuma ujumbe kwa namba hiyo, tahadhari ni muhimu kwani kuna uwezekano wa spam, scam, au hata voicemail bots kutoka Marekani.