Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,509
- 94,639
Watu wapo kolomije huko wanatumia namba za marekaninieleweshe basi siyo kunitukana
Watu wapo kolomije huko wanatumia namba za marekaninieleweshe basi siyo kunitukana
anajua hayupo hapa, kama wamemfanyia dada yake hivi, yeye watampoteza kabisa. Na hayuko cuba maana hao wanawez a kum deportHahaa unafikiri yeye mjinga? Hayupo TZ na namshauri aendelee kukaa huko huko mpaka uchaguzi uishe ,wahuni siyo watu wazuri......#kataa_wahuni.
Japo kuna Uwezekano pia kwamba Polepole hayupo Tanzanianamba hii uliyotoa iko tanzania? Kweli uko Tanzania?
+13057764396
Hii ni namba ya wapi?
Unafeli sana mwaisa! Whatsapp haina mipaka kama calls/msg za kawaidanamba hii uliyotoa iko tanzania? Kweli uko Tanzania?
+13057764396
Hii ni namba ya wapi?
anajua hayupo hapa, kama wamemfanyia dada yake hivi, yeye watampoteza kabisa. Na hayuko cuba maana hao wanawez a kum deport
Polepole 100% hayupo TZ ,ametumia mbinu ya kijasusi kuwapoteza WAHUNI.Japo kuna Uwezekano pia kwamba Polepole hayupo Tanzania
Mkuu, mimi nipo Tanzania lkn natumia whatsapp namba ya Canadanamba hii uliyotoa iko tanzania? Kweli uko Tanzania?
+13057764396
Hii ni namba ya wapi?
Whatsapp inapatikana popote ulipo, haitumik namba, unatumia IP addressnamba hii uliyotoa iko tanzania? Kweli uko Tanzania?
+13057764396
Hii ni namba ya wapi?
Siku hizi wewe ni muungwana sanaasante, elimu haina mwisho
Sawa na ni kweli, lakini Polepole hayupo BongoMkuu, mimi nipo Tanzania lkn natumia whatsapp namba ya Canada
Naunga hoja kwa comment hiiWe jamaa napata wasiwasi na IQ yako itakuwa wewe ndo Mbowe unauliza maswali mengi ya kijinga.
Ww kweli ni retired yaani re-choka na umechoka haswaaaa😅😂😂namba hii uliyotoa iko tanzania? Kweli uko Tanzania?
+13057764396
Hii ni namba ya wapi?
Hajui kitu mwelekezeAcha ushamba
Kama polepole anakimbia na bukta lake..je Mimi niliyeko huku kiteto nikijaa kwenye 18 si nashikwa kama mbuzianajua hayupo hapa, kama wamemfanyia dada yake hivi, yeye watampoteza kabisa. Na hayuko cuba maana hao wanawez a kum deport
Aliyekwenda kumteka dadake Slow akijua Slow hakai pale na Slowslow nani mshamba?Angekaa kimya kutodhihirisha ushamba wake
Asante mwl.+1 hiyo ni USA
---
Iko hivi:
Mfano:
- Waweza nunua na kutumia namba za nje ya nchi yeyote utakayo.
- Bei hutegemea ni huduma ipi unahitaji kwenye hiyo namba na kwa muda gani:
Hivyo waweza kuwa unatumia namba ya China au Germany kwa shughuli zako, ila upo Tanzania na sio China wala Germany.
- SMS pekee (kupokea)
- SMS kupokea na kutuma
- SMS + Voice Call
Ukihitaji mifano na kujua zaidi nijulishe.
Kama polepole anakimbia na bukta lake..je Mimi niliyeko huku kiteto nikijaa kwenye 18 si nashikwa kama mbuzi
Sahihi mkuu..ingawa wote wanashikwa tu
- Mbuzi sio rahisi kivile. Mbuzi ni smart zaidi.
- Sema kama kondoo, tena yule aliyenyeshewa na Mvua.
Jifunze technology mkuu.. sio namba tu. wewe mwenyewe unaeza ukawa Tanzania lakin kila anaekutafuta anakuona upo USA mpaka kucha yako ipo USA kumbe umejibanza apo Mburahatihilo nalijua, ndiyo maana nikauliza maana + 1 ni USA....kumbe unaweza nunua namba ya Us ukiwa hapa ukaitumia.....
Mimi natumia namba ya Namibia wakati niko Darnieleweshe basi siyo kunitukana